Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,897
- 4,621
Sio tu ku-update website bali hata vichwa vya wabongo wengi na utendaji wao havija be updated. Hebe tujiulize tz ni nchi ya kijamaa au ya kibepari?. Mwakumbuka mjengoni ilipelekwa ripoti ya mapato/matumiza ya serikali ya mwaka 2006/2007 badala yake ikawa imeletwa ya 2004? Kama sio microscope ya silaha(mibunduki) tungeshachomekewa. Sasa hapo ni kipi cha ku-update. Website au watendaji? KWELI BONGO NI TAMBARARE ALIVYOSEMA...