Aibu - Embassy of Tanzania in Nordic & Baltic States

Balozi wa tz Sweden ni swahiba mkubwa wa Mkapa... na alimpa huo ulaji wakati anafungasha virago ikulu... Anyway Ubalozi huu nadhani ndio unaoongoza kwa uzembe kati ya balozi zote. Hata wakati wa kubadilisha passport waliwaliza wabongo hela nyingi tu i.e. walitoza gharama za juu kulinganisha na gharama halisi

Dr. Ben Moses amekuwa balozi kwa muda mrefu sasa, ninakumbuka amewahi kuwa balozi wa Tanzania nchini Japan pia, na kabla ya kuwa balozi Japan amewahi kuwa Principal Secretary kwenye moja ya wizara. Kwa hiyo, uteuzi wake kwenda sweden ilikuwa ni kubadilisha kituo na si kweli kwamba aliteuliwa wakati mkapa anafungasha vilago. Nadhani amekuwa balozi nchi mbalimbali kwa kipindi chote mkapa akiwa madarakani
 
Jamani matatizo ya balozi zetu hayako sweden tu...yako karibu sehemu zote!
Website haziwi updated,simu hazipokelewi,vyoo havina taa,watumishi nao hawapo ofisini...halafu
Kila mwezi mabalozi wetu hulipwa mapesa kibao,nyumba hupangishiwa na magari ya kifahari wanaendesha kama kawa....ila kupiga kazi kwao ni mwiko na dhambi!!!
Waswahili wanao msemo wao unaosema ukishangaa ya musa...

-Wembe
 
Dr. Ben Moses amekuwa balozi kwa muda mrefu sasa, ninakumbuka amewahi kuwa balozi wa Tanzania nchini Japan pia, na kabla ya kuwa balozi Japan amewahi kuwa Principal Secretary kwenye moja ya wizara. Kwa hiyo, uteuzi wake kwenda sweden ilikuwa ni kubadilisha kituo na si kweli kwamba aliteuliwa wakati mkapa anafungasha vilago. Nadhani amekuwa balozi nchi mbalimbali kwa kipindi chote mkapa akiwa madarakani

Ubarikiwe kwa kuniweka vizuri hapa!
 
Membe anaseaje kuhusu hili?

Hivi unategemea anaweza kusema chochote ndugu zangu? hawana aibu hawa. Wao wakishakula wanasahau. Shida si kwamba hatuna viongozi lakini sijui kwa nini viongozi wetu wanaishia kujikomba kwa wakubwa hata kama wanafanya vibaya. Na shida kubwa hata wakikosolewa hawaelewi maana wao kukosolewa ni upinzani.
 
Duh, hii ni kali leo hii ni June, then simu inajibu kuwa ni January 12!!! kwa kweli balozi wa Ubalozi husika anatakiwa kuwajibishwa!!! Ina maana hakuna anachofanya!!! Tuna kosa fedha za utalii kwa uzembe, then tuna sema jirani zetu wanatuibia kwa kutangazi maliasili zetu kuwa zipo kwao
 
unajuwa wajameni kutoka Sweden mpaka Tanzania ni masafa marefu, wakati wa sherehe ya mapinduzi kule Zenj hapa Sweden ilikuwa bado na baada ya miezi mitani ndio imefika hapa,

wandugu masanja umenichekesha sana, hivi kweli Sweden tunapishana nao kwa miezi mitano na sio saa ama siku kadhaa? Huyu jamaa anapaswa kuwajibishwa hata kama tuna sera ya "UNDUGUNAIZESHENI"!! Saa ya Ukombozi ni sasa, waliolala waonolewe wawapishe wenye damu ya kufanya kazi kwa mwendo unaostahili.
 
http://changamoto.co.tz/index2.php?option=com_content&do_pdf=1&id=1289

Kuna jamaa kanitumia hii kwemye PM na nikaona si vibaya nikiiweka hapa ukumbini

Now this is getting even more serious kama nilivyopredict kwamba uzembe wa kuacha kuweka mambo ya voice message sawa unaonyesha kuna uzembe zaidi.

Hiyo link inaonyesha Balozi Moses anafanya kazi katika mazingira yanayoweza kuwa prone to espionage, especially kwa sababu tunashindana na wakenya katika mambo mengi ikiwamo utalii na yeye ana katibu muhtasi Mkenya ambaye ana access na information zote classified za ubalozi, ikiwamo mikakati ya kibiashara na kitalii achilia mabali mambo ya usalama wa taifa.

