Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Siku moja nikiwa nchi za watu...!! Nilikuwa ndani ya bus nasafiri, ilikuwa safari ya ghafla sana kwani nilichokitegemea toka huko nilikoenda kwa mwenyeji wangu(wa kike) sikukipata. So kwa hasira nikaamua kuondoka asubuhi na mapema, nikaanda bus kurudi homiz. Nakumbuka nilikuwa mwaka wa pili chuo....!!
Baada ya safari ndefu kidogo nikabanwa sana na mkojo...tena sana!! Bus limesheheni abiria na kiukweli huwezi kusimamisha bus kuchimba dawa sehemu ambayo haina toilet(mya be iwe real emergence). basi kidume nikajikaza kishenzi!! Lakini wapi..nikaamua kumweleza mwenzangu niliesafiri nae, kwamba hali ishakuwa mbaya kwenye kibofu...
Ikanibidi tuchukue chupa ya maji tukamwaga maji nje bila woga...then nikainamisha chupa chini ya kiti, nikafungua zipu ili nimwage wese...dah....sikuamini macho yangu, mkojo umenibana vilivyo, kibofu hakitamaniki lakini nashindwa kukojoa...mkojo hautoki, kila nikilazimisha wapi....!!!
Nadhani ni frustration labda kutokana na abiria wengi tuliokuwa ndani ya ile bus, na ikumbukwe sijawahi kukojoa ndani ya chupa in ma life hasa nikiwa nasafiri...Kilichoendelea ni kuleta fujo mule ndani ya bus hadi dereva akasimama, ndo ikawa afueni yangu!!
Is this out of mada??
Baada ya safari ndefu kidogo nikabanwa sana na mkojo...tena sana!! Bus limesheheni abiria na kiukweli huwezi kusimamisha bus kuchimba dawa sehemu ambayo haina toilet(mya be iwe real emergence). basi kidume nikajikaza kishenzi!! Lakini wapi..nikaamua kumweleza mwenzangu niliesafiri nae, kwamba hali ishakuwa mbaya kwenye kibofu...
Ikanibidi tuchukue chupa ya maji tukamwaga maji nje bila woga...then nikainamisha chupa chini ya kiti, nikafungua zipu ili nimwage wese...dah....sikuamini macho yangu, mkojo umenibana vilivyo, kibofu hakitamaniki lakini nashindwa kukojoa...mkojo hautoki, kila nikilazimisha wapi....!!!
Nadhani ni frustration labda kutokana na abiria wengi tuliokuwa ndani ya ile bus, na ikumbukwe sijawahi kukojoa ndani ya chupa in ma life hasa nikiwa nasafiri...Kilichoendelea ni kuleta fujo mule ndani ya bus hadi dereva akasimama, ndo ikawa afueni yangu!!
Is this out of mada??
ni psychological thing
kwa wanaume psychology yako ikiwa disturbed to
inatokea
hujawahi kushikwa na haja ugenini but ulipooana toilet ilivyo
haja ikapotea?
ndio hivyo..lol