Aina kuu nne za watu

Mkuu wacha haraka jamaa ndo anaelezea taratibuuu

Halafu bila shaka wewe upo kundi la wanyarwanda!

Sasa UNYARWANDA Wangu Hapa UMEINGIAJE Tena Mkuu? Hivi Ni Kwanini Nyie WATANZANIA Mnatuogopa KUNAKOTUKUKA Sisi Wanyarwanda Hasa Hasa Wa Kabila LILILOBARIKIWA La WATUTSI? Tumewakosea Nini? Je Tumewalia Chenu? au Mna HASIRA Ya Jinsi TULIVYOWAPIGENI Na KUWACHAKAZA Vibaya Nchini DRC Mwaka Jana? au Mnataka Sasa Tuje TUWANYOOENI Huko Huko Dar es Salaam Kwenu Mjue Kuwa Sisi Naturally Ni Gifted Fighters And Very INTELLIGENT Kama WAYAHUDI? Huko Kwenu Tanzania KABILA Tunaloliogopa Ni La WAZANAKI Peke Yake Kwani Ni ASILI Yetu Pure Ila Mliobaki Ni Cha Mtoto Tu Kwetu. Jiangalieni Mno Msije MKATULAUMU!
 
Sasa UNYARWANDA Wangu Hapa UMEINGIAJE Tena Mkuu? Hivi Ni Kwanini Nyie WATANZANIA Mnatuogopa KUNAKOTUKUKA Sisi Wanyarwanda Hasa Hasa Wa Kabila LILILOBARIKIWA La WATUTSI? Tumewakosea Nini? Je Tumewalia Chenu? au Mna HASIRA Ya Jinsi TULIVYOWAPIGENI Na KUWACHAKAZA Vibaya Nchini DRC Mwaka Jana? au Mnataka Sasa Tuje TUWANYOOENI Huko Huko Dar es Salaam Kwenu Mjue Kuwa Sisi Naturally Ni Gifted Fighters And Very INTELLIGENT Kama WAYAHUDI? Huko Kwenu Tanzania KABILA Tunaloliogopa Ni La WAZANAKI Peke Yake Kwani Ni ASILI Yetu Pure Ila Mliobaki Ni Cha Mtoto Tu Kwetu. Jiangalieni Mno Msije MKATULAUMU!


Hahahahah mkuu Mimi nikajua unyarwanda wanakutania tu

Kumbe kweli nimekupoke tu umemwaga mchele woooote

Anyway mimi nawakubali sana hasa kupitia sura na utenzi wa "Ambassadors of Christ" sina tatizo na nyie mkuu!!
 
Yamenishinda kuyaelewa!Thread umeandika kiswahili kwanini na hayo makundi usingeyaandika kiswahili?
Tabia hizo ni kutawala (Choleric – Dominance), mhamasishaji (Sanguine - infuluencing), asiyeyumbishwa (Phlegmatic (steadiness) na mstaarabu (Melancholy - compliane).
 