Naelewa kunaweza kuwa na haja ya kuajiri wageni katika balozi zetu (I am strongly against this).But of all people tunaenda kuajiri Wakenya ambao tunashindana nao kwenye mambo mengi na ni next door neighbors wetu?

Je kikija kimemo cha mkakati wa kuwashinda wakenya katika utalii wa Serengeti corridor huyu katibu muhtasi wa Kenya akikileak kwa Wakenya wenzake?

This exposes an even weaker thought process, a wanton disregard for national interest and gross incompetence on the part of the said ambassador and all who are responsible in the vetting and hiring process.
 
kwa nini unapoteza muda wako kujaribu kuelezea kitu chenye msingi humu....ndugu yangu watu wa humu ni mambumbu na hawatakuelewa kazi ni siku zote kutafuta sababu za kulaumu hata pasipokuwa na sababu.. mimi niliwauliza kama huko ni sikukuu kwa nini haoa watu wapenda kuona simba wasirudi j'tatu? jibu lake matusi..... kwa hiyo kama kuna ushauri ambao ningekupa usipoteze muda wako wengi wao humu wanapenda kukosoa wakati ukiwaliza wao binafsi ni mafanikio gani wamepata ktk maisha huko walipo hakuna kitu... kwa hiyo kilichobaki ni kutafuta kila kitu kidogo na kulalamika... wakiona hivi basi watalinganisha na huko walipo na kuanza kulalamika wakati HAWAFANYI KITU CHECHOTE ILI KUWEZA KUBORESHA MAMBO.... kwa hiyo usijisumbue na kama unataka kuhakikisha angalia ni watu wangapi wamejibu swali lako? hakuna

Kijakazi,
Mbona na wewe unaanza kwa kutoa lawama kwa watoa lawama badala ya kuhangaika kidogo na kuja na jibu kwa muanzisha hii habari? Umeandika mengi sana badala ya kuweka mstari mmoja. Kweli Nyani haoni Kundule. Unaona kijiti kwa wenzio wakati wewe una ...... Anyway naona huyo aliyeweka ujumbe kwenye messenger phone ni KIHIYO fulani. Tarehe 6/06 kwa Sweden ni sherehe. Soma hapa :--- National Day of Sweden, or Swedish Flag Day (Sveriges nationaldag or svenska flaggans dag) is observed in Sweden on June 6 every year. The day was made into a national day by the Riksdag (Swedish parliament) in 1983, before which it was just honored as "the Swedish flag day".
 
Originally Posted by uniquetanganyik
kwa nini unapoteza muda wako kujaribu kuelezea kitu chenye msingi humu....ndugu yangu watu wa humu ni mambumbu na hawatakuelewa kazi ni siku zote kutafuta sababu za kulaumu hata pasipokuwa na sababu.. mimi niliwauliza kama huko ni sikukuu kwa nini haoa watu wapenda kuona simba wasirudi j'tatu? jibu lake matusi..... kwa hiyo kama kuna ushauri ambao ningekupa usipoteze muda wako wengi wao humu wanapenda kukosoa wakati ukiwaliza wao binafsi ni mafanikio gani wamepata ktk maisha huko walipo hakuna kitu... kwa hiyo kilichobaki ni kutafuta kila kitu kidogo na kulalamika... wakiona hivi basi watalinganisha na huko walipo na kuanza kulalamika wakati HAWAFANYI KITU CHECHOTE ILI KUWEZA KUBORESHA MAMBO.... kwa hiyo usijisumbue na kama unataka kuhakikisha angalia ni watu wangapi wamejibu swali lako? hakuna

kwa nini unapoteza muda wako kujaribu kuelezea kitu chenye msingi humu....ndugu yangu watu wa humu ni mambumbu na hawatakuelewa kazi ni siku zote kutafuta sababu za kulaumu hata pasipokuwa na sababu

Kwanza omba msamaha kwa kuita watu wote wa JF ma-mbumbumbu bila ya ku qualify kashfa zako kwa data za kueleweka.Hapa tuna watu tofauti kuanzia mabaharia, vichwangumu mpaka wabunge na wahadhiri wa vyuo vikuu, na wote wa kati yao.Je wote hawa ni ma-mbumbumbu?

kwa hiyo kama kuna ushauri ambao ningekupa usipoteze muda wako wengi wao humu wanapenda kukosoa wakati ukiwaliza wao binafsi ni mafanikio gani wamepata ktk maisha huko walipo hakuna kitu... kwa hiyo kilichobaki ni kutafuta kila kitu kidogo na kulalamika... wakiona hivi basi watalinganisha na huko walipo na kuanza kulalamika wakati HAWAFANYI KITU CHECHOTE ILI KUWEZA KUBORESHA MAMBO....

