viongozi wa Chadema wakiongozwa na gwiji la siasa za ghiliba, uzushi, uongo, uchochezi na kila aina ya vurugu na uvunjaji wa sheria kwa makusudi lililopewa kazi ya kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho baada ya kushindwa useja wa Kanisa Katoliki, Dk. Wilbroad Slaa.
Wapambe linaowaongoza katika kufanya hivyo ni pamoja na Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Ubungo jijini Dar es Salaam, John Mnyika; Mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema na vichwa maji wengine wa kisiasa kama Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa, Mbunge wa Nyamagana mkoani Mwanza, Ezekiel Wenje na kadhalika.
Nadhani ulikuw aunamaanisha kivingine na sio hicho ulichokiandika na kama ndicho nafikiri wewe ndo utakuwa kwenye hilo kundi la mwanasiasa mwenye chuki na siasa za ghilba na mzushi
Maana nimesoma thread yako nimeshindwa kujua ulikuwa unamaanisha nini na ulikuwa na lengo gani na ujumbe wako ni nini kwa jamii
Wapambe linaowaongoza katika kufanya hivyo ni pamoja na Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Ubungo jijini Dar es Salaam, John Mnyika; Mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema na vichwa maji wengine wa kisiasa kama Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa, Mbunge wa Nyamagana mkoani Mwanza, Ezekiel Wenje na kadhalika.
Nadhani ulikuw aunamaanisha kivingine na sio hicho ulichokiandika na kama ndicho nafikiri wewe ndo utakuwa kwenye hilo kundi la mwanasiasa mwenye chuki na siasa za ghilba na mzushi
Maana nimesoma thread yako nimeshindwa kujua ulikuwa unamaanisha nini na ulikuwa na lengo gani na ujumbe wako ni nini kwa jamii