CHOLERIC AMA utawala ni tabia kuu ya kwanza ambayo mtu hupenda kutawala au kuongoza wengine. Ni shupavu, si mwoga na si mwepesi wa kukata tamaa. Mtu huyu anajiamini sana katika maamuzi yake na hajali maoni ya watu wengine hata yakiwa bora kuliko ya kwake. Anapenda kubadilisha mambo bila kushauriana na mtu yeyote.
Mara chache huomba ushauri kwa wengine. Anao uwezo mkubwa wa kushawishi ili kufikia lengo alilokusudia; hivyo kumpa fursa ya kuweza kushinda upinzani wowote kinyume na mipango yake. Ana uwezo wa kusimamia watu. Kama ana tatizo na mtu husema waziwazi bila aibu.
Mtu wa tabia hii hupenda matendo kuliko maneno. Hapendi maelezo mengi, hupenda mambo ya haraka haraka, na wala hajali mambo madogo madogo. Hutegemea mambo yake kufaulu. Hapendi wengine wanufaike kupitia mgongo wake. Si rahisi kumsifu mtu hata kama amefanya vema.
Ni vigumu kukubali kama ana shida hata akiwa na shida. Haonyeshi kuhuzunika au kushituka hata akipokea taarifa mbaya. Hata hivyo, mtu huyu si mvumilivu, ni mwepesi wa kukasirika na ni vigumu kumpendeza.
Kama tulivyoona mtu wa tabia hii anapenda kuongoza na kutawala wengine. Huwa hapendi kuongozwa mara kwa mara linapotokea jambo huwa mstari wa mbele kutoa maelekezo. Ndivyo alivyo, hivyo mara nyingine huweza akapendwa na watu kutokana na namna anavyotawala wenzake au akachukiwa.
Huweza kuchukiwa kama akiwa ni mtu anayependa kuamrisha na kuonekana kuwa yeye ni mjuaji kuliko wengine.
Wakati mwingine hupenda kubadilisha mambo bila kushauriwa. Hapa ina maanisha kuwa huwa anajali mtazamo wake binafsi bila kushirikisha wengine. Ni vizuri kupata ushauri wa wengine, kwani wakati mwingine mtu wa tabia hii atabadilisha jambo bila kupata ushauri ambalo litampa wakati mgumu.
Ana uwezo wa kushinda upinzani wa mipango yake. Mtu huyu kwa kuwa anapenda kutawala huwa amejaliwa uwezo wa kuweza kushinda upinzani wowote anaokutana nao katika maisha. Kwa kuwa anajiamini kuwa anaweza.
Hupenda kushawishi ili kufikia lengo. Kama anahitaji jambo fulani liweze kufanikiwa atatumia muda wake kushawishi wengine ili mradi afikie lengo alilokusudia.
Anajiamini katika uamuzi wake na hajali maoni ya wengine. Si vibaya kujiamini katika maisha, ila ni vizuri katika kujiamini kwako wakati mwingine ukasikiliza na maoni ya wengine, kwani waweza kuharibikiwa katika maamuzi yako.
Mtu wa tabia hii akumbuke kuwa pamoja na kujiamini kwake, wako watu wengine wenye maoni ambayo yanaweza kumsaidia. Kwani moja ya sifa za mtawala yoyote awe mtu anayependa kusikiliza maoni ya watu wengine na kuyatendea kazi kwa kuyapima. Katika maoni hayo yapo yanayoweza kumsaidia na mengine yanaweza kumpotosha.
Ni vigumu kumpendeza. Mtu anayependa kutawala huwa ni vigumu kufanya jambo lolote likampendeza kwa kuwa anajiamini kuwa hata yeye anaweza kulifanya. Hivyo kama tuishivyo katika mazingira mbalimbali unapomgundua mtu wa namna hii, usipate shida kutaka akusifu kwa kufanya jambo zuri kwake.
Mtu mwenye tabia hiyo ya kutawala huwa si mwoga ni shupavu katika mambo yake, hivyo hutegemea mambo yake yote kufanikiwa na si kushindwa.
Ni mwepesi wa kukasirika na si mwepesi wa kukata tamaa. Jihadhari kumkasirisha mtu huyo, jitahidi kumwelewa. Hakati tamaa kwa kuwa anapenda kuonekana kuwa ana uwezo wa kutawala.
Tatizo lingine la watu wa aina hii huwa hajali mambo madogo madogo wala hawapendi kutoa maelezo mengi inapotakiwa afanye hivyo huwa ni mtekelezaji zaidi kuliko kuzungumza.
Kwa kuwa hupenda kutawala, hupenda vitendo zaidi kuliko maneno. Hupenda kufanya mambo yake haraka haraka. Mara nyingi hupenda kufanya mabadiliko bila kujali maoni ya wengine.
Kufanya mabadiliko katika jambo fulani si vibaya, lakini ushauri ni muhimu sana kutoka kwa watu unaofanya nao kazi.
Mtu mwenye tabia hii huwa hapendi wengine wanufaike kwa ajili yake. Pia wanapokuwa na tatizo na mtu husema waziwazi hana tabia ya unafiki.
Hutokea mara chache sana huomba ushauri kwa wengine kwa kuwa anajiamini. Pia hapendi kukubali kama ana shida hata akiwa na shida si mvumilivu. Mwenye kupenda kutawala huwa haonyeshi huzuni au kushtuka awapo na shida.
Kwa kuwa mwenye tabia hii hupenda kutawala huwa na uwezo wa kusimamia watu. Inapotokea kuna jambo ambalo linataka usimamizi huweza kulisimamia vizuri.
Kutokana na tabia yake hiyo, si rahisi kukusifu, hata kama umefanya jambo zuri. Hivyo kufahamu tabia za mtu anayependa kutawala kutasaidia kumwelewa na kuweza kuishi naye bila matatizo.
 