Kama raia ni wajibu wetu kukosoa mambo hata kama hatufanyi chochote kuboresha mambo (ingawa tuhuma hizi si kweli, na wengine tunasema kukosoa mambo peke yake ni kuboresha mambo).Unachosema ni kwamba tukiona kitu kinafanyika vibaya kama hatuna suluhisho tusiseme, hasha.

Kama kitu kinafanyika vibaya hata kama hatuna suluhisho ni wajibu kusema.Wanasema hatua ya kwanza katika kupata ufumbuzi wa tatizo ni kulitambua tatizo, huhitaji kuwa na ufumbuzi wa tatizo ili kulitambua tatizo.Kwa hiyo, hata kama hatutoi ufumbuzi (kitu ambacho si kweli) bado tuna haki na wajibu wa kukemea maovu tunayoyaona.Maana nzima ya forum ni kuwa na majibizano, wengine wataliona tatizo, wengine watatoa suluhisho na hata kama suluhisho lisipotolewa wanaosababisha tatizo watapata ujumbe.

Tumeongea kuhusu Sinclair over the weekend na leo This Day wamechapisha habari hiyo, bila shaka kutokana na publicity tuliyoipa hiyo habari.Na kutoka hapo bila shaka Kikwete na Sinclair wenyewe wanapata ujumbe na hopefully (hoping against hope here) watafanya concessions.Sasa kama tungesema tusubiri kuwa na a solution hata tusingweweza kuwa na mwanzo huu ambao unaweza kusaidia katika kupata suluhisho.

Hii habari ya kwamba kama huna suluhisho huna haki ya kusema haina akili.Naelewa it is much nicer ku criticize with a solution, but that dioes not mean you cannot point a wrong until you know how to right it.

To top it all you expose your bias here

ukiwaliza wao binafsi ni mafanikio gani wamepata ktk maisha huko walipo hakuna kitu...

Kwa hiyo ni watu wenye mafanikio kimaisha tu ndio wenye haki ya kukosoa serikali? Hapa unadhihirisha allegiance na motives zako za kifisadi.

Kwa hiyo kama serikali inakosea sie kina Matonya tusio na vijisenti hatutakiwi kukosoa? Wenye achievements tu ndio wenye uwezo wa kukosoa?
 
Kwanza omba msamaha kwa kuita watu wote wa JF ma-mbumbumbu bila ya ku qualify kashfa zako kwa data za kueleweka.Hapa tuna watu tofauti kuanzia mabaharia, vichwangumu mpaka wabunge na wahadhiri wa vyuo vikuu, na wote wa kati yao.Je wote hawa ni ma-mbumbumbu?



Kama raia ni wajibu wetu kukosoa mambo hata kama hatufanyi chochote kuboresha mambo (ingawa tuhuma hizi si kweli, na wengine tunasema kukosoa mambo peke yake ni kuboresha mambo).Unachosema ni kwamba tukiona kitu kinafanyika vibaya kama hatuna suluhisho tusiseme, hasha.

Kama kitu kinafanyika vibaya hata kama hatuna suluhisho ni wajibu kusema.Wanasema hatua ya kwanza katika kupata ufumbuzi wa tatizo ni kulitambua tatizo, huhitaji kuwa na ufumbuzi wa tatizo ili kulitambua tatizo.Kwa hiyo, hata kama hatutoi ufumbuzi (kitu ambacho si kweli) bado tuna haki na wajibu wa kukemea maovu tunayoyaona.Maana nzima ya forum ni kuwa na majibizano, wengine wataliona tatizo, wengine watatoa suluhisho na hata kama suluhisho lisipotolewa wanaosababisha tatizo watapata ujumbe.

Tumeongea kuhusu Sinclair over the weekend na leo This Day wamechapisha habari hiyo, bila shaka kutokana na publicity tuliyoipa hiyo habari.Na kutoka hapo bila shaka Kikwete na Sinclair wenyewe wanapata ujumbe na hopefully (hoping against hope here) watafanya concessions.Sasa kama tungesema tusubiri kuwa na a solution hata tusingweweza kuwa na mwanzo huu ambao unaweza kusaidia katika kupata suluhisho.

Hii habari ya kwamba kama huna suluhisho huna haki ya kusema haina akili.Naelewa it is much nicer ku criticize with a solution, but that dioes not mean you cannot point a wrong until you know how to right it.

To top it all you expose your bias here



Kwa hiyo ni watu wenye mafanikio kimaisha tu ndio wenye haki ya kukosoa serikali? Hapa unadhihirisha allegiance na motives zako za kifisadi.

