Niombe radhi mkuu, mimi sio CCM mimi ni ADC.
baada ya kimkusanyiko wa jana kagundua ccm haina future,leo kahamia jukwaa la mapenziMwenyekiti wako kachemka unakikana chama? hadi 2015 mtakuwa mmerukana sana
komredi unakana chama hadharani?Niombe radhi mkuu, mimi sio CCM mimi ni ADC.
Hii ndiyo ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya ya msanii Kikwete
jk ni janga la taifa....
Ha, ha, haaa...mbavu zangu, Kikwete anaangushwa tu na wasaidizi wake!
hahahaaaa MM bwana!Wenzetu mna moyo kweli...
MKuu hii nchi ni kama inaendeshwa na genge la mission town. Yaani kwenye kulipa madeni ya Dowans na mikataba mingine ya Ki-Carl Peters watendaji wako faster kupigia chapuo-kwa kuwa kuna %, ila ada ya laki moja kwa mwaka wanaona ni hasara. Halafu bado unataka tuendelee kuheshimika kimataifa. Nimesikiliza Mwakyembe akiwapasha wafanyakazi wa ATCL nao, walipopata Insurance compasition ya $7m baada ya ajali ya ndege ya Kigoma mabosi wakawa busy kuwapigia Creditors (Wadai) simu kuwa hela imeingia waongeze bidii kudai madeni yao, na mpaka mahakama ikashikilia kiasi, wakati mpango ulikuwa ni kuzi-invest hizo pesa ili ATCL iwe na ndege zake acha hizi za kukodi. Yaani sisi ni watu wa ajabu sana.
Mimi ndiyo ningekuwa JK nimezuiwa kusoma report kwa sababu hii basi hii ingeondoka na watu wizarani. Ina maana jamaa tokea alipoondoka wizara ya mambo ya nje na kuingia Ikulu subscription ika-stop. Kweli Tanzania ni nchi ila ni nchi ya ajbu kabisa duniani. Watu hawana uzalendo kabisa, kila kitu kama hakina faida na wewe japo ni kwa ajili ya pro bono you don't give a damn!