MSOROPOGAS
Member
- Mar 7, 2012
- 65
- 11
Najua mnaamini agano la kale, sasa tatizo ni kuwatoa watu utumwani?,kuwaweka watu huru na umaskini, magonjwa nk?. Au unataka asemee tabiri za sheik yahaya (lamli)kuwa mauti yangetufika kwa kumpinga jk?
sheria za jf zirekebishwe..watu wenye upeo mdogo wavuliwe membership,sasa ndo nini hapo?
Nilijua uzi umeletwa na mtu mwenye akili nikafungua haraka daaah!
Miss Zomba,
Whatever you have been chewing,drinking,sniffing or smoking kindly share with us.....you seem to be highly intoxicated!
Lakini hii njemba siielewi-elewi. hizi links za Mwl. Mwakasege ni very deep teachings. Anachokoachokonoaje huku?
.great Zombie!
zomba,mkuu udini ni sehemu yako ya maisha?Kazi kweli kweli
Pro-CDM wakiona Id zomba hata kabla ya kusoma lazima moto uwakeKuna neno langu hata moja hapo linaashiria udini? kuwa mkweli kwa nafsi yako, mimi nime m"quote" Halima Mdee kama ilivyo humuhumu JF na hiyo hotuba imebandikwa humu na Makene. Kwanini unishutumu mimi? au niliposema "kwa heshima" na "ahsante Halima Mdee" ndio udini? sikuelewi.
Zomba wewe ni mshari hilo halina ubishiKuna neno langu hata moja hapo linaashiria udini? kuwa mkweli kwa nafsi yako, mimi nime m"quote" Halima Mdee kama ilivyo humuhumu JF na hiyo hotuba imebandikwa humu na Makene. Kwanini unishutumu mimi? au niliposema "kwa heshima" na "ahsante Halima Mdee" ndio udini? sikuelewi.
Najua mnaamini agano la kale, sasa tatizo ni kuwatoa watu utumwani?,kuwaweka watu huru na umaskini, magonjwa nk?. Au unataka asemee tabiri za sheik yahaya (lamli)kuwa mauti yangetufika kwa kumpinga jk?
Pro-CDM wakiona Id zomba hata kabla ya kusoma lazima moto uwake
Context ni hii hapa, ni wapi ilipokaa "kisharishari" tafadhali nifahamishe:
"Kwa heshima napenda kumpa ahsante Mbunge wa Chadema Mheshimiwa Halima Mdee kwa haya:"
Zomba wewe ni mshari hilo halina ubishi
T 2015 cdm
Zomba wewe ni mshari hilo halina ubishi
"Kwa heshima napenda kumpa ahsante Mbunge wa Chadema Mheshimiwa Halima Mdee kwa haya:"
Mheshimiwa Spika, napenda pia kutoa shukrani za dhati kwa CHADEMA kikiwa chini ya Mtendaji wake mkuu (KATIBU MKUU-TAIFA), Mhe. Wilbroad Peter Slaa. Hakika kila Mtanzania anaona kazi unayoifanya ya kuhakikisha chama chetu kina kuwa juu na Watanzania wote wanatuunga mkono. Mungu akupe uhai, naamini ipo siku tutaifikia Nchi ya Ahadi! - Halima Mdee Bungeni 11-07-2012 .
Soma zaidi: "tutaifikia Nchi ya Ahadi".
zomba vipi kuhusu hili? Rais ambaye JK anaweza kujipima naye ni Ali Hassan Mwinyi labda na Mkapa kidogo. Rais wa kwanza Mwl. Nyerere pamoja na kutokuwepo rasilimali nyingi wakati huo alijenga kiwanda karibia kila mkoa. Alijenga nyumba za serikali ambazo wezi Mkapa na Magufuli wamekuja kuuza, alijenga bandari Dar, Tanga, Mtwaraxxd, Mwanza, ALIONGOZA SERIKALI YENYE NIDHAMU AMBAYO RUSHWA ILIKUWA NI MWIKO. Alileta umoja wa kitaifa kwa kuongoza serikali bila kujali dini wala. Wakati wake elimu ilikuwa inatolewa bure tena kwa ubora wa hali ya juu. Wakati wake shule zilikuwa na vifaa na waalimu. Wakati wa Kikwete elimu katika shule za msingi na sekondari imekuwa na mzaha tu.Ni kipi hujakielewa ili nikufahamishe nnapoweza. Naomba soma vizuri posts zangu utanielewa tu na utapoona hujapaelewa nijulishe, ndio raha ya forum.
siumesema ni upeo mdogo ni kweli hata member wengi wanamjuasheria za jf zirekebishwe..watu wenye upeo mdogo wavuliwe membership,sasa ndo nini hapo?
zomba vipi kuhusu hili? Rais ambaye JK anaweza kujipima naye ni Ali Hassan Mwinyi labda na Mkapa kidogo. Rais wa kwanza Mwl. Nyerere pamoja na kutokuwepo rasilimali nyingi wakati huo alijenga kiwanda karibia kila mkoa. Alijenga nyumba za serikali ambazo wezi Mkapa na Magufuli wamekuja kuuza, alijenga bandari Dar, Tanga, Mtwaraxxd, Mwanza, ALIONGOZA SERIKALI YENYE NIDHAMU AMBAYO RUSHWA ILIKUWA NI MWIKO. Alileta umoja wa kitaifa kwa kuongoza serikali bila kujali dini wala. Wakati wake elimu ilikuwa inatolewa bure tena kwa ubora wa hali ya juu. Wakati wake shule zilikuwa na vifaa na waalimu. Wakati wa Kikwete elimu katika shule za msingi na sekondari imekuwa na mzaha tu.
Unamdharau Nyerere ndio Ushari wakoMuulize aliyeandika, mimi nimekuuliza ni wapi mimi mshari? mbona unarusha? unabandika post ambayo sio yangu halafu unaniuliza vipi?