Kwa hiyo kama serikali inakosea sie kina Matonya tusio na vijisenti hatutakiwi kukosoa? Wenye achievements tu ndio wenye uwezo wa kukosoa?
kusema humu watu ni mbumbu nilimaanisha baadhi ya watu kwa na hasa huyo mtoa hoja kwa maana kwa mimi binafsi sikuona tatizo lipo wapi... yeye amesema kwamba alikuwa na rafiki zake wanaopenda kuona simba akapiga simu akaambiwa kwamba ni sikukuu na arudi j'tu sasa tatizo lilikuwa wapi? kama ni sikukuu na watu hawaendi kazini kwa nini wao ubalozini wafanye kazi?
tatizo langu ni kwa nini mtu anashindwa kuelewa kitu kidogo kama hicho?kila nchi au ofisi ina utaratibu wake na hao watu hawakuwa watz kutokana na mweka hoja kwa hiyo kulikuwa hakuna umuhimu wa watu wa ubalozi kuacha kupumzika siku ya mapumziko na kwenda kuwahudumia wao.. kama angekuwa ni mtz na ana tatizo hicho ni kitu kingine na ubalozi unapaswa kutafuta njia ya kumsaidia lkni hawa ni watalii tuu na walipaswa waelewe hilo... kama ni kuhusu ujumbe wa kwenye simu hilo kosa dogo ambalo halilpaswi kupewa kichwa cha habari kikubwa namna hiyo... sasa kuna mtu humu ambaye anishi huko sweden akasema kwamba siku hiyo huko kwao ni likizo sasa kama ndio hivyo nashangaa iweje mtu ashindwe kuelewa hilo.....mpaka aje kuandika humu?
mimi sitetei maovu dhidi ya nchi yangu kwanza kama kuna mtu ambaye amechoshwa na maovu nchini mwetu basi mimi mmoja wapo lkni bado tz nchi yangu nitasimama siku zote kuitetea inaposhambuliwa bila sababu kwani hili linaniuma sana kwani hakuna nchi isiyokuwa na matatizo....ni lazima watu tujadili mambo yaliyaokuwa na msingi na yanayotujenga si kubomoa ndio tz ni nchi yetu na ina matatizo lkni bado ni yetu ni lazima tuiteee na sii kuikandia na kuhusu wageni kama kuna mtu humu kaandika kuhusu mkutana wa salivan(sina uhakika kama inaandikwa hivyo) akasema ni bora serikali ingeleta waingereza na sio hao waswahili sasa hiyo kweli ni akili? kama sio umbumbu basi sijui umbumbu maana yake ni nini? mbona haongelei hao waingereza na wajerumani walikabidhiwa miradi mingi na wakaharibu? ukiweka hoja ya mafanikio ya watz kama precionair ambaye ameajiri watz wengi tuu na kampuni ina mafanikio wachangiaji hakuna... mzungu akisema kitu kuhusu tz basi watu wanaamini na wanaanza kujadili...hilo ndilo tatizo langu inavyoelekea kwangu ni kwamba watu humu wanalala wakifikiria kuna kitu gani cha kukosoa kimefanyika badala ya kufikiria ni nini tufanye ili tuweze kuikomboa nchi... kwani ktk Dunia hii ni nchi chache sana zilizobahatika kama Tanzania......
 
labda balozi yuko uingereza anafungua matawi ya ccm, si mmesikia matawi ya ccm ndo dili huko majuu siku hizi?
 
kusema humu watu ni mbumbu nilimaanisha baadhi ya watu

Next time tofautisha "baadhi ya watu" na "watu" it makes a world of a difference.

kwa na hasa huyo mtoa hoja
Vipi kuhusu wachangiaji wengine? Kwa maana umeshajisahihisha kwamba ulimaanisha "baadhi" vipi wale "baadhi" wengine ambao si mbumbumbu?


kwa maana kwa mimi binafsi sikuona tatizo lipo wapi...

Message inayosema leo ni sikukuu ya Mapinduzi Zanzibar (January 12 half a year later on in June na wewe huoni tatizo?


yeye amesema kwamba alikuwa na rafiki zake wanaopenda kuona simba akapiga simu akaambiwa kwamba ni sikukuu na arudi j'tu sasa tatizo lilikuwa wapi? kama ni sikukuu na watu hawaendi kazini kwa nini wao ubalozini wafanye kazi?

Comprehension muhimu, hakuambiwa alipata voice message inayosema ni sikukuu ya Mapinduzi, bado huoni tatizo hapo?

tatizo langu ni kwa nini mtu anashindwa kuelewa kitu kidogo kama hicho?

