alikuwa anataka kujikuna shavu la kulia kwa kutumia bega, ila kwa stail ya kuinamisha kichwa upande wa kulia bila kunyenyua mikono. Tatizo ni hizi picha zinaonyesha micro-second ya jambo. Ingelikuwa video tungeliamini. Ila kama ni kweli, huwezi jua jana usiku alikuwa wapi........
Hata kama ali lala kweli kwani tatizo liko wapi? Yule ni binadamu kama wewe hana tofauti yoyote Angekuwa anahutubua harafu mara ana uchapa usingizi hapo sawa.Lakini kuketi ktk kiti na kuuchapa usingizi ni jambo la kawaida mno