Guyana Halima
Member
- Feb 23, 2009
- 78
- 1
Jamani mmeona gazeti la [COLOR="Red[B]"]LEO TENA [/B][/COLOR]la leo!!!? Ivi ni gazeti linalotia aibu au ile picha ndo inayotia aibu!!? Kweli zile ni picha za kuweka front page?? Ivi watoto wetu watakuwa na maadili gani kwa mtindo huu!!? Hivi tunajenga au tunabomoa! Sababu ni picha za aibu watu wapo uchi kabisa,wameziba sehemu chache lakini sehemu kubwa ipo uchi! Unaweza kuwazuia watoto wasisome magazeti kama haya nyumbani lakini kwenye meza za magazeti je? maana na watoto siku izi wanasimama kusoma magazeti!! YANI ni AIBU!!