Ahmed Rajab: Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

Jokakuu.

Ninachosema ni ukweli usiopingika na nimekiona kwa macho yangu na kukifanyia kazi kubwa. Wewe jaribu tu kuangalia
1.kwanza kabisa Bunge la Katiba ya muungano ambalo wakti huo walikuwa ni kamati kuu ya chama tawaala Znz na Tanganyika. Wajumbe 20 kila upande. Tafuta majina yao upande wa Tanganyika. Jiulize ilihitajika shule kiasi gani hapo kupitisha katiba hiyo?

2.Hata Katiba yenu ya 77 wajumbe wake. Angalia wajumbe kuto ka Tanganyika? jiulize ilihitajika shule kiasi gani hapo kupitisha katiba hiyo?

Mimi nilifanya kazi wizara ya fedha mara baada kumaliza UDSM. Nakumbuka wakti wetu katika wakuu wa idara wakti ule 14 za wizara hiyo waislam tulikuwa 6 tu na 4 kati yao tulikuwa tunatoka Znz.Na sisi tuliletwa ingawa tulikuwa wote ni graduates 2 wetu wakiwa ma shahada za uzamili lakin lengo kuu ilikuwa nikuzidi kuimarisha muungano kwa Tanganyika

Suala la UDINI kwa bara ni suala la urithi toka kwa wakoloni ambao walitumia njia hii kuweza kuwatawala kama walivyotumia ukabila huko kenya na Uganda.

Suala hili lilizimwa na Muungano wenu na Znz. Lakin sasa naona kuna kila dalili za kuibuka tena haswa baada wa watunza siri akina Mtei kuanza kuliibua na kuliweka hadharani.

Mimi nimestahajabu kusikia BAKWATA ambacho ni chombo maalum cha Serikali kilichoundwa kuwadhibiti waislam kimeungana na Jumuiya nyingine za Kiraia kudai haki zao kielimu na hata katika mustakabali wa zoezi la Sensa.

Tukumbuke kuwa historia siku zote haifichiki na inajirudia kila mara. Na hakuna dhulma yenye kudumu.

Jaribu kukumbuka wakati ule wewe unabahatika kusoma kwa msukumo wa wazazi wako ni majirani wangapi wa kiislamu walikua wakiwaamsha watoto wao kwenda MADRASA kukariri kurani na sio kwenda darasani? Kubali ukweli kua wakati ule na hata sasa waislamu huona fahari mtoto kujua dini kuliko elimu dunia.

Hapo utapata jibu kua waislamu wakati ule na hata sasa muamko wa elimu no mdogo mno, sasa tukupe wizara na elimu ya Madrasa?
 
Gwalihenzi,
Barubaru na DINI yake ni zaidi ya unavyomfikiria. Anataka tuteuane, tusome shule, tuajiriane, tugombee nafasi za kisiasa, kwa kutumia DINI zetu kwanza. Sensa nayo ituulize DINI zetu ili mwisho wa siku tugawane vyeo na madaraka kwa kuzingatia DINI! Anasahau tu kwamba DINI ni suala la mtu na Mungu wake. Huko aliko sasa DINI ni moja lakini kuuana kuko palepale!


sasa wewe unashangaa hilo.

Kumbuka hata Mwanzilishi na muasisi wa Chadema Mzee Edwin Mtei alitoa mawazo yake kuhusu Tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya ya muungano huko Tanzania. Alisema '' TUME IMEJAA WAISLAM WENGI''.

Je unajuwa kwanini alisema hivyo?

Alie lala usimwamshe. na ukimwamsha ...
 
Jaribu kukumbuka wakati ule wewe unabahatika kusoma kwa msukumo wa wazazi wako ni majirani wangapi wa kiislamu walikua wakiwaamsha watoto wao kwenda MADRASA kukariri kurani na sio kwenda darasani? Kubali ukweli kua wakati ule na hata sasa waislamu huona fahari mtoto kujua dini kuliko elimu dunia.

Hapo utapata jibu kua waislamu wakati ule na hata sasa muamko wa elimu no mdogo mno, sasa tukupe wizara na elimu ya Madrasa?


Kwenda madrasa ni ja,bo la kawaida sana kule Znz na hakuna famili au watoto wasiokwenda madrasa na kisha skuli. Na nakumbuka Tanganyika wakti mmoja kulikuwa na waziri wa Elimu ambaye alikuwa akiitwa ELINAWINGA ambaye alikuwa Padre. Je umewahi kusikia visa vyake.

Lakin kwa Data kamili kwa walio graduate kuanzia 1974 mpaka 1982 UDSM fani zote kwa % waZnz tulikuwa juu sana ukilinganisha na waTanganyika. Kwa kuangalia population ya nchi hizo mbili. N.B waZnz tulikuwa chini ya laki sita na Tanganyika walikuwa zaidi ya milioni 25.

Lakin katika mada yangu nimebainisha kuwa Muungano uliundwa na mpaka sasa na unatetewa na watu wa Bara sababu kuu ni kulinda usalama wenu na si Znz. sababu kuu ni udini ambao mliachiwa na wakoloni wenu.

