Mikoba?hongera Mkuu, Umepata wa kumkabidhi mikoba
mpe jina langu Edson....
hongera sana mkuu , 01/07/2011 tarehe nzuri sana ya siku ya kuzaliwa
nawatakia afya njema mama na mtoto
Sweetlady umenena ukweli mtupu! Jojipoji ana kila sababu ya kuonyesha furaha yake hapa.Maana siku hizi ukiwa mjamzito ni kama unatembea na kifo.Hongera sana Joji!!!!!!!!!Siku hizi ukiwa mjamzito na ukajifungua salama ni bahati ndugu yangu, Joji amefurahia hiyo bahati so akaona si vibaya kushea furaha yake na memba wenzie... Wanawake wanakufa sana wakat wa kujifungua...
Trh 1 July duh? Mzee ulicheza vyema na trh za mwanzo, mwanao atakua mfanyabiashara!Salam wadau,Ijumaa ya leo imekuwa ya furaha sana baada ya wife kujifungua salama mtoto wa kiume
Kaonane na daktari wa magonjwa ya akili asap!Kwani kupata mtoto ni big deal, mi kila siku navikataa hivyo vi-kid. Sasa naona kuna umuhimu wa kuanzisha Jukwaa la UJAUZITO NA KUJIFUNGUA. Siyo kila kitu lazima kije hapa, mwisho mtaanza kupost mpaka chakula mnachokula sasa.