yote hayo nayakumbuka isipokuwa maua mironjo. siyafahamu kabisa!
Mh..ndo lipi hili??!
ok Kijino hayo maua usiniguse nimeyakumbuka na ninayafahamu. ila yana jina hv sema nimelisahau. nikikumbuka ntakwambia!
waridi, maua sasita, maua mgomba, mengine nayajaua majina ya kisayansi
nimo ila sio saaaana, mengine siyajuiduh huz kumbe nawe umo eeh, unayafahamu maua mkonge, maua taji, maua kaburi?
maua ya alizeti na maua ya chausiku. mia
haya maua ni ya kijani. Huwa yananukia usiku. wengi huwa wanayapanda karibu na madirisha ya nyumba. miamaua chausiku ni yapi? mzee wa mia
ua charminglady... ua cacico @ua Kipipi ua Kongosho (not sure...if yes...ni ua pori)...ua vivian ua Preta ua sweetlady ua BADILI TABIA...kwa kutaja machache tu, haya ndio maua niyajuayo mimi...yanapendezesha nyumba...harufu nzuri...yanaleta amani...utulivu na furaha!
hahahaa BT hata kale kautoto ka kupanda maua hukuwaga nako?