ukiona kavaa hivyo huyo c mama, ni mwanamke tena wa kike.Jamani akina mama watu wazima jalibuni kuvaa nguo za heshima, mama miaka 40 unavaa kinguo cha ajabu hadi mtoto wako anakushanga acha hh.
wapi picha?Jamani akina mama watu wazima jalibuni kuvaa nguo za heshima, mama miaka 40 unavaa kinguo cha ajabu hadi mtoto wako anakushanga acha hh.