mimi tena! nitajaaje sasa hapo uwanjani kha! maandalizi je? sema kabisa vinavyohitajika nina hasira siku mbili hizi toka dr. aumizwe lol!
Mentor mbona sikusomi kwenye rada yangu jamani?? upo?? mithd u kha!Ukweli nimeumia, babu sijafurahi
radhiyo naingojea, fasta fasta we uwahi
kabla dongo sijatupia, nashindwa kujistahi
pona yako we ni kero, kwanza ushazeeka!!!
ukaguzi we huwezi, aliyesema cacico
za zamani hazikizi, hamu za waja kwako
twachie wenye mizizi, fuata saizi yako
pona yako we ni kero, kwanza ushazeeka!!!
Aaaaarrrrrooooo hapo kwenye red unasemaje? nitakugecha ujue?
ila taratibu cacico manake unavyoendelea utamfanya Young_Master amkojoze mtu samaki ma dearest.
Hivi biti lote alilotoa Young Master, halikufanya Kazi? Kweli kunguru hafugiki.
Bado nakikumbuka kiuno chako my dear and darlin cacico. Unaonaje ukimpiga chini Young_Master. Mie kushea hata siwezagi bana!do remember t papito! was maverlous! i realy enjoyed, n u knw what Young_Master kaona chata ya ODM kwenye nyonga haelewi ni nini, anadhani maua! mwahhh Asprin my babu am coming!
Ukweli nimeumia, babu sijafurahi
radhiyo naingojea, fasta fasta we uwahi
kabla dongo sijatupia, nashindwa kujistahi
pona yako we ni kero, kwanza ushazeeka!!!
ukaguzi we huwezi, aliyesema cacico
za zamani hazikizi, hamu za waja kwako
twachie wenye mizizi, fuata saizi yako
pona yako we ni kero, kwanza ushazeeka!!!
Usiwe na haraka kama cha kwanza!agenda za kikao?
Heheheheeeee nimecheka mieSina ball, acha nitulize kalio
Will be right back after lunch time....saa naneeee!!!Will be right back!!!
:hat::hat::hat::hat:
hehehehe Mentor ati nani junior cux??? mmmhhh jamani mbona msururu hivyo jamani mnaniwekea kha! ngoja Young_Master akukojoze ngisi ndio utakoma! kha!
nyoka mimi sibadiliki ng'o! nipo kwa kujiamini my lovieee Young_Master! liwalo na liwe nitakupigania milele! achana na Remmy!Nyoka ni nyoka tu Remmy hata siku moja hawezi kuwa kambale.