dengeru
Member
- Oct 1, 2009
- 52
- 7
wakati kikwete akihutbia leo sabasaba alikuwa antumia lugha ya kiswahli halafu mkalimani akawa anaitafsiri kwa kibrazili kwa raisi wa brazil,akaja raisi wa brazil kuzungumza mkalimani akawa anaitafsiri kwa kiingerza kwa kikwete,hapo ndo niliposhangaa,kwani kikwete lugha yakeni kiingereza?