Nje a muungano wenu lazima waislam na wakristo mtagawana pasu kwa pasu. Kwani kauli ya mtei kuhusu Tume iliwashitua wengi sana kuona pamoja na kusoma kwenu kama kweli lakin bado hampendi na wenzenu wa upande wa pili wapate. Kila kitu nyie tu. na wakipata wenzenu NONGWA

Sijui kama nalo umeligundua.
 
Jokakuu.

Ninachosema ni ukweli usiopingika na nimekiona kwa macho yangu na kukifanyia kazi kubwa. Wewe jaribu tu kuangalia
1.kwanza kabisa Bunge la Katiba ya muungano ambalo wakti huo walikuwa ni kamati kuu ya chama tawaala Znz na Tanganyika. Wajumbe 20 kila upande. Tafuta majina yao upande wa Tanganyika. Jiulize ilihitajika shule kiasi gani hapo kupitisha katiba hiyo?

2.Hata Katiba yenu ya 77 wajumbe wake. Angalia wajumbe kuto ka Tanganyika? jiulize ilihitajika shule kiasi gani hapo kupitisha katiba hiyo?

Mimi nilifanya kazi wizara ya fedha mara baada kumaliza UDSM. Nakumbuka wakti wetu katika wakuu wa idara wakti ule 14 za wizara hiyo waislam tulikuwa 6 tu na 4 kati yao tulikuwa tunatoka Znz.Na sisi tuliletwa ingawa tulikuwa wote ni graduates 2 wetu wakiwa ma shahada za uzamili lakin lengo kuu ilikuwa nikuzidi kuimarisha muungano kwa Tanganyika

Suala la UDINI kwa bara ni suala la urithi toka kwa wakoloni ambao walitumia njia hii kuweza kuwatawala kama walivyotumia ukabila huko kenya na Uganda.

Suala hili lilizimwa na Muungano wenu na Znz. Lakin sasa naona kuna kila dalili za kuibuka tena haswa baada wa watunza siri akina Mtei kuanza kuliibua na kuliweka hadharani.

Mimi nimestahajabu kusikia BAKWATA ambacho ni chombo maalum cha Serikali kilichoundwa kuwadhibiti waislam kimeungana na Jumuiya nyingine za Kiraia kudai haki zao kielimu na hata katika mustakabali wa zoezi la Sensa.

Tukumbuke kuwa historia siku zote haifichiki na inajirudia kila mara. Na hakuna dhulma yenye kudumu.

Barubaru,

..zingatia hapo kwenye RED.

..mosi, wa-Znz mmekuwa mkipendelewa kwa kupewa nafasi ktk maidara ya muungano bila kuwa na qualifications.

..pili, wa-Znz muungano umekuwa ukiwanyima nafasi Waislamu wa Tanganyika. Nafasi ambazo walistahili kupewa Waislamu wa Tanganyika zimekuwa zikichukuliwa na wa-Znz ambao hata hawajasoma vya kutosha.

..Katika mazingira hayo tunaopaswa kulalamika ni sisi wa-Tanganyika. Muungano ni DHULUMA tupu kwa wa-Tanganyika. Tunabebeshwa gharama tusizostahili na kutukanwa matusi ya kila aina na wa-Znz.
 
Wanajamvi,
Kwanza niwatake radhi wale watumiaji wa simu. Mijadala muhimu kama huu ni vema ukawekwa wazi bila kumpandikizia mtu maneno. Mjadala ujibu hoja kama ziznavyoletwa.

Wiki iliyopita katika uzi huu tulichambua maandiko ya Bw. Ahmed Rajabu. Tulisema kuwa Ahmed amekuwa ndumila kuwili lakini picha yake ni UAMSHO.

Leo amejaribu sana kujibu hoja zetu na nina imani ni mwenzetu humu ingawa hajitokezi
Nimenukuu makala yake kutoka Rai mwema(hisani) na tuifafanue, kuichambua na kuinyambulisha kwasababu majibu yanaanza kupatikana.

Kwanza kabisa Ahmed Rajab amebadili msimamo wake wa siku nyingi wa kutaka muungano uvunjwe. Nadhani amefunguka baada ya kusoma ukweli na kusikia Watanganyika wanasema 'Let Zanzibar go'
Anajua kuwa uchochezi wake utawatokea puani nduguze na atabeba sehemu ya lawama.

