AIBU: Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam wakosa umeme, ndege zashindwa kutua!

mimi niliamini kabisa kwamba kama nchi tumefika mwisho
wa chini na hatuwezi kwenda chini zaidi! kumbe nimekosea
bado tunaporomoka tu! kweli ukitaka ya kushangaa njoo tanzania.
 
tusubiri siku moja mkuu wa nchi akikaribisha mabalozi wapya pale ikulu halafu umeme zzzz huku generator la ikulu likiwa bovu ndio tutajua nchi yetu ni ya aina gani kwa sasa.
watu wamekata umeme muhimbili sembuse airport?
 
Tunavuna tulichopanda... Stay tuned, dont touch that dial, more to come... Mishipa ya aibu ilishakatika miaka mingi iliyopita, sasa tunakwenda kama mtu aliyekatwa kichwa!
Lakini ni aibu na inatia hasira maana kila kukicha tunasikia madudu wanayofanya viongozi wetu.
 
Habari za kuthibitika kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu Nyerere uliopo Ukonga Dar-es-Salaam hakuna umeme na generator yake haifanyi kazi hivyo wanatafuta jenereta nyingine wafunge ili kuwe na mawasiliano kwani tangu jioni ya leo hakuna ndege inayoingia wala inayotoka.. Wasafiri wa usiku huu wataondoka kesho saa tatu asubuhi..

poleni wasafiri mlioguswa na hili.

Wana JF/Watanzania wenzangu!!

Kwanza mbali na wabunge wetu kutupigania huko bungeni na tofauti zao, Hebu tujiulize nasisi wenyewe tatizo ni sisi au wao wawakirishi wetu??
Nakumbushia tu kabla ya kupitisha Budget ya Ngelleja tulidanganywa kwa kupungua makali ya mgao after budget kupita mgao ukarudi tena kwakishondo kikubwa usipaime na baaada ya hapo sikukuu ya Eid ikapita tulipata kaneema ka siku 3 kakuwa na umeme na baada ya Eid mgao ukarudi tena huu ni baraaaaaa usipaime siku 3 hakuna umeme kumbukeni Ngelleja majuzi tu baada ya Eid alisema kutakuwa na upungufu wa makali ya mgao wa umeme kumbe ni vice verse ni bora wasitangaze tu tukubaliane na lile tamko walilo toa bungeni kuwa itatuchukua kama mwaka hivi ndio kuwe na ahueni ya mgao wa giza.

Kuna wakati inafika tuchukuwe maamuzi yetu na sio kungojea ati Haki za binadamu au Chama cha upinzani kihamasishe kuingia au kuelekea Magogoni, Haki za binadamu ndio wanweza kuandaa maandamano na sio vyama vya kisiasa au rai wao wenyewe wakiingia barabarani.

My Take;

Ni aibu kubwa viongozi wetu ni waongo wana kiuka taratibu za uongozi na kuikiuka katiba ya nchi hawa tutendeei haki ya kuwapa wananchi mahitaji yao, JK nchi imekushinda hii me sidhani sie tulipaswa kuwa kama Congo ya kabila kwani wao walipitia vita ya wao kwa wao sisi hapa je hatuna cha vita ni kuwa tumejawa na kuishi kwa hofu na uwoga wa kutoa dai haki zetu na uvumilivu wa hali ya juu yet viongozi wetu wana tupiga danadana ati tuna viongizi kweli, Ivi nani anatenda HAKI kati yetu na viongozi wetu tulio wapa dhamana ya kutuongoza??? sie twavumilia upuuzi wao ufanya tukiwaambia ati sie twataka kuleta vurugu hivi hiyo ni tafsiri gani katika katiba ipi kiongozi hutekelezi tuliyokutuma tukikuambia waja juu unakuwa mbogo hapo haki iko wapi unayo dai unatufanyia ???
 
Nategemea muda wowote Ikulu itakosa umeme. Hili bonge la aibu. Ngeleja shame on you.
 
Tunavuna tulichopanda... Stay tuned, dont touch that dial, more to come... Mishipa ya aibu ilishakatika miaka mingi iliyopita, sasa tunakwenda kama mtu aliyekatwa kichwa!
Lakini ni aibu na inatia hasira maana kila kukicha tunasikia madudu wanayofanya viongozi wetu.

Teh tehe ama kweli "stay tuned don't touch the button or dial because yet more to happen"
 
Habari za kuthibitika kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu Nyerere uliopo Ukonga Dar-es-Salaam hakuna umeme na generator yake haifanyi kazi hivyo wanatafuta jenereta nyingine wafunge ili kuwe na mawasiliano kwani tangu jioni ya leo hakuna ndege inayoingia wala inayotoka.. Wasafiri wa usiku huu wataondoka kesho saa tatu asubuhi..

poleni wasafiri mlioguswa na hili.

Si wanasubiri kujenga uwanja mpya Bagamoyo, Moi style.
 
Ngereja anasubiri na yeyey ahongwe suti na waarabu kama posi wake ndio mambo yaende sawa!
 
