Elections 2010 AIBU KUBWA: DC kukamatwa kwa rushwa!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,728
2,259
DC wa Kasulu ,Betty Machangu amekamatwa kwa Rushwa,Rushwa ya uchaguzi!!!
UUUwi aibu gani hii?
Kiongozi anayetakiwa kuwa mhimili wa mamlaka ya Rais Wilayani ndiye anakamatwa kwa rushwa.
Huyu ni mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na uslalama katika wilaya yake ya Kasulu, leo ni mhalifu wa rushwa(ingawa bado kesi kwenda mahakamani)
Aibu kubwa kwa serikali na kada yake ya uongozi.
TZ DAIMA: DC Kasulu mbaroni kwa rushwa, alikuwa akitoa fedha, vitenge,asali,vipeperushi.TAKUKURU wapambana naye kwa saa 1
NIPASHE: DC mgombea ubunge mikononi mwa TAKUKURU, pia wapambe,fedha zakamatwa(27/07/2010)
 
DC wa Kasulu ,Betty Machangu amekamatwa kwa Rushwa,Rushwa ya uchaguzi!!!
UUUwi aibu gani hii?
Kiongozi anayetakiwa kuwa mhimili wa mamlaka ya Rais Wilayani ndiye anakamatwa kwa rushwa.
Huyu ni mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na uslalama katika wilaya yake ya Kasulu, leo ni mhalifu wa rushwa(ingawa bado kesi kwenda mahakamani)
Aibu kubwa kwa serikali na kada yake ya uongozi.
TZ DAIMA: DC Kasulu mbaroni kwa rushwa, alikuwa akitoa fedha, vitenge,asali,vipeperushi.TAKUKURU wapambana naye kwa saa 1
NIPASHE: DC mgombea ubunge mikononi mwa TAKUKURU, pia wapambe,fedha zakamatwa(27/07/2010)

kama hiyo utaiita rushwa basi TAKUKURU itakama karibu wagombea wote. Na TAKUKURU wataishia kushindwa, hatakutwa na hatia na wala hata jela hatakwenda, tena inawezekana hata ubunge atashinda. Subiri uone, pitia thread hii mwezi novemba
 
Ndugu yangu LG, ingekuwa aibu kama hii ni tabia mpya ndani ya CCM. Lakini haya ndiyo yaliyopo katika uendeshaji wa chaguzi za CCM na shughuli za serikali yake. Usishangae likatoka tamko kuwa "Hii ni ajali ya kisiasa tuu" Hiyo ndiyo CCM bwana. Haina tofauti na genge la uhalifu
 
DC wa Kasulu ,Betty Machangu amekamatwa kwa Rushwa,Rushwa ya uchaguzi!!!
UUUwi aibu gani hii?
Kiongozi anayetakiwa kuwa mhimili wa mamlaka ya Rais Wilayani ndiye anakamatwa kwa rushwa.
Huyu ni mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na uslalama katika wilaya yake ya Kasulu, leo ni mhalifu wa rushwa(ingawa bado kesi kwenda mahakamani)
Aibu kubwa kwa serikali na kada yake ya uongozi.
TZ DAIMA: DC Kasulu mbaroni kwa rushwa, alikuwa akitoa fedha, vitenge,asali,vipeperushi.TAKUKURU wapambana naye kwa saa 1
NIPASHE: DC mgombea ubunge mikononi mwa TAKUKURU, pia wapambe,fedha zakamatwa(27/07/2010)

Mkuu nashindwa kusema kama hii ni aibu, kuna mambo mengine tunayafanya kila siku lakini hatuoni aibu kwa kuwa hayaandikwi magazetini. Can you call this thing shame or even scandal? Sasa kujua kama sio scandal wala shame utaona kama kuna mtu ataadhibiwa.
 
Mkuu nashindwa kusema kama hii ni aibu, kuna mambo mengine tunayafanya kila siku lakini hatuoni aibu kwa kuwa hayaandikwi magazetini. Can you call this thing shame or even scandal? Sasa kujua kama sio scandal wala shame utaona kama kuna mtu ataadhibiwa.
Mzee wa Bongo, ni aibu kubwa kimaadili kwa mtetezi wa haki na wanyonge kujikuta yeye yuko kundi hilohilo la rushwa.
The stakes have been raised , hata Marigareta Sitta naye yuko mkumbo huu wa rushwa, sijui ni kwa ridhaa ya nani? mumewe?
Hakika mnyonge hana chake.
 
Mkuu nashindwa kusema kama hii ni aibu, kuna mambo mengine tunayafanya kila siku lakini hatuoni aibu kwa kuwa hayaandikwi magazetini. Can you call this thing shame or even scandal? Sasa kujua kama sio scandal wala shame utaona kama kuna mtu ataadhibiwa.
Nimekukubali bongolander maana nasikia yule afisa wa takukuru aliyekamata ndiye ameteremshwa cheo na kuhamishwa!!!!!!
 
Siamini kama wagombea wengine wanafanya tofauti na wanaokamatwa. Kama ni kweli wanaokamatwa ndio pekee watoa rushwa ingekuwa heshima kubwa kwa chama kama wote ambao mashauri yao yamethibitishwa na Takukuru wangejiondoa kwenye kinyanganyiro cha kura za maoni
 
DC wa Kasulu ,Betty Machangu amekamatwa kwa Rushwa,Rushwa ya uchaguzi!!!
TZ DAIMA: DC Kasulu mbaroni kwa rushwa, alikuwa akitoa fedha, vitenge,asali,vipeperushi
Mbona wengine wanaruhusiwa kugawa vipeperushi wakati wengine hawaruhusiwi?
 

Attachments

  • jan14.jpg
    jan14.jpg
    49.9 KB · Views: 43
  • jan15.jpg
    jan15.jpg
    64.4 KB · Views: 56
wananchi waelewe kuwa, hii ndiyo miondoko iliyozoeleka kwa wote, sasa wanatafutana mumo kwa mumo, na wasio takiwa na kundi linalojiona lenyewe ndiyo lenyewe, watatangazwa na kudhalilishwa, lakini wenyewe wenyewe ng'o hautawasikia kukumatwa, dawa yao ni kuwanyima kura tu ! si tuna wajua !!
 
wananchi waelewe kuwa, hii ndiyo miondoko iliyozoeleka kwa wote, sasa wanatafutana mumo kwa mumo, na wasio takiwa na kundi linalojiona lenyewe ndiyo lenyewe, watatangazwa na kudhalilishwa, lakini wenyewe wenyewe ng'o hautawasikia kukumatwa, dawa yao ni kuwanyima kura tu ! si tuna wajua !!

Tazama kwa makini kama "watakaokamatwa" ni wale wapinga mafisadi.
Then the whole thing will turn into an orchestrated move.
Reflection ya hilo jambo linaanza kuonekana kwa kuhamishwa kazi kwa afisa TAKUKURU wa Moshi.Inaelekea huyo aliyekamatwa hakukusudiwa.
 
Back
Top Bottom