MzungukoMnangani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2012
- 303
- 81
Habari wadau wa jukwaa hili,ombi langu kwenu ni kutaka kujuzwa aina nzuri ya fridge(friji) ambalo halili umeme mwingi,liwe imara,lina tunza mazingira,gesi yake iwe inapatkana kwa urahisi,napendelea liwe dogo la wastani mana nahtaj kwa ajili ya ku2nzia vyakula vyangu mwenyewe.Liwe la gharama nafuu tafadhalini,awasilisha!