1.MELANCOLIN
Watu wa kundi hili (females and males) wana sifa zifuatazo
-wana uwezo mkubwa kiakili (high intelligence Quotient)
-ni wagunduzi wa mambo makubwa ya kisayansi
-wanamudu vizuri masomo ya sayansi na hesabu
-ni watu wenye pole pole na wasio na maneno mengi
-wana hisia kali za upendo na ni kundi linalosadikika kuwa na upendo wa dhati
-Wanawajali sana wenzao hasa wanapokuwa katika shida na matatizo(i.e ndio maana hawa huwa waombaji –wanamaombi wazuri sana kiimani)
-Wana huruma sana na hawapendi kuona wengine wakionewa
-Wanajitolea kwa haraka na kwa dhati katika mambo ya wengine
-Huondoa uchungu wao kwa machozi (wakiumizwa hulia haraka, hasa kwa upande wa wanawake/wasichana)
-Hawajiamini kwa mambo wanayoyafanya (hata wakiwa darasanu si wepesi wa kunyoosha vidole ili kujibu maswali)
-Wanahesabu kushindwa kuliko kufanikiwa (mfano akitaka kuanzisha duka; badala ya kuwaza itakuwaje nikipata faida wanawaza itakuwaje kama duka litaibiwa ama kuungua moto, kwa maswali hayo anajikuta hata anafikia katika uamuzi wa kuahirisha uanzishaji wa mradi huo)
-Wakata tamaa wanapokosolewa.
-Wanapenda sana kutiwa moyo kiuhalisia.
-Wanapenda kusoma, kusikiliza, na kusimulia mambo yenye tafakari na uchambuzi wa kina (hawapendi umbea)
-Wanapotoa mawaidha mahubiri ama ushauri wengi(wanaosikiliza) huwa wanaguswa nao na hubadilika haraka kutokana na mawaidha hayo ama ushauri ama mahubiri hayo
-Hawapendi kuvunja taratibu, sheria za eneo husika.
-Wanapenda usafi na mpangilio mzuri wa vitu vyao
-Ni wa vumilivu sana katika hali mbalimbali (mfano wanapoonewa ama kuumizwa)
-Hawapendi kufuatilia mambo ya wengine pasipo sababu za msingi.
-Ni kundi mojawapo linaloathiriwa sana na magonjwa ya mashinikizo kutokana na kuwa wanawaza sana
-Ni wagumu wa kusahau na hiyo imewasababishia kuwa wagumu wa kusamehe
-Wanaumia sana wanapokosea ama kushindwa jambo Fulani
-Wanajeruhika mioyo yao kirahisi (i.e wakiingiwa na pepo wabaya si rahisi kuwatoka kwa sababu ya kutunza uchungu kwa muda mrefu mioyono mwao)
-Wana busara na hekima nyingi
-Ni watu ambao wakiishika imani fulani wanajitahidi kuitimiliza sheria yote.
-Ni wepesi wa kutubia makosa yao na kutubu kwa ajili ya wengine.
-Wana aibu nyingi sana hasa kwa watu wasiowafahamu wala kuzoeana nao
-Ni kundi la watu wanoridhika haraka
-Masikini wengi kiuchumi duniani ni wa kutoka katika kundi hili kutokana na uoga wao wa kuanzisha mambo kwa kuhofia kushindwa
-Watoto wanaozaliwa katika kundi hili inasadikiwa ni wengi huwa na ndoto za kufanikiwa mapema lakini ni wachache mno ambao huweza kutimiliza ndoto zao kutoka na uoga wa kuanzilisha mambo mapya.
