Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Jaman,jaman,jaman....baba kaja anapiga mayowe analia kukutana na mtoto ambaye alimtelekeza akiwa mdogo na mbaya zaidi mtoto huyo anataka kumuoa dada yetu wa nje ya ndoa anaitwa naniii!..nanii, nimemsahau jina maana baba alikua kicheche enzi ya ujana wake,basi bwana wakati analia na kupiga mayowe huku akitutambuli kaka yetu mtotosix ikabidi akusanye watoto wake wote wa ndani ya ndoa na hata nje ya ndoa,kumbe hata charminglady ni dada yangu,baba alimzaa kipindikilee anafanya kaz ukerewe,ajabu ikaja pale ilipogundulika watoto wa baba mmoja wanataka kuona.dah! KUMBE MTOTO6 NI KAKA YETU!
Last edited by a moderator: