Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Ndugu zanguni kila kitu tukiomba tukumbuke na kushukuru ndipo mungu anaongeza mengine,wakati na kabla ya uchaguzi wengi waliandika na kuomba maombi mengi mungu achague chaguo sahihi la rais mtarajiwa wa marekani,na ndicho kilichofanyika hivyo leo hii,nimeona tumshukuru mungu kwa sala zetu nakuamini kila tuombacho jf tutafanikiwa mungu ibariki dunia
amen
amen