Mtu akikuambia anakutolea miezi sita ya maisha yako na kukuua miezi sita kabla ya siku life expectancy yako itakapoexpire wewe utaona kitu kidogo? Jibu honestly, thats miezi sita too, kitu kidogo hicho?

kila nchi au ofisi ina utaratibu wake na hao watu hawakuwa watz kutokana na mweka hoja kwa hiyo kulikuwa hakuna umuhimu wa watu wa ubalozi kuacha kupumzika siku ya mapumziko na kwenda kuwahudumia wao.. kama angekuwa ni mtz na ana tatizo hicho ni kitu kingine na ubalozi unapaswa kutafuta njia ya kumsaidia lkni hawa ni watalii tuu na walipaswa waelewe hilo... kama ni kuhusu ujumbe wa kwenye simu hilo kosa dogo ambalo halilpaswi kupewa kichwa cha habari kikubwa namna hiyo

Kosa dogo? Katika ulimwengu huu wa 8 second attention span ujumbe huu ndiyo unaweza kusababisha watu kuona Tanzania kama ni nchi ya kwenda au la! Unafahamu maana ya ubalozi? Ubalozi unatuwakilisha Watanzania wote katika nyanja zote, sasa hawa jokers wana send message kwamba Watanzania si watu masikini.Mimi nishafanya kazi sehemu ambazo hazina hadhi kama ya ubalozi na nisingeweza kuthubutu kuacha a misleading message kama hiyo, image is everything in today's word. Hawa watu wanalipwa kwa kazi gani? Tukisema yule mdada mkenya ana sabotage ubalozi wa Tanzania tuitakuwa tnaenda too far?


[/QUOTE]... sasa kuna mtu humu ambaye anishi huko sweden akasema kwamba siku hiyo huko kwao ni likizo sasa kama ndio hivyo nashangaa iweje mtu ashindwe kuelewa hilo.....mpaka aje kuandika humu?
mimi sitetei maovu dhidi ya nchi yangu kwanza kama kuna mtu ambaye amechoshwa na maovu nchini mwetu basi mimi mmoja wapo [/QUOTE]
Acha kutania, umechoshwa na maovu? Anayeweza ku tolerate kirahisi upumbavu mdogo, usiohitaji hela nyingi wala marifa ya juu kuutengeneza anaweza kushawishika kirahisi zaidi ku tolerate upumbavu ulio complicated.


lkni bado tz nchi yangu nitasimama siku zote kuitetea inaposhambuliwa bila sababu kwani hili linaniuma sana kwani hakuna nchi isiyokuwa na matatizo....

Ahaaa, kumbe huu ndio mzizi wa fitina, wewe unaona nchi yako inashambuliwa.You are right, nchi yako inashambuliwa, too bad hujaona from which side.Inashambuliwa na hizi cronyism based political appointment.Inashambuliwa na umangimeza.Inashambuliwa na incompetency ya kutojua kuset voicemail katika sehemu nzito kama ubalozini.Hayo ndiyo mashambulizi inayokubidi ku focus on, sio kuwa attack true patriots kwa guise ya patriotism

Frederick Douglass alisema

"A true patriot is a lover of his country who rebukes and does not excuse its sins"

in other words uweze kusema baya ni baya hata kama limefanywa na ubalozi wa Tanzania.Kwenye hili umefeli, unataka ku excuse mediocrity ya ubalozi wa Tanzania kwa sababu wengine wanafanya hivyo pia badala ya ku aspire kuona Tanzania inawazidi jokers wengine!

ni lazima watu tujadili mambo yaliyaokuwa na msingi na yanayotujenga si kubomoa ndio tz ni nchi yetu na ina matatizo lkni bado ni yetu ni lazima tuiteee na sii kuikandia

Tuitetee inapoboronga pia? Justb kwa sababu ni nchi yetu?


na kuhusu wageni kama kuna mtu humu kaandika kuhusu mkutana wa salivan(sina uhakika kama inaandikwa hivyo)

Next time verify spelling, kuna threads na official docs online.

akasema ni bora serikali ingeleta waingereza na sio hao waswahili sasa hiyo kweli ni akili?

Sasa hapa unachanganya madawa, mbona hukumjibu katika hiyo thread?

kama sio umbumbu basi sijui umbumbu maana yake ni nini? mbona haongelei hao waingereza na wajerumani walikabidhiwa miradi mingi na wakaharibu? ukiweka hoja ya mafanikio ya watz kama precionair ambaye ameajiri watz wengi tuu na kampuni ina mafanikio wachangiaji hakuna... mzungu akisema kitu kuhusu tz basi watu wanaamini na wanaanza kujadili...hilo ndilo tatizo langu inavyoelekea kwangu ni kwamba watu humu wanalala wakifikiria kuna kitu gani cha kukosoa kimefanyika badala ya kufikiria ni nini tufanye ili tuweze kuikomboa nchi... kwani ktk Dunia hii ni nchi chache sana zilizobahatika kama Tanzania......

