hongera kaka, mungu ni mwema mpe gwala wife.salam wadau,
ijumaa ya leo imekuwa ya furaha sana baada ya wife kujifungua salama mtoto wa kiume
Ha ha ha ha ha ha leo umeniwahi nilitaka kutapika haya haya
ur so pathetic!Matusi uliyotukana mi namwachia Mungu tu, maandiko yananiambia nisamehe saba mara sabini. Malaika wa Mungu wata-deal na wewe tu, we subiri adhabu tu!