Amejenga hoja ya mkataba na kutaka kuuaminisha ulimwengu kuwa Watanganyika na Wazanzibar wanataka mkataba.
Tuendelee kwa kuchagua baadhi tu ya hoja kwa vile makala ni ndefu na inajirudia rudia
Barazani kwa Ahmed Rajab
Tofauti ya Muungano wa Katiba na wa Mkataba
ULE mjadala mkubwa - na mkali- unaovuma na kuchaga Visiwani Zanzibar kuhusu mustakbali wa Muungano wa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar umefichua jambo moja lenye kuwagusa na kuwaunganisha Wazanzibari wengi. Nalo ni dai la kutaka pafanywe mageuzi ya kimsingi katika mahusiano baina ya hizo nchi mbili zilizo katika Muungano wa Tanzania.
Hataki muungano uvunjike bali anataka kuchomeka hoja yake ya ima serikali 3, mkataba au mahusiano maalumu. Tukumbuke kuwa amesema mjadala unavuma visiwani, tuataangalia anavyojichanganya
Kuna wasemao kuwa Muungano umeifanya Zanzibar idhurike kisiasa, kiuchumi na kijamii ikilinganishwa na visiwa vingine kama vile Mauritius na Seychelles.
Ahmed alipaswa pia kuwaeleza mfano wa Comoro, Haiti, Timori na visiwa vingine. Mazingira ya Mauritius na Sychelles ni tofauti na Zanzibar hasa kitamaduni na sijui kwanini afananishe visiwa hivyo
Wanalalama kwamba Zanzibar haina uwezo wala uhuru wa kujiamulia yenyewe njia gani ya kiuchumi na kijamii ya kuifuata ili iweze kujigomboa kutokana na shida ilizo nazo. Wananung'unika kwamba kwa muda wa miaka 48 serikali ya Muungano haikuyatumia vyema madaraka iliyoyatwaa kutoka Zanzibar kupigana na umasikini, magonjwa na ujinga
Anachosema hapa ni kuwa miaka 48 ni baada ya Januari 12 1964. Kutoka Jan 12 hadi April 26 ni takribani miezi 4, kwahiyo ni dhahiri anaongelea kuwa wakati wa Sultan hali ilikuwa bora kuliko miaka 48.

Anasema muungano haujawasaidia Wzbar kukabiliana na umasikini ujinga na maradhi. Asichojua ni kuwa gharama za muungano zimebebwa na Mtanganyika na kwamba jitihada mojawapo ya kuinua elimu ni kutoa pesa za Watanganyika kuwasomesha wazanzibar kwa maelfu. Asilimia 95 ya viongozi wa wa SMZ ni zao la elimu ya Tanganyika, akiwemo Maalim Seif, Hamad Rashidi achilia mbali maelefu ya Wataalam kama madaktari, Engineer n.k.
Dhima ya kuondoa ujinga vijijini ni ya SMZ kwa kubadili mitazamo na tabia na hilo Tanganyika haina uwezo nalo.
Amesahahu kuwa mikopo ni sehemu ya Zbar na deni ni la Mtanganyika.
Pato la Zbar ndani ya muungano ni 0, lakini inapata mgao wa nguvu tu asilimia 7. Sasa ulafi wa viongozi si tatizo la muungano ni tatizo la Wazanzibar.Orodha ni ndefu sana
Bara pia kuna watu wenye mtizamo sawa na ule wa Wazanzibari wenye kutaka mageuzi ya kimsingi yafanywe katika mahusiano ya Tanganyika na Zanzibar
Hapa anajaribu kuwashawishi wabara kuwepo na uhusiano, ukweli ni kuwa bara hakukuwa na manung'uniko licha ya mzigo. Mtizamo wa bara kwa sasa ni Zanzibar iondoke tu!
Hivi mbara anataka mkataba au mahusiano na Zanzibar ili iweje? Ili apate nini?
Inavyoelekea ni kwamba wengi wa wananchi wa huko wanaiunga mkono ile wanayoiita Ajenda ya Zanzibar yenye lengo la kuirejeshea Zanzibar mamlaka yake kamili ya kidola na kubadili mfumo wa mahusiano kati ya Zanzibar na Tanganyika
Ahmed anawapooza UAMSHO, lakini anaficha ukweli kuwa tatizo la Wazanzibar ambao kila mmoja anasema ni 'wengi' ni kutaka kuvunja muungano. Hili la mahusiano analisema Ahmed na si wazo la Wazanzibar
Huo muundo mpya wa ushirikiano wa baadaye wanaoutaka baina ya Zanzibar na Tanganyika ni tofauti kabisa kinadharia na kiutendaji na ile dhana ya kuuimarisha Muungano ambayo huenda ikawa na maana ya kuwa na serikali moja katika taifa moja
Ahmed, acha uongo na kutuafanya wajinga, Wazanzibar hawataki mahusiano ya aina yoyote ile. UAMSHO hawajawahi kutamka hayo unayoyasema. Wazanzibar wanataka kuvunja muungano kwanini unawajengea hoja wasizozitaka?
Halafu kuna wanasiasa na wasomi wa Bara wanaohisi kwamba lazima pawepo na ‘nipe, nikupe' na hivyo pande mbili za Muungano zisikilizane na zikubaliane kuwa na Muungano wenye muundo wa shirikisho wenye serikali tatu. Muundo huo utahakikisha kwamba Muungano unaendelea kuwapo. Wenye kutoa rai hiyo wanashikilia kwamba muundo huo wa shirikisho uwe miongoni mwa mapendekezo yatayozingatiwa na Tume ya Katiba
Anageuza hoja za JF za kuwa Zbar ina umimi wa changu ni changu chako ni chetu. Anataka kusema kuna watu wanataka kuwe na shirikisho ili kila upande ufadike.

