Aibu hii kwa BOT

Sio tu ku-update website bali hata vichwa vya wabongo wengi na utendaji wao havija be updated. Hebe tujiulize tz ni nchi ya kijamaa au ya kibepari?. Mwakumbuka mjengoni ilipelekwa ripoti ya mapato/matumiza ya serikali ya mwaka 2006/2007 badala yake ikawa imeletwa ya 2004? Kama sio microscope ya silaha(mibunduki) tungeshachomekewa. Sasa hapo ni kipi cha ku-update. Website au watendaji? KWELI BONGO NI TAMBARARE ALIVYOSEMA...
 
ni kweli ujumbe wake unatokana na nafasi aliyokuwa nayo. na sasa ameshastaafu, lakini ujumbe wake utakoma pale muhula wake utakapomalizika ndani ya bodi, kwa mfano kama ujumbe ndani ya bodi unadumu kwa miaka mitano, na yeye alistaafu 2007, na ujumbe wake ndani ya bodi ulipitiwa 2006, pamoja na kustaafu kazi yake ya msingi 2007, yeye atatumikia bodi mpaka 2011, yaani mwisho wa miaka yake mitano.aidha kama angekuwa amepoteza ukatibu wake kwa sababu za kinidhamu basi hapo angekoma kuwa mjumbe maramoja.
tunajua anakesi mahakamani , ikumbukwe yeye ni mtuhumiwa, na si mhalifu. hivyo huyu ndugu ataendelea kuwa mjumbe wa bodi. unachoweza kuzugumzia ni sheria zinazoambatana na namna wajumbe wanapatikana na wajumbe wanavyoweza poteza sifa, na siyo teknolojia ya mawasiliano ya benki kuu
Acha uongo, Mgonja aliingia kwa title aliyokuwa nayo sio zaidi ya hapo!
 
Back
Top Bottom