Kwa nini wewe unayejua umuhimu wa kufanya (na si kulaumu tu) usituonyeshe mfano wa kufanya ili kusudi na sisi tuweze kuona? Huoni kwamba na wewe kwa kutulaumu sisi kwamba tunalaumu tu na hatufanyi kile mbadala unaingia katika mtego wetu wa kulaumu?

Je ulisoma pale juu kuhusu haki ya kulaumu bila kufanya?
 
kusema humu watu ni mbumbu nilimaanisha baadhi ya watu kwa na hasa huyo mtoa hoja kwa maana kwa mimi binafsi sikuona tatizo lipo wapi... yeye amesema kwamba alikuwa na rafiki zake wanaopenda kuona simba akapiga simu akaambiwa kwamba ni sikukuu na arudi j'tu sasa tatizo lilikuwa wapi? kama ni sikukuu na watu hawaendi kazini kwa nini wao ubalozini wafanye kazi?

ndugu "kijakazi", umenivunjia heshima sana. sina hakika una maana gani na neno "mbumbu" ila kama ni kwenda shule, mimi nafundisha chuo kikuu - computer science. kama bado nastahili kuitwa mbumbu leo, nachelea nitawaambukiza watoto wenu. kijakazi, naomba kazi ya kufagia nyumbani kwako.

Tatizo ni kuwa, simu ilikuwa inasema ni sikukuu ya "January 12" wakati pamoja na umbumbu wangu, nilikuwa na hakika ijumaa ilikuwa "June 6". Hii ikapelekea mimi kuwa na hakika kabisa kuwa hapo ubalozini kuna uzembe mkubwa unaendelea. na ndio sababu ya kutafuta namba zingine.

Sasa kama wewe unaona ni kwanini sikuamini kuwa ilikuwa sikukuu ya January 12, basi wewe una akili sana. wewe sio mbumbu.

ukiangalia huyu mgeni hapa "uniquetanganyik" (see post #17 in this thread) amenifahamisha June 7, ameandika "Nadhani tatizo ni kuweka wrong date kwenye answering machine" nami nimemshukuru sana. mi nimefurahi kuwa hata mtanzania aliyeko huko (yaani uniquetanganyik) amekubali kuwa tatizo lilikuwepo.

na pamoja na kuniita mimi mbumbu, ila ujue through my post, JF imepata member mmoja aliyejiunga kujibu hoja yangu (hii post #17 ndo ilikuwa post ya kwanza ya uniquetanganyik). namkaribisha na namtakia kila la kheri alete hoja zenye msingi kama alivyojibu hoja yangu. kwani alielewa kuwa mi nahitaji kueleweshwa, na huu ni mwanzo mzuri.

niliwashauri wale jamaa watume maombi ya Denmark na naamini watafika hapa (ofcourse kuongeza hela kwenye mzunguuka wa shilingi yetu).

ujue ijapokuwa mimi ni umbumbu lakini, hata website yao haikusema kuwa ni siku kuu na wana simu kibao (ofcourse tunaendelea kuzi-audit hizi simu zote ili tuone za kweli ni zipi tufikishe taarifa kunakohusika). haya mambo ya ICT ndo professional yangu ya kimbumbu hivyo nitashauri kimbumbu mbumbumbu hivyo hivyo.

hii website yao wametumia Joomla! CMS kuijenga. lakini URLs zote sio Search Engine Optmised (SEO) URLs zina alama za sawa sawa (mfano: http://www.tanemb.se//index.php?option=com_content&task=view&id=32&Itemid=58) wakati moja ya sifa yake kuu hii Joomla! CMS ni kuenable SEO. kwa ilivyojengwa kimbumbu webiste hii sasa hivi sio rahisi kuzi-google information zake.

huu ni umbumbumbu pia kwani kila mtengeneza website lazima ajue njia rahisi ya watu kujua kilichoko kwenye website yake ni kupitia googleling. hizi url watu huwa hawazikumbuki sana, au sio jamani au naendeleza umbumbu hapa?
 
ndugu "kijakazi", umenivunjia heshima sana. sina hakika una maana gani na neno "mbumbu" ila kama ni kwenda shule, mimi nafundisha chuo kikuu - computer science. kama bado nastahili kuitwa mbumbu leo, nachelea nitawaambukiza watoto wenu. kijakazi, naomba kazi ya kufagia nyumbani kwako.