Ahmed, hajaweza kujibu swali la serikali 3 ziweje bado ana ndoto tu kuwa hilo litawezekana.
Sisi Watanganyika wengi tunasema ikiwepo shirikisho lazima tujue tutanufaika nini na hilo shirikisho, na Zbar itaweka nini mezani. Asituwekee maneno ya shirikisho, hilo halipo wala serikali 3 kwasababu tutajitwishwa mzigo mwingine.Hoja ya yetu 'LET ZBAR GO!'
Ndiyo maana kuna Wazanzibari wengi wa itikadi zote za kisiasa, wa vyama tofauti vya kisiasa na hata wasio wanachama wa chama chochote wanaopinga kabisa aina yoyote ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar
Tunashukuru kama wapo wengi na hilo ni muhimu kwa wao kuungana na kuondoka katika muungano. Hapa amewakilisha hoja za jumuiya yake ya UAMSHO
Wanachotaka wao ni kurejeshwa kwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar baada ya kura ya maoni itayowauliza Wazanzibari iwapo wanautaka au hawautaki Muungano
Nakuunga mkono
Wanakumbusha kwamba kinyume na mambo yalivyokuwa zamani safari hii wananchi wenyewe wanashiriki katika mchakato wa katiba utaomalizika kwa kupigwa kura mbili za maoni - moja Bara na nyingine itapigwa Zanzibar
Huko mwanzoni umesema vugu vugu lipo Zanzibar sasa kura ya maoni bara ni ya nini? Hapo juu umesema wazanzibar wengi hawataki muungano, sasa kura ya maoni bara ni ya nini?
Wanaamini kwamba matokeo yake yatakuwa kupatikana mfumo mpya wa mahusiano baina ya nchi hizo mbili zilizoungana kikatiba tangu Aprili 1964
Kura ya maoni haitauliza mnataka muundo gani, itauliza kama wanakubali muungano au la. Ahmed, sasa kama wazanzibar wengi hawataki muungano kama unavyosema, wanataka uhusiano gani tena na kwanini wanataka uhusiano huo? Kwanini muungano usivunjwe na kura ya maoni kama wengi wanavyosema huko visiwani na je uhusiano mpya hautaikwaza Zabar huru!

Hii ni mara ya nne anarudia neno uhusiano maalumu, namuuliza kwanini tusihusiane EAC,FIFA SADC n.k kama nchi mbili jirani? Kwanini uhusiano maalum
Muungano wa Katiba, wanatoa hii dhana ya mfumo ulio tofauti kabisa yaani mfumo wa Muungano wa Mkataba. Wengi Visiwani hivi sasa wanaiunga mkono dhana hii ambayo pengine ndio yenye suluhisho bora na mujarab kwa Muungano.
Mahusiano yatayojengwa kwa Mkataba yatairejeshea Tanganyika na pia Zanzibar mamlaka yao kamili ya kidola na yatawezesha kuwapo na utaratibu wa ushirikiano kati ya nchi mbili zilizo sawa na zilizo huru na zenye mamlaka kamili ya kidola.Mkataba utaoongoza mahusiano hayo utaweka wazi ni mambo gani nchi hizo zitashirikiana na namna ushirikiano wao wa baadaye utavyokuwa
Ahmed, Mkataba utahusu mambo gani unayoongelea kila siku bila kuyataja?
Zama hizi si za nadharia weka hadharani unadhani nini kiwe ndani ya muungano.

Kama Wazanzibar wengi wanadhani hilo ndilo suluhisho, je ni wengi zaidi ya wale wengi uliosema wanataka muungano uvunjike. Unapoleta hoja basi ziwe za kisomi zilizojengwa kwa mantiki na uhalisia. Kuwaambia Wazanzibar warudi nyuma ni kuwasaliti. Wao wanataka dola yao huru. Hizi ni dalili za wazi kuwa baada ya kuwaambia waondoke sasa wanahaha.
Hatutishiwi nyau, na msimamo wetu ni kuwa tumewachoka na kelele, lawama na mizigo inayoambatana na hiyo.
Uhusuiano tunaoutaka ni wa kibalozi kati ya nchi mbili huru na hili litatokea kwa hiria au lazima.

Ahmed lazima atambue kuwa Tanganyika haiihitaji Zanzibar kwa lolote lile. Kutokana na kelele, matendo maovu ya kiibilisi ya kutumia hoja za moto na kutokana na Zbar kuwachukia Watanganyika, sasa hatuna sababu ya kuishi tena katika mazingira hayo. Tumetoa kiasi cha kutosha na kuendelea kutoa ni ujinga na uzezeta.
Tunaunga mkono kwa dhati juhudi za Zanzibar kujitoa ndiyo maana tunasema LET ZANZIBAR GO.

Tanganyika haiihitaji mkataba, serikali 3 au mahusiano mengine. Tutakuwa na mahusiano kama yale ya EAC, SADC n.k.
Tunawatakia heri, ukweli ni kuwa 'we don't need you as much as you need us'
 
sasa wewe unashangaa hilo.

Kumbuka hata Mwanzilishi na muasisi wa Chadema Mzee Edwin Mtei alitoa mawazo yake kuhusu Tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya ya muungano huko Tanzania. Alisema '' TUME IMEJAA WAISLAM WENGI''.

Je unajuwa kwanini alisema hivyo?

Alie lala usimwamshe. na ukimwamsha ...
Unadhani uko peke yako kwa masuala ya UDINI na UKABILA? Mko wengi tu lakini TANZANIA, Serikali yake, Taasisi zake, Vyama vya SIASA na asasi za kiraia zisizo za kidini zitabaki kuwa za WATANZANIA. Atakayeteuliwa, atakayechaguliwa kuongoza vyombo hivi akaanza kuhoji wa DINI yake wako wangapi, huyo hatufai. Akasomee Ushehe au Uaskofu.
 
