Matokeo ya Usaili wa nafasi za Konstebo wa Uhamiaji yaliyotolewa katika magazeti ya tarehe 23 Julai, 2014 yameonesha kuwa katika Idara hiyo watanzania wengine mbali ya watoto au ndugu wa wafanyakazi wa Idara hiyo hawawezi kupata ajiya ndani ya Idara hiyo ya Serikali. Majina ya wengi walioitwa kazini ni watoto au ndugu wa wafanyakazi wa idara hiyo.
Nadhani ingekuwa vyema wasingekuwa wanatangaza nafasi hizi bali wawe wanagawiana ndani kwa ndani.
Alamsiki.
- Abdulhaq Amin Mandemla – Mtoto wa afisa Uhamiaji Amin Mandemla
- Alphonce Kishe – Mtoto wa Afisa Uhamiaji Aleluya Kishe
- Asha Burhani Idd – Ndugu ya Afisa Uhamiaji Tatu Burhani Idd
- Beatrice Temba – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Joseph Kasike
- Geofrey Justine Mhagama – Ndugu ya Afisa Uhamiaji Rose Mhagama
- Iginga Daniel Mgendi – Mtoto wa Afisa Uhamiaji Daniel Mgendi
- Issack Michael Makwinya – mtoto wa aliyekuwa Afisa Uhamiaji Makwinya
- John Alfred Mungulu – mtoto wa Afisa Uhamiaji Alfred Mungulu
- Joseph A. Milambo - mtoto wa Karani wa Uhamiaji Milambo
- Michael J. Choma – mtoto wa Afisa Uhamiaji John Choma
- Shimba H Zakayo – mtoto wa Afisa Uhamiaji Zakayo Mchele
- Upendo E. Mgonja - mtoto wa Afisa Uhamiaji Mgonja
- Vaileth A. Kidesu – mtoto wa Afisa Uhamiaji Adam Kidesu
- Elizabeth Edward – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Edward Martin
- Ester Mahirane – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Mahirane
- Basil Lucian John – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Dismas Lucian
- Frank E Kajura- Ndugu wa Afisa Uhamiaji Kajura
- Jacob P. Ulungi – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Magnus Ulungi
- Janeth John Milinga – Ndugu wa aliyekuwa Afisa Uhamiaji Milinga
- Janeth R Lukuwi – Ndugu wa Afisa Uhamiaji Eliza Lukuwi
- Joseph N. Yondani – Mtoto wa Afisa Uhamiaji Mary Yondani
- Leila khatib Irovya - Mtoto wa Afisa Uhamiaji Abbas Irovya
- Lucian F. Mlula – ndugu wa Afisa Uhamiaji Dismas Mlula
- Neema Kasian Lukosi- Ndugu wa Afisa Uhamiaji Zubeda Abbas
- Pendo D. Gambadu – ndugu wa Afisa Uhamiaji Gambadu
- Paschalia E. Mwenda – ndugu wa Martin Edward mwenda
- Theresia Ernest Kalunde – Mtoto wa Ernest Kalunde
- Veronica G Vitalis – Mtoto wa aliyekuwa Afisa Uhamiaji Vitalis Mlay
- Victor G. Mlay- Mtoto wa aliyekuwa Afisa Uhamiaji Vitalis Mlay
- Catherine J. Mapunda- mtoto wa Afisa Lucy Mapunda
Nadhani ingekuwa vyema wasingekuwa wanatangaza nafasi hizi bali wawe wanagawiana ndani kwa ndani.
Alamsiki.