AIBU: Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam wakosa umeme, ndege zashindwa kutua!

Tunaelekea kubaya, mkilivua na gamba lililobaki si ndio tutakwisha kabisa!
 
Ukiwauliza kama akina dr jk kwanini umeme unakatika Wanasema kweni umeme unakiuono mpaka ukatike tehe tehe tehe na bado

Asubuhi Precision wana abiria foleni hadi nje,umeme ulirudi saa 10 lakini still bado unakatika
 
I swear while this was happening, pale panapoitwa "Usalama wa Taifa" palikuwa na umeme tele bin bwelele...!!!
 
Aibu na inasikitisha sana yani viongozi sijui kwanini hawana ari ya moyo wanakwenda kwa wenzao wanafurahia maendeleo,hata haya hawaoni
 
Halafu watu naona mnasikitika sana eti kwa kuwa tu "wazungu" watatudharau au watashindwa kutua; the truth is, they know how pathetic our leadership is, na hata kujua rangi za vyupi za viongozi wetu - just how deep they can dig huku tukichekacheka!!!!
 
The Most Embarrassing Moments In The History Of Our Nation:


--- 1. (Umeme kukatika hospitali ya Muhimbili) - Sorry to say, but hili linakuja...!!!

--- 2. Umeme kukatika uwanja wa ndege Dar (JNIA)

--- 3. Umeme kukatika uwanja wa mpira wa Taifa

--- 4. (mtajaza...)
--- 5. (Umeme kukatika bandari ya Dar) - Sorry to say, but hili litakuja nalo....!!!

--- 6. (mtajaza...)
---
---

Kikubwa hapa ni, umeme, umeme, umeme.... Inakera, inasikitisha, inatia kinyaa kuona tumeshindwa kutatua hili kwa zaidi ya miaka 5 sasa!
 
Duh! Vituko nchi hii haviishi! What is left to prove our stupidity!

Mkuu Kitila, hivi kuna kituko gani kwenye kula bwabwa lililonona kwa "nazi" tuliyopanda siye wenyewe??!
Oooh, nimesahau... hatujui namna ya kutumia "vifuu" vya nazi hizi kufulia moto na umeme!!!

attachment.php


Huku tukitabasamu kwa shauku bila wasi "mavuno" ya zao letu!!

attachment.php
 
Ifike pahali wananchi nao wafanye maamuzi mazito manake tumekua wapole,mpaka watawala wamerelax mno....
 
Kila uchaguzi una matokeo kama vile kupanda mbegu kuiivyo na matokeo. Iweje waliopanda washangazwe na mavuno yao au wale waliochagua na chaguo lao?

Hivi nataka nikuulize Mwanakijiji. Wewe chaguo lako hilo ambalo halikuingia madarakani na ambalo ulidhani lingetatua kila kero na shida za nchi hii ni nani? We are really sick and tired of the persistent salvo that you have been throwing at the current government! There is thinly veiled motive that will cme to the light very soon!
 
Kuna siku nililand apo ilikuwa mchana na umeme ukawa haupo ikabidi kuvua makoti as it was very jotofull wakati twangoja connect flight!Si wakati mda umefika wa kuondoka nkasahau koti langu apo!
Yaani tz aibu!
 
Itabidi watu kabla ya kuleta ndege DIA( maana mkiita JNIA mnamdhalilisha mwalimu)apige simu to confirm kama kutakuwa na umeme!
 
The country is dying in our hands, tunaona hatuna la kufanya siyo kuwa hatujui nini cha kufanya, but we are selfish. Kwani madhara ya haya matatizo yanaweza yasiyotuumize sana sisi ila watoto wetu na vitukuu vyetu kwani wakati tukisubiri mwenyezi mungu ashushe mvua, wenzetu wanaadvance zaidi namna ya kututawala. Hakika hatuelewa jinsi gani tunavyozidi kujiweka utumwani hapa duniani.

Wamarekani weusi hawawapendi sana watu weusi kutoka africa, hii ni kwa sababu wanaamini babu zetu ndo waliowauza huko enzi za utumwani. Na hata sisi wajukuu wetu watakuja siku moja makaburi yetu watayafukua na kuyafanyia investigation kama tulikuwa tunaakili timamu enzi za uhai wetu. Watatufunga tena mvua ya miaka kwa makosa tunayofanya kizembe leo hii.

Inauzi, inakera, inaumiza, inakatisha tamaa na kufanya watu wawe discouraged kufanya kazi za kujenga taifa. Lets wait and see, lakini hata leo hii tukipata umeme, we must act to stop this none-sense hata kama ni baada ya miaka 20 ijayo. Sidhani kama watu wanafikiria beyond their family thesedays.
 
kungekuwa na ndege inayotua ikakatiwa mawasilino na umeme na hiko kwenye hatua za mwisho za kutua
ikapata ajali tuna hela za kulipa?
lakini pia sifa za Taifa kwa wengine ingekuwaje
 
Mkuu Kitila, hivi kuna kituko gani kwenye kula bwabwa lililonona kwa "nazi" tuliyopanda siye wenyewe??!
Oooh, nimesahau... hatujui namna ya kutumia "vifuu" vya nazi hizi kufulia moto na umeme!!!

attachment.php


Huku tukitabasamu kwa shauku bila wasi "mavuno" ya zao letu!!

Hii imekaa vibaya aisee
sasa huo ubwa waliuita jina gani? takirima?
 
Back
Top Bottom