Barubaru,

..zingatia hapo kwenye RED.

..mosi, wa-Znz mmekuwa mkipendelewa kwa kupewa nafasi ktk maidara ya muungano bila kuwa na qualifications.

..pili, wa-Znz muungano umekuwa ukiwanyima nafasi Waislamu wa Tanganyika. Nafasi ambazo walistahili kupewa Waislamu wa Tanganyika zimekuwa zikichukuliwa na wa-Znz ambao hata hawajasoma vya kutosha.

..Katika mazingira hayo tunaopaswa kulalamika ni sisi wa-Tanganyika. Muungano ni DHULUMA tupu kwa wa-Tanganyika. Tunabebeshwa gharama tusizostahili na kutukanwa matusi ya kila aina na wa-Znz.

Joka kuu.

Ahali yangu nakuomba unisome vizuri sana. na mimi naamini wazi kabisa kuwa Msomi yoyote anasoma mada mstari kwa mstari kwa NIA ya KUELEWA na kama anapata mush'kira basi anatoa duku duku lake kwa hoja na sio daharau wala kebehi.

Mimi nakuomba niambie au hata nitolee mfano wa Mznz aliyepata madaraka katika Muungano akiwa mbumbumbu hana qualifications. Mimi ninaowajua ikiwemo mimi mwenyewe kati ya waliotoka Znz kufanya kazi katika muungano tulikuwa vichwa sana na tulikuwa tumesheheni taaluma na uadilifu mkubwa sana (hatukuwa wanafiki na mafisadi) na ndio maana tulifikia mpaka kuwa RDD (Regional Development Director).

Unajuwa ukitaka kujua watu vichwa siku zote wanawekwa katika kitengo cha mipango au Bajeti. Mimi nilikuwa mkuu wa kitengo cha bajeti ambacho leo hii kinaongozwa na mama Mwa...

Lakin nilikuwekea wazi Jicho la Mtei kuona waislam wengi katika Tume yenu a kukusanya maoni ya katiba ya muungano limeanza toka dahal na dahal na ni kovu lenu mliloachiwa na madhwara ya ukoloni ambalo Nyerere alilitumia kujificha humo kwa kulazimisha muungano.

Jambo hilo nje ya Muungano litakuwa jambo kubwa sana huko Tanganyika. Kwani nao sasa waislam wa Tanganyika wamesheheni ilmu na wanajua haki zao na lazima litaleta mtafaruku mkubwa sana kama wanavyoliangalia wa upande wmingine kiimani.


Mimi ninavyofahamu kwa wale tulikuwa tokea wakti ule tukifanya kazi Bara ukiondoa wanasiasa, wataalamu wote tuliondoka sababu ya mazingira a kazi Bara ni duni sana na yana ghilba na ufisadi mkubwa sana na kukosa maadili. Kwa kushindwa haya wengi tuliondoka. Hivyo hakuna mznz mtaalam mwenye uadilifu atakayeweza kufanya kazi Tanganyika na kulazimisha kukaa huko kama sio mwanasiasa au ana shida.

Kwani simba akikosa nyama basi atakula majani. nao wanaishi kwa shida au dhiki ili muradi mambo yake yaende.


 
Asante Ahmed Rajab! Watu wengi wamemuona Nyerere MUNGU wao hakukosea kabsaaaaaa........ Kila alonena lilikuwa sahihi. Afadhali pengine utawafungua watu macho.
 
Wanajamvi,
Kwanza niwatake radhi wale watumiaji wa simu. Mijadala muhimu kama huu ni vema ukawekwa wazi bila kumpandikizia mtu maneno. Mjadala ujibu hoja kama ziznavyoletwa.

Wiki iliyopita katika uzi huu tulichambua maandiko ya Bw. Ahmed Rajabu. Tulisema kuwa Ahmed amekuwa ndumila kuwili lakini picha yake ni UAMSHO.

Leo amejaribu sana kujibu hoja zetu na nina imani ni mwenzetu humu ingawa hajitokezi
Nimenukuu makala yake kutoka Rai mwema(hisani) na tuifafanue, kuichambua na kuinyambulisha kwasababu majibu yanaanza kupatikana.

Kwanza kabisa Ahmed Rajab amebadili msimamo wake wa siku nyingi wa kutaka muungano uvunjwe. Nadhani amefunguka baada ya kusoma ukweli na kusikia Watanganyika wanasema 'Let Zanzibar go'
Anajua kuwa uchochezi wake utawatokea puani nduguze na atabeba sehemu ya lawama.

Amejenga hoja ya mkataba na kutaka kuuaminisha ulimwengu kuwa Watanganyika na Wazanzibar wanataka mkataba.
Tuendelee kwa kuchagua baadhi tu ya hoja kwa vile makala ni ndefu na inajirudia rudia
Barazani kwa Ahmed Rajab
Tofauti ya Muungano wa Katiba na wa Mkataba
Hataki muungano uvunjike bali anataka kuchomeka hoja yake ya ima serikali 3, mkataba au mahusiano maalumu. Tukumbuke kuwa amesema mjadala unavuma visiwani, tuataangalia anavyojichanganyaAhmed alipaswa pia kuwaeleza mfano wa Comoro, Haiti, Timori na visiwa vingine. Mazingira ya Mauritius na Sychelles ni tofauti na Zanzibar hasa kitamaduni na sijui kwanini afananishe visiwa hivyoAnachosema hapa ni kuwa miaka 48 ni baada ya Januari 12 1964. Kutoka Jan 12 hadi April 26 ni takribani miezi 4, kwahiyo ni dhahiri anaongelea kuwa wakati wa Sultan hali ilikuwa bora kuliko miaka 48.

