@cement, mweshowe uliiweza kumpenda na kumuogeelsha na kujua kinachaotakiwa kujulikana toka kwake..? I mean did manage to love the hell out of her??Kiongozi hata me nilishindwa kumuelewa na kumvumilia pia maana cku hz wasichana wanaangalia hela ss kaleweshwa huko cjui wamemfanya nn aje amalizie hasira zake kwangu haiwezekani!
utaweza tuWakuu heshima mbele
Leo ingekuwa mara yangu ya kwanza ku date nae lkn amekuja anayumbaa yumba watu wamenishanga kweli nimepata aibu ya mwaka .kifupi huyu binti nilikuwa namuona mstaarabu sana leo kanipigia toka mchana kuwa ntakuja nikusalie jioni nikamjibu karibu,ss imefika jioni kaniambia ndo anatoka kwao imenishtua kachelewa sana kufika mpaka mida ya saa mbili ndo kaja anayumba njia nzima watoto wa mtaani wanamshangilia kwa nyuma ile nafungua mlango kuangalia ndo yy nimeshtuka sana nimemlaza sebuleni apate upepo na akili na baada ya hapo achape lapa tu me cwezi
ushauri wako sijui kama unaweza msaidia huyu mtu nje yakumuongezea matatizo
Na kumkubali kama alivyo!
ss kaleweshwa huko cjui wamemfanya nn
huyo binti angekutana na kijana kama Kimbweka, Rungu, figganigga, funzadume, SILENT WHISPER mpaka mida hii sijui tungekuwa tunazungumzia nini
umetunga hii story! sijui kwanini lakini moyo wangu UMEKATAA! guys mnaweza fanya mtu akaonekana wa ajabu sana, MUNGU anaona ujue! in Pretas 'S voiceKaanza kukaa vizuri nimempa maji ya baridi sana!namuuliza hasemi kitu kakaa kimya tu anasema kila weekend lazima alewe na pombe kwake ndo furaha yake nimejaribu kumhoji na kumshauri ili aacha anasema hawezi kuacha pombe kama namkubali ndo nijue hy ndo stail yake ya maisha!leo anasema alikuwa analewa na Mzee flani hapa mtaani!kifupi HAFAI