Tatizo ni kuwa, simu ilikuwa inasema ni sikukuu ya "January 12" wakati pamoja na umbumbu wangu, nilikuwa na hakika ijumaa ilikuwa "June 6". Hii ikapelekea mimi kuwa na hakika kabisa kuwa hapo ubalozini kuna uzembe mkubwa unaendelea. na ndio sababu ya kutafuta namba zingine.

Sasa kama wewe unaona ni kwanini sikuamini kuwa ilikuwa sikukuu ya January 12, basi wewe una akili sana. wewe sio mbumbu.

ukiangalia huyu mgeni hapa "uniquetanganyik" (see post #17 in this thread) amenifahamisha June 7, ameandika "Nadhani tatizo ni kuweka wrong date kwenye answering machine" nami nimemshukuru sana. mi nimefurahi kuwa hata mtanzania aliyeko huko (yaani uniquetanganyik) amekubali kuwa tatizo lilikuwepo.

na pamoja na kuniita mimi mbumbu, ila ujue through my post, JF imepata member mmoja aliyejiunga kujibu hoja yangu (hii post #17 ndo ilikuwa post ya kwanza ya uniquetanganyik). namkaribisha na namtakia kila la kheri alete hoja zenye msingi kama alivyojibu hoja yangu. kwani alielewa kuwa mi nahitaji kueleweshwa, na huu ni mwanzo mzuri.

niliwashauri wale jamaa watume maombi ya Denmark na naamini watafika hapa (ofcourse kuongeza hela kwenye mzunguuka wa shilingi yetu).

ujue ijapokuwa mimi ni umbumbu lakini, hata website yao haikusema kuwa ni siku kuu na wana simu kibao (ofcourse tunaendelea kuzi-audit hizi simu zote ili tuone za kweli ni zipi tufikishe taarifa kunakohusika). haya mambo ya ICT ndo professional yangu ya kimbumbu hivyo nitashauri kimbumbu mbumbumbu hivyo hivyo.

hii website yao wametumia Joomla! CMS kuijenga. lakini URLs zote sio Search Engine Optmised (SEO) URLs zina alama za sawa sawa (mfano: http://www.tanemb.se//index.php?option=com_content&task=view&id=32&Itemid=58) wakati moja ya sifa yake kuu hii Joomla! CMS ni kuenable SEO. kwa ilivyojengwa kimbumbu webiste hii sasa hivi sio rahisi kuzi-google information zake.

huu ni umbumbumbu pia kwani kila mtengeneza website lazima ajue njia rahisi ya watu kujua kilichoko kwenye website yake ni kupitia googleling. hizi url watu huwa hawazikumbuki sana, au sio jamani au naendeleza umbumbu hapa?

haya ndio uliyoandika kwenye posti yako !


jamani. Kuna watu wanataka kwenda Tanzania kuona Simba.

nikasema easy, tuma maombi sweden mara moja. kufungua mtandao wa embasy wameweka simu hii +46 8 732 24 30/31. kupiga ha! tunaambiwa leo tarehe 6 June 2008 ni sikukuu ya "January 12" hivyo ubalozi umefungwa mpaka jumatatu. kusearch search kwenye hii website yao nikaona simu hii Tel: 46 8 503 20600/1, piga piga na wewe hamna kitu kabisa.

nikasema ngoja nimuulize katibu wa chama cha watanzania Oslo, Norway. akasema yeye ana "business card" ya embasy akanipa simu hizi +46-87322433/4. piga piga piga hamna kitu.

ndo yalonikuta mwenzenu. web ya ubalozi
sasa kama wewe ni computa scientist kama unavyodai inamaananisha pia ni mwanasayannsi fulani.. sasa kutokana uliyoandika hapo juu ulishindwaje kuelewa kitu hapo.. unaambiwa kwamba ubalozi umefungwa mpaka j'tu sasa kwa nini usirudi j'tu? ni nini kigumu hapo cha mwanasyansi kuelewa mpaka kuja kuandika humu na kulalamika kana kwamba kwa maana kutokana ujumbe wako mimi nilishtuka nikafikiri mtz kaenda ubalozini huko ana matatizo kuomba msaada na akfukuzwa kumbe kuja kusoma naona kuna mzungu aliyetaka kwenda tz kwa raha zake kuona simba isipokuwa ubalozi wakasema kuwa umefungwa sababu ya sikukuu mpaka j'tu sasa mimi sioni kilichokuabisha ni nini, na hata kama hao wageni zako kama wana akili timamu na ungewaelza kuwa ujumbe uliowekwa kwenye simu umekosewa basi hatuna budi kujaribu j'tu na kama wanatoka huko sweden basi pia walipaswa kuelewa hilo bila matatizo yeyote kwa kuwa kutokana na mchangiaji mmoja anyeishi huko alisema siku hiyo ilikuwa ni siku ya mapumziko huko, sasa hicho ndio kitu ambacho nashindwa kuelewa ni nini hasa kilichokuabisha? kwani kosa kama hilo linatokea kila mahali ni kosa dogo sana...
kuhusu hayo mambo ya mtandao sasa hapo ndipo mchango wako unapokuja kama mtz mwenye uchungu na nchi yake kwa nini usijaribu kuwasiliana nao na kujaribu kuboresha hilo badala ya kulalamika?
 