Anasema muungano haujawasaidia Wzbar kukabiliana na umasikini ujinga na maradhi. Asichojua ni kuwa gharama za muungano zimebebwa na Mtanganyika na kwamba jitihada mojawapo ya kuinua elimu ni kutoa pesa za Watanganyika kuwasomesha wazanzibar kwa maelfu. Asilimia 95 ya viongozi wa wa SMZ ni zao la elimu ya Tanganyika, akiwemo Maalim Seif, Hamad Rashidi achilia mbali maelefu ya Wataalam kama madaktari, Engineer n.k.
Dhima ya kuondoa ujinga vijijini ni ya SMZ kwa kubadili mitazamo na tabia na hilo Tanganyika haina uwezo nalo.
Amesahahu kuwa mikopo ni sehemu ya Zbar na deni ni la Mtanganyika.
Pato la Zbar ndani ya muungano ni 0, lakini inapata mgao wa nguvu tu asilimia 7. Sasa ulafi wa viongozi si tatizo la muungano ni tatizo la Wazanzibar.Orodha ni ndefu sana Hapa anajaribu kuwashawishi wabara kuwepo na uhusiano, ukweli ni kuwa bara hakukuwa na manung'uniko licha ya mzigo. Mtizamo wa bara kwa sasa ni Zanzibar iondoke tu!
Hivi mbara anataka mkataba au mahusiano na Zanzibar ili iweje? Ili apate nini? Ahmed anawapooza UAMSHO, lakini anaficha ukweli kuwa tatizo la Wazanzibar ambao kila mmoja anasema ni 'wengi' ni kutaka kuvunja muungano. Hili la mahusiano analisema Ahmed na si wazo la Wazanzibar Ahmed, acha uongo na kutuafanya wajinga, Wazanzibar hawataki mahusiano ya aina yoyote ile. UAMSHO hawajawahi kutamka hayo unayoyasema. Wazanzibar wanataka kuvunja muungano kwanini unawajengea hoja wasizozitaka? Anageuza hoja za JF za kuwa Zbar ina umimi wa changu ni changu chako ni chetu. Anataka kusema kuna watu wanataka kuwe na shirikisho ili kila upande ufadike.

Ahmed, hajaweza kujibu swali la serikali 3 ziweje bado ana ndoto tu kuwa hilo litawezekana.
Sisi Watanganyika wengi tunasema ikiwepo shirikisho lazima tujue tutanufaika nini na hilo shirikisho, na Zbar itaweka nini mezani. Asituwekee maneno ya shirikisho, hilo halipo wala serikali 3 kwasababu tutajitwishwa mzigo mwingine.Hoja ya yetu 'LET ZBAR GO!' Tunashukuru kama wapo wengi na hilo ni muhimu kwa wao kuungana na kuondoka katika muungano. Hapa amewakilisha hoja za jumuiya yake ya UAMSHONakuunga mkono Huko mwanzoni umesema vugu vugu lipo Zanzibar sasa kura ya maoni bara ni ya nini? Hapo juu umesema wazanzibar wengi hawataki muungano, sasa kura ya maoni bara ni ya nini? Kura ya maoni haitauliza mnataka muundo gani, itauliza kama wanakubali muungano au la. Ahmed, sasa kama wazanzibar wengi hawataki muungano kama unavyosema, wanataka uhusiano gani tena na kwanini wanataka uhusiano huo? Kwanini muungano usivunjwe na kura ya maoni kama wengi wanavyosema huko visiwani na je uhusiano mpya hautaikwaza Zabar huru!

Hii ni mara ya nne anarudia neno uhusiano maalumu, namuuliza kwanini tusihusiane EAC,FIFA SADC n.k kama nchi mbili jirani? Kwanini uhusiano maalum Ahmed, Mkataba utahusu mambo gani unayoongelea kila siku bila kuyataja?
Zama hizi si za nadharia weka hadharani unadhani nini kiwe ndani ya muungano.

Kama Wazanzibar wengi wanadhani hilo ndilo suluhisho, je ni wengi zaidi ya wale wengi uliosema wanataka muungano uvunjike. Unapoleta hoja basi ziwe za kisomi zilizojengwa kwa mantiki na uhalisia. Kuwaambia Wazanzibar warudi nyuma ni kuwasaliti. Wao wanataka dola yao huru. Hizi ni dalili za wazi kuwa baada ya kuwaambia waondoke sasa wanahaha.
Hatutishiwi nyau, na msimamo wetu ni kuwa tumewachoka na kelele, lawama na mizigo inayoambatana na hiyo.
Uhusuiano tunaoutaka ni wa kibalozi kati ya nchi mbili huru na hili litatokea kwa hiria au lazima.

