The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Mkuu inabidi mtu ujitahidi ku-resist temptation otherwise akikutana na mwanaume mkware hamuachi kabisaukienda interview umepiga vazi la kazi bila kuweka mtego wowote, nani atapata nafasi ya kukuomba? Unaingia kwenye interview umevaa mini-skirt, maziwa nje,...what image are you creating?
Another question...kwa nini mademu wanavaa vimini? kuna demu alinijibu ni ili kujifurahisha mwenyewe! nilitaka kucheka kwa nguvu sana!