Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Huo muda sijaelewa, saa 2.30 usiku au saa 8.30.
Kuna nini tena mod?
Last edited by a moderator:
Maskini nitonye ulimtoa kafara ili utajirike?
Nitape tape au nimetulia nabembelezwa?
Mwenzio nikibebwa nakunja miguu lol
Nimeweka 2.30pm hapo bado hujaelewa tu au ndio umeanza kikwazo?Huo muda sijaelewa, saa 2.30 usiku au saa 8.30.
Kuna nini tena mod?
Watakuwepo kwa kuwa kuhudhuria kikao ni lazma na sio ombi!
bishanga we acha mwanaume ana hila huyusijapata kuona, isingekuwa vihela ningeshamwaga siku nyingi sana
Nimeweka 2.30pm hapo bado hujaelewa tu au ndio umeanza kikwazo?
Uje usikie tamko....
Kuhudhuria kikao ni lazma
Hahahaha, mganga aliyeshindwa kuagua??? lol! Tunaruhusiwa kwenda kumpa hi Erotica?
Heheheheeeee posho sio ishu kwa pedeshee kijana kama mimi!Mie lugha haipandi
Vipi kuna Posho ya kikao?
Kujiamini hakupo siku hiziHahahaaaaa.....
Wivu Bwana.....!
Watu hata hamjiamini....
do remember t papito! was maverlous! i realy enjoyed, n u knw what Young_Master kaona chata ya ODM kwenye nyonga haelewi ni nini, anadhani maua! mwahhh Asprin my babu am coming!
Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kusomwa na Young_Master, Erickb52, Mentor, Lily Flower na FirstLady1
mimi tena! nitajaaje sasa hapo uwanjani kha! maandalizi je? sema kabisa vinavyohitajika nina hasira siku mbili hizi toka dr. aumizwe lol!haya ni mambo ya kibondei BADILI TABIA. umeniaminia lakini? leo baadae nitakua na darasa la mfyonzo saa kumi mwambie cacico na sweetlady Erotica yuko honey moon kwasasa hivyo mwache apumzike.