-Kundi linalopenda amani na utulivu
-Wanaogopa sana matatizo, vikwazo na changamoto
-Katika familia baba na mama wakiwa melancolin upo uwezekano mkubwa kwa watoto kuharibika maadili kwa sababu hawa melancolin si wepesi wa kuadhibu
-Mara nyingi hupenda kuonesha sura za tabasamu hata kama wapo katika matatizo makubwa
-Hawapendi kumueleza kila mtu mambo yao binafsi
-Ni kundi la watu wenye marafiki wachache
-Wakati mwingine hupenda kujikataa.
-Ni waaminifu na wasema ukweli
-Wanapenda kusaidia wengine kupita hata uwezo wao
-Ni waaminifu sana kwa mambo ya kawaida na yale ya kiimani
-Hawapendi kujionesha mbele ya macho ya watu
-Hawa hawafai kuwa viongozi (si wazuri sana) kwa sababu wanapenda kusikiliza na kutafakari kila wanachoshauriwa hivyo hujikuta kuwa wanayumba kimisimamo. (mfano kama mkurugenzi/mwenyekiti wa eneo Fulani akiwa ni melancolin yafaa sana msaidizi wake awe ni colerick
-kingine kinachowanyima sifa ya kuwa viongozi wazuri ni kutokuwa na uwezo wa kujieleza kwa kujenga hoja zenye ushawishi mkubwa [Musa wa biblia alikuwa ni mmoja ya watu wa kundi hili, alikuwa hajiamini, anakata tama mapema, mlalamishi, asiyeweza kujieleza, licha ya kupewa msaidizi na Mungu bado tabia zake zilimuathiri na akajikuta anakosa nchi ya ahadi-Kaanani]
-Wanauhesabu upendo wa dhati kutokana na mambo wanayofanyiwa na sio kuambiwa (wanafurahia sana vitendo kuliko maneno}
-Kwa upamnde wa wasichana inasemekana kuwa ndio ambao wanasumbuliwa zaidi na maumivu ya hedhi, na kujifungua
50℅ nipo hilo kundi lakini Mimi silitaki naweza kujitoa au?!
 
We would have seen it in Angola, Nigeria or Equitorial Guinea, Gabon and the list goes on............ Kupata kwao mafuta ndio kutatufanya tusijue hata la kuwafanya. Imagine The French govt pamoja na ukubwa na umakini wake lakini wameifanya nini elf waliyothibitisha kabisa kwamba imekuwa ikihonga viongozi Gabon na Angola. BP as well imefanya shughuli chafu sana Angola and the brits knows it lakini kimefanyika nini? And now comes my motherland, do we even hve leaders with balls hata wa kukaa tu na wawakilishi wa hawa jmaa in tha boardroom!!!!!!!

Na kwa mwendo huu tunaoenda watz makampuni haya yakiona interest zao zinatishiwa wako tayari hata kuinjinia vita......... And we shouldn't count ourselves the smartest in comparison to other countries in Africa zilizowahi kutumbukia kwenye hiyo messy.

ALL IN ALL NAZIDI KUMKUMBALI JULIUS KAMBARAGE NYERERE. HAKUWAPA NAFASI KABISA HAWA MATAPELI KUCHEZA KWENYE TERITORY YAKE
mkuu inaonekana kama umechanganya mada.....eneo hili sio lake
 
Back
Top Bottom