Ahmed lazima atambue kuwa Tanganyika haiihitaji Zanzibar kwa lolote lile. Kutokana na kelele, matendo maovu ya kiibilisi ya kutumia hoja za moto na kutokana na Zbar kuwachukia Watanganyika, sasa hatuna sababu ya kuishi tena katika mazingira hayo. Tumetoa kiasi cha kutosha na kuendelea kutoa ni ujinga na uzezeta.
Tunaunga mkono kwa dhati juhudi za Zanzibar kujitoa ndiyo maana tunasema LET ZANZIBAR GO.

Tanganyika haiihitaji mkataba, serikali 3 au mahusiano mengine. Tutakuwa na mahusiano kama yale ya EAC, SADC n.k.
Tunawatakia heri, ukweli ni kuwa 'we don't need you as much as you need us'

Nguruvi3,

ndugu yangu nafikiri umetekwa sana na propaganda kiasi cha kusahau nini kinachotakiwa.

Naomba nikufahamisha kwa kifupi sana kama umewafahamu na kuwaelewa waZnz wanataka nini
WaZnz wanataka
1. Kura ya maoni kuchagua kama wanataka muungano au hawataki. HAWATAKI KUVUNJA MUUNGANO. Kumbuka kitakacho fanya muungano uwepo au usiwepo ni wingi wa kura ambao yatakuwa matakwa ya wananchi wa nchi ya Znz

2. kama wengi watakataa, hapo muungano utavunjwa.
3. Kama wengi wakubali basi muungano utaendelea. Lakin watatakiwa kuamua ni muungano wa aina gani wanaupende uwepo.

Sasa wengi kutoka Bara naona wanaingiwa kiwewe hapa na ku jump to conclusion kuwa waZnz wanataka kuvunja muungano.

Kumbuka kuwa waZnz wanataka kutumia demokrasia yao kuchagua muungano wanaoutaka na kukataa ule wasioutaka. Hiyo ndio demokrasia ya kweli. Kumbuka madai yao ni ya kisharia zaidi na sio kisiasa. yana mantiki kubwa na mashiko mazito sana katika dunia hii ya uwazi na ukweli.

wasome vizuri waZnz nafikiri utawaelewa na sio kutanguliza ushabiki na mawazo binafsi.

 
ahmed acha upofu wa akili......juzi tu itv walirusha hotuba za nyerere hakusema hivyo arifu......labda wewe umemsikia mwalimu mwingine sio jkn......alisema.....watanganyika wakileta chokochoko na kuwabagua wazanzibar na kuuvunja muungano basi tanganyika haitabaki salama....vivyo vivyo kwa wazanzibari wakileta choko choko na kuwabagua watanganyika na kuuvunja muungano na wao hawatabaki salama.....

sasa bwana ahmed rajab......ulimsikia mwalimu yupi?

Ningekuwa na uwezo wa kutoa "LIKE" nyingi, ningekupa za kumwaga mkuu. Hapo mwandishi aliamua kupotosha kwa makusudi tu ili aipe mashiko (kwa hila) hoja yake.
 
Nguruvi3,

ndugu yangu nafikiri umetekwa sana na propaganda kiasi cha kusahau nini kinachotakiwa.

Naomba nikufahamisha kwa kifupi sana kama umewafahamu na kuwaelewa waZnz wanataka nini
WaZnz wanataka
1. Kura ya maoni kuchagua kama wanataka muungano au hawataki. HAWATAKI KUVUNJA MUUNGANO. Kumbuka kitakacho fanya muungano uwepo au usiwepo ni wingi wa kura ambao yatakuwa matakwa ya wananchi wa nchi ya Znz

2. kama wengi watakataa, hapo muungano utavunjwa.
3. Kama wengi wakubali basi muungano utaendelea. Lakin watatakiwa kuamua ni muungano wa aina gani wanaupende uwepo.

Sasa wengi kutoka Bara naona wanaingiwa kiwewe hapa na ku jump to conclusion kuwa waZnz wanataka kuvunja muungano.

Kumbuka kuwa waZnz wanataka kutumia demokrasia yao kuchagua muungano wanaoutaka na kukataa ule wasioutaka. Hiyo ndio demokrasia ya kweli. Kumbuka madai yao ni ya kisharia zaidi na sio kisiasa. yana mantiki kubwa na mashiko mazito sana katika dunia hii ya uwazi na ukweli.

wasome vizuri waZnz nafikiri utawaelewa na sio kutanguliza ushabiki na mawazo binafsi.

Barubaru,
Kilicholeta Muungano huu ni Mapinduzi ya tarehe 12/01/1964. Mapinduzi haya yalikuwa HALALI? Anzieni hapo ili tuwaelewe. Kabla ya Mapinduzi haya wazo la Tanganyika kuungana na Zanzibar halikuwepo kabisa. Muungano ukivunjwa, SMZ itabaki? Au SUK ya sasa ni maandalizi ya kuifuta SMZ? Unajua undani halisi wa akina UAMSHO? Ongea na akina Mapinduzi Daima wakupe siri ya UAMSHO.
 
Barubaru,

..zingatia hapo kwenye RED.

..mosi, wa-Znz mmekuwa mkipendelewa kwa kupewa nafasi ktk maidara ya muungano bila kuwa na qualifications.

