Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
DC wa Kasulu ,Betty Machangu amekamatwa kwa Rushwa,Rushwa ya uchaguzi!!!
UUUwi aibu gani hii?
Kiongozi anayetakiwa kuwa mhimili wa mamlaka ya Rais Wilayani ndiye anakamatwa kwa rushwa.
Huyu ni mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na uslalama katika wilaya yake ya Kasulu, leo ni mhalifu wa rushwa(ingawa bado kesi kwenda mahakamani)
Aibu kubwa kwa serikali na kada yake ya uongozi.
TZ DAIMA: DC Kasulu mbaroni kwa rushwa, alikuwa akitoa fedha, vitenge,asali,vipeperushi.TAKUKURU wapambana naye kwa saa 1
NIPASHE: DC mgombea ubunge mikononi mwa TAKUKURU, pia wapambe,fedha zakamatwa(27/07/2010)
UUUwi aibu gani hii?
Kiongozi anayetakiwa kuwa mhimili wa mamlaka ya Rais Wilayani ndiye anakamatwa kwa rushwa.
Huyu ni mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na uslalama katika wilaya yake ya Kasulu, leo ni mhalifu wa rushwa(ingawa bado kesi kwenda mahakamani)
Aibu kubwa kwa serikali na kada yake ya uongozi.
TZ DAIMA: DC Kasulu mbaroni kwa rushwa, alikuwa akitoa fedha, vitenge,asali,vipeperushi.TAKUKURU wapambana naye kwa saa 1
NIPASHE: DC mgombea ubunge mikononi mwa TAKUKURU, pia wapambe,fedha zakamatwa(27/07/2010)