Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Wagalatia nuksi kweli ! Ukiwauliza, watakwambia wao ndio watengenezaji, kumbe waharibifu wakubwa !Mambo ya kina DAvid Cameron hayo
Wagalatia nuksi kweli ! Ukiwauliza, watakwambia wao ndio watengenezaji, kumbe waharibifu wakubwa !Mambo ya kina DAvid Cameron hayo
hivi haya mambo yana dini jamani.....Wagalatia nuksi kweli ! Ukiwauliza, watakwambia wao ndio watengenezaji, kumbe waharibifu wakubwa !
Jamani hivi kweli tunashangaa kiukweli au tunapotezea? Mbona hata kwenye makambi yetu Tz haya mambo yapo na wanajulikana kwa majina? na tuanze kwa kutoa boriti kwenye jicho letu kwanza
Hapo penye red nakushauri kama unawataka wakijeshi nenda pale Mwenge junction ya Lugalo na Ubungo halafu simama pembeni then ukiona wamejazana kwenye basi wanapita wee konyeza yeyote halafu rudi hapa utuelezee utakachokipata
kwaraha zao
Mkuu kwani hii picha inaonyesha kitu kinachoitwa Uchi? mpaka iwekwe kwenye jukwaa la wakubwa?hii picha ilitakiwa iwe jukwaa la kikubwa,sometimes siwaelewi hawa the so called jamii forums moderators!!!!ina maana hii ni sawa kwa watu underage kuona????mnh....
Wagalatia nuksi kweli ! Ukiwauliza, watakwambia wao ndio watengenezaji, kumbe waharibifu wakubwa !
Halafu hiyo mi.se.nge iwashinde Taliban? Mawee. Wataungana wote, kindumbwendumbwe watakiona.