..pili, wa-Znz muungano umekuwa ukiwanyima nafasi Waislamu wa Tanganyika. Nafasi ambazo walistahili kupewa Waislamu wa Tanganyika zimekuwa zikichukuliwa na wa-Znz ambao hata hawajasoma vya kutosha.

..Katika mazingira hayo tunaopaswa kulalamika ni sisi wa-Tanganyika. Muungano ni DHULUMA tupu kwa wa-Tanganyika. Tunabebeshwa gharama tusizostahili na kutukanwa matusi ya kila aina na wa-Znz.
Thank you!
 
Nguruvi3,

ndugu yangu nafikiri umetekwa sana na propaganda kiasi cha kusahau nini kinachotakiwa.

Naomba nikufahamisha kwa kifupi sana kama umewafahamu na kuwaelewa waZnz wanataka nini
WaZnz wanataka
1. Kura ya maoni kuchagua kama wanataka muungano au hawataki. HAWATAKI KUVUNJA MUUNGANO. Kumbuka kitakacho fanya muungano uwepo au usiwepo ni wingi wa kura ambao yatakuwa matakwa ya wananchi wa nchi ya Znz

2. kama wengi watakataa, hapo muungano utavunjwa.
3. Kama wengi wakubali basi muungano utaendelea. Lakin watatakiwa kuamua ni muungano wa aina gani wanaupende uwepo.

Sasa wengi kutoka Bara naona wanaingiwa kiwewe hapa na ku jump to conclusion kuwa waZnz wanataka kuvunja muungano.

Kumbuka kuwa waZnz wanataka kutumia demokrasia yao kuchagua muungano wanaoutaka na kukataa ule wasioutaka. Hiyo ndio demokrasia ya kweli. Kumbuka madai yao ni ya kisharia zaidi na sio kisiasa. yana mantiki kubwa na mashiko mazito sana katika dunia hii ya uwazi na ukweli.

wasome vizuri waZnz nafikiri utawaelewa na sio kutanguliza ushabiki na mawazo binafsi.

Kwa nini tupotezeane muda na longolongo nyingi zisizo na kikomo? Tuuvunje huu muungano kila mtu ajue la kwake.
Tusimamishe usafiri wa meli na boti kati ya DSM na Zanzibar mpaka hapo itifaki za usafiri zitakapokamilika baina ya Tanganyika na Zanzibar huru. Tusipotezeane muda kana kwamba sisi ni watoto wadogo.
 
Joka kuu.

Ahali yangu nakuomba unisome vizuri sana. na mimi naamini wazi kabisa kuwa Msomi yoyote anasoma mada mstari kwa mstari kwa NIA ya KUELEWA na kama anapata mush'kira basi anatoa duku duku lake kwa hoja na sio daharau wala kebehi.

Mimi nakuomba niambie au hata nitolee mfano wa Mznz aliyepata madaraka katika Muungano akiwa mbumbumbu hana qualifications. Mimi ninaowajua ikiwemo mimi mwenyewe kati ya waliotoka Znz kufanya kazi katika muungano tulikuwa vichwa sana na tulikuwa tumesheheni taaluma na uadilifu mkubwa sana (hatukuwa wanafiki na mafisadi) na ndio maana tulifikia mpaka kuwa RDD (Regional Development Director).

Unajuwa ukitaka kujua watu vichwa siku zote wanawekwa katika kitengo cha mipango au Bajeti. Mimi nilikuwa mkuu wa kitengo cha bajeti ambacho leo hii kinaongozwa na mama Mwa...

Lakin nilikuwekea wazi Jicho la Mtei kuona waislam wengi katika Tume yenu a kukusanya maoni ya katiba ya muungano limeanza toka dahal na dahal na ni kovu lenu mliloachiwa na madhwara ya ukoloni ambalo Nyerere alilitumia kujificha humo kwa kulazimisha muungano.

Jambo hilo nje ya Muungano litakuwa jambo kubwa sana huko Tanganyika. Kwani nao sasa waislam wa Tanganyika wamesheheni ilmu na wanajua haki zao na lazima litaleta mtafaruku mkubwa sana kama wanavyoliangalia wa upande wmingine kiimani.


Mimi ninavyofahamu kwa wale tulikuwa tokea wakti ule tukifanya kazi Bara ukiondoa wanasiasa, wataalamu wote tuliondoka sababu ya mazingira a kazi Bara ni duni sana na yana ghilba na ufisadi mkubwa sana na kukosa maadili. Kwa kushindwa haya wengi tuliondoka. Hivyo hakuna mznz mtaalam mwenye uadilifu atakayeweza kufanya kazi Tanganyika na kulazimisha kukaa huko kama sio mwanasiasa au ana shida.

Kwani simba akikosa nyama basi atakula majani. nao wanaishi kwa shida au dhiki ili muradi mambo yake yaende.


Mkuu wangu Dr. Barubaru, hapo kwenye rangi nyekundu naomba ufafanuzi,je, mlikuwa hivyo kwa sababu ya uislam wenu? au sababu ya Uzanzibar wenu? Uislamu wenu uliwasaidia vipi kuongeza ufanisi wa kazi?
 
wote walikuwa chini ya master mmoja, ila mmoja anajiona mnyapara zaidi aka mmoja anajiona kