mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Shirika la ndege limekufa na sasa tunaelekea kuua mamlaka ya viwanja vya ndege CCM inatupeleka mrama
JK ameahirisha safari zake za nje shauri ya janga la wenzetu Zanzibar, sidhani kama ameamua kupaa kwenda Egypt kusuluhisha maandamano kwenye ubalozi wa Israel nchini humo...lakini huenda katumwa na wakubwa.
mwanakijiji una uthibitisho gani kuwa watanzania walipanda mbegu hii?usijekuta mbegu tulizopanda zilifukuliwa usiku usiku halafu zikapandwa hizi tunazokula matunda yake kwa sasa.ninaamini watanzania ni wakulima wazuri sana !!!!Kila uchaguzi una matokeo kama vile kupanda mbegu kuiivyo na matokeo. Iweje waliopanda washangazwe na mavuno yao au wale waliochagua na chaguo lao?
Tumedhubutu tumeweza na tunasonga mbele
<br />Umeme uko Igunga. Waulizeni watu wa Tabora, Nzega, Igunga, Nyandekwa, Ziba, Bulyang'ombe, Usongo, Nkinga, nk kama wamekatiwa umeme tangia kampeni zimeanza. Megawat zote za airport zimesafirishwa kwenda Igunga na vitongoji vyake!!