Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,489
- 86,005
Jamani, kila ninapopita hapa mjini na mikoani, CCM wameweka mabango yao either kwa waosha magari wa mitaani au wafanyabiashara ndogondogo ( hasa katika maeneo ambayo hayaruhusiwi)
Swali. Je ni kweli wanaipenda CCM au wanatumia kivuli cha CCM kuvunja sheria? Na kama hivyo ndivyo...basi CCM ni genge la wavunja sheria???
Assignment: Ukitoka kazini leo, au kwenye mizunguko yako, jaribu kuangalia picha za wagombea( sio zote) walio wengi wa ccm utaona zimewekwa kwenye maeneo yasio ruhusiwa kufanyiwa shughuli hasa za kibiashara, kwenye magari basi ujue hilo gari ni la mhindi au mjomba ake mwarabu.
Swali. Je ni kweli wanaipenda CCM au wanatumia kivuli cha CCM kuvunja sheria? Na kama hivyo ndivyo...basi CCM ni genge la wavunja sheria???
Assignment: Ukitoka kazini leo, au kwenye mizunguko yako, jaribu kuangalia picha za wagombea( sio zote) walio wengi wa ccm utaona zimewekwa kwenye maeneo yasio ruhusiwa kufanyiwa shughuli hasa za kibiashara, kwenye magari basi ujue hilo gari ni la mhindi au mjomba ake mwarabu.