Habari za kuthibitika kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu Nyerere uliopo Ukonga Dar-es-Salaam hakuna umeme na generator yake haifanyi kazi hivyo wanatafuta jenereta nyingine wafunge ili kuwe na mawasiliano kwani tangu jioni ya leo hakuna ndege inayoingia wala inayotoka.. Wasafiri wa usiku huu wataondoka kesho saa tatu asubuhi..

poleni wasafiri mlioguswa na hili.
Mimi ni muhanga na ninaandika toka Adis Abbab International airport, bado nipo hapa kwakuwa nimeshindwa kuunganisha ndege niliyopaswa kuunganisha asubuhi. Ndege yetu haikutumia kama ilivyotarajiwa saa nane usiki hapo DIA badala yake ilibidi iende Zanzibar. Ni aibu sana. Taa zilizimika uwanja mzima na sababu ya ndege kushindwa kutua nikukosekana kwa taa za kuongozea ndege katika run-way. Je nani atazilipa ailines gharama za ziada za kutua viwanja vingine, gharama za ziada za mafuta, gharama za ucheleweshwaji wa abiria na kushindwa kuunganisha ndege zao kwenye viwanja mbalimbali Duniani, kama sisi tumepelekwa hotel sasa je nani anapaswa awajibke. Mimi nimechelewa kutoa mada katika workshop je nimlaumu nani, CEOs wengi wameshindwa kuhudhulia business meetings, je nani alaumiwe? Hivi mathalani ndege ipo tayari kwakutua ghafla taa za kwenye run-way zinazimika, what will happen? Najaribu kuelezea impact zinazotokana na kitu ambacho wao wa DIA wanadhani ni kidogo kumbe athari zake ni kubwa sana. Kwakweli tunaomba hili lishughulikiwe baada DIA ndio only Gate-way ukiondoa KIA ambapo wageni wengi wa Kimataifa huingilia hapo, tunania aibu sana.
 
Nategemea muda wowote Ikulu itakosa umeme. Hili bonge la aibu. Ngeleja shame on you.

Khaaaaa we ngoja uone tuuuuu, Meri ya Mv.Bukoba ikazama uzembe ule ule wa meri ya huko Pemba nayo chini seriakli haikjifunza kwa janga la Mv.Bukoba iwe hili la umeme yaani nimekaaa najiuliza nkaona sasa imefika mwisho si niviongozi hawa hawa walikuwepo enzi ya Mv.Bukoba, umeme, tena Meri nyingine imeisha fika karibu na mdomo maji yakianza ingia kwa mdomo mtasikia natina cash magogoni tumechoka sasa na seriklai legelege sijui kigeugeu whatever can be named its toooooooo muuuuuuuch now viongozi hawaoni aibu jamani

Thahili viongozi wetu wana future Plans kabisa kwa nchi hiii ni kutudidimiza kwa interest zao tu
 
Hahahahahaha Tanzania yangu bana ina maajabu sana .JK ndiye rais wangu kweli na aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na alikuwa akitembea nje zaidi nahata leo anatembelea huko hayaoni haya ? Akili zingine bwana zinaudhi
 
kuna mbegu zingine zinaendelea kupandwa huko
attachment.php
attachment.php

WATU WENGINE UKIWAULIZA FAIDA ZA CCM NI NINI HATA HAWAJUI...RAHA ZAO KANGA NA VITAMBAA NA KOFIA NA MATISHIRT...Msisahau..Kilimanjaro, Mwanza, Mbeya , Iringa, DSM na sijui wapi tena,,,,kote walikusanyika hivi hivi na siku za mwisho watu wakaamua lao
 
pole sana mkuu. kuna uzembe uliokithiri hapo jnia! wakati mwingine waiting lounge hata kipupwe hakifanyi kazi, toilets zinatoa harufu etc! nadhani kuna taratibu za compensation kwa vitu kama hivi,but who cares? uwanja wenyewe hauendeshwi kibiashara,hata wakikosa hela za ku-maintain si watachotewa tu na serikali kuu!?
Mimi ni muhanga na ninaandika toka Adis Abbab International airport, bado nipo hapa kwakuwa nimeshindwa kuunganisha ndege niliyopaswa kuunganisha asubuhi. Ndege yetu haikutumia kama ilivyotarajiwa saa nane usiki hapo DIA badala yake ilibidi iende Zanzibar. Ni aibu sana. Taa zilizimika uwanja mzima na sababu ya ndege kushindwa kutua nikukosekana kwa taa za kuongozea ndege katika run-way. Je nani atazilipa ailines gharama za ziada za kutua viwanja vingine, gharama za ziada za mafuta, gharama za ucheleweshwaji wa abiria na kushindwa kuunganisha ndege zao kwenye viwanja mbalimbali Duniani, kama sisi tumepelekwa hotel sasa je nani anapaswa awajibke. Mimi nimechelewa kutoa mada katika workshop je nimlaumu nani, CEOs wengi wameshindwa kuhudhulia business meetings, je nani alaumiwe? Hivi mathalani ndege ipo tayari kwakutua ghafla taa za kwenye run-way zinazimika, what will happen? Najaribu kuelezea impact zinazotokana na kitu ambacho wao wa DIA wanadhani ni kidogo kumbe athari zake ni kubwa sana. Kwakweli tunaomba hili lishughulikiwe baada DIA ndio only Gate-way ukiondoa KIA ambapo wageni wengi wa Kimataifa huingilia hapo, tunania aibu sana.
<br />
<br />
 
Hii kali Hata Uwanja wa ndege wa Kimataifa Dar es salaam hauna Mashine ya kufua umeme wa dharura?
Wamejiwekea majenereta dharura nyumbani kwao tu.kweli hii Tanzagizania.
 
hiyo ndio tz kila jambo ni hoi elimu hoi, afya, siasa,maji,umeme,chakula etc aibu sana sijui tunasherekea miaka 50 ya nini ni upuuziiiiiiiii tupu.
 
Back
Top Bottom