sasa kama wewe ni computa scientist kama unavyodai inamaananisha pia ni mwanasayannsi fulani.. sasa kutokana uliyoandika hapo juu ulishindwaje kuelewa kitu hapo.. unaambiwa kwamba ubalozi umefungwa mpaka j'tu sasa kwa nini usirudi j'tu? ni nini kigumu hapo cha mwanasyansi kuelewa mpaka kuja kuandika humu na kulalamika kana kwamba kwa maana kutokana ujumbe wako mimi nilishtuka nikafikiri mtz kaenda ubalozini huko ana matatizo kuomba msaada na akfukuzwa kumbe kuja kusoma naona kuna mzungu aliyetaka kwenda tz kwa raha zake kuona simba isipokuwa ubalozi wakasema kuwa umefungwa sababu ya sikukuu mpaka j'tu sasa mimi sioni kilichokuabisha ni nini, na hata kama hao wageni zako kama wana akili timamu na ungewaelza kuwa ujumbe uliowekwa kwenye simu umekosewa basi hatuna budi kujaribu j'tu na kama wanatoka huko sweden basi pia walipaswa kuelewa hilo bila matatizo yeyote kwa kuwa kutokana na mchangiaji mmoja anyeishi huko alisema siku hiyo ilikuwa ni siku ya mapumziko huko, sasa hicho ndio kitu ambacho nashindwa kuelewa ni nini hasa kilichokuabisha? kwani kosa kama hilo linatokea kila mahali ni kosa dogo sana...
kuhusu hayo mambo ya mtandao sasa hapo ndipo mchango wako unapokuja kama mtz mwenye uchungu na nchi yake kwa nini usijaribu kuwasiliana nao na kujaribu kuboresha hilo badala ya kulalamika?

Kijakazi,
Kumbe wee Mbishi? Mhhh!!! naona hujui kabisa watu na tabia zao.
Umeambiwa kuwa jamaa anafundisha computer science sasa unategemea nini kutoka kwa mtu kama huyo? Hawa ndiyo watu huwa anaweza kumkimbia mkewe kitandani ili aendelee kuifanya ile program inayomsumbua kwa siku tatu mfululizo. Hawa watu logic zao zimekaa tofauti na za watu wengine. Akifika ubalozini anajua kuwa anaongea na wasomi na hawa upuuzi hawana. Sasa kama ilivyo computer ni kwamba hata kama atakuwa kakosea A badala ya B ni kwamba itagoma kufanya kazi. katika hesabu za LOGIC ni kuwa kama A ni wrong thn ukachanganya A na B zote zinakuwa Wrong ingawa B ni wright. Kitendo cha kusikia UBALOZINI unasema sherehe ya Mapinduzi Zanzibar wakati huo ni sherehe ya Waswidi, basi hata kama ni kweli, hii inaleta walakini na kujiuliza mara mbili kama ubalozi huo upo kweli au lahh. Angelisubiri hadi jumatatu na kufika jumatatu akapata jibu lile lile si ingelikuwa kupoteza muda wa Wazungu? Heri kuuliza na kupewa jibu kwani YOU HAVE NOTHING TO LOOSE. Waswidi wanasema Time is PENG'AA :)
Mtoa maada wee endelea na hayo ma C++ yako huko na ntaomba tu muda ukifika urudi tanzania ukawafundidhe vijana wengine na wao waijue UNIX au BIBLIA yenu (Sijui nimepatia) kama mnyavyoiita. Ni heri kutoa uozo mdogo mdogo kama huu kabla haujawa mkubwa. Kama wamesoma basi kesho watakuwa waangalifu. Unaweza kukuta huyu Kijakazi ni mfanyakazi au mwanandugu wa watu wa ubalozini. Hivyo Ujmbe utakuwa umefika....
 
Back
Top Bottom