Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Naomba nichukue fursa hii kuwashukuru kwa salam za faraja mlizonitumia kupitia MMU kufuatiwa kuondokewa na baba yangu mpendwa.Wapendwa Dena,Sweetlady,Wakumwitu,Pdiddy,Likasu,Freetown,Sweetdada,Baba Enock,Mayenga,Baba Lao,NATA,Kure(avatar yako kiboko!),Afro Denzi,PakaJimmy,Susy(na wewe again pole na msiba wa dada),Freema Agyeman,Edson,Fidel80,Simbamiwene,Ivuga,Iza,Saharavoice,Pearl(na wewe pole mama kwa kuondokewa na baba ),Miss Judith,Dark City,Mwanajamiione,Lizzy,Blakiwoman,Mpevu,Jaguarpaw,Bubu ataka kusema,Mpendwa,Mtumishi wetu,Nnunu,Born town(avatar ya kikombe,du!),Chapakazi,Pota,Ferdinandes Rodri,Eltorro,Mbimbinho(avatar yako mwisho wa matatizo!),Mzee punch(wa UDSM 80's?,msiba ulikuwa bukoba),The Finest,Husniyo,Sugar wa ukweli,Jomse,Maalim Jumar,Michelle,Mufiya Kicheko,ANY,Chetuntu,Gaga na Quinty nawashukurini sana kwa salam zetu.
Gaga amezungumzia suala la ubani,mi nakubaliana naye maana kusema kweli kupitia MMU baadhi yetu kupitia keyboard tumejenga undugu.Nashauri Ndugu Maxence asajili namba vodacom/tigo/airtel specific kwa ajili ya kutoa rambirambi na misaada kwa wana MMU wenye shida.Kupitia namba hii tunaweza kuwa tunachangia wenzetu wenye matatizo na Maxence anaweza kuwa anawa PM waliochangiwa ili awapitie michango yetu.
Kwa mara nyingine nawashukuruni sana wana MMU,tuendelee na moyo huu huu.
Gaga amezungumzia suala la ubani,mi nakubaliana naye maana kusema kweli kupitia MMU baadhi yetu kupitia keyboard tumejenga undugu.Nashauri Ndugu Maxence asajili namba vodacom/tigo/airtel specific kwa ajili ya kutoa rambirambi na misaada kwa wana MMU wenye shida.Kupitia namba hii tunaweza kuwa tunachangia wenzetu wenye matatizo na Maxence anaweza kuwa anawa PM waliochangiwa ili awapitie michango yetu.
Kwa mara nyingine nawashukuruni sana wana MMU,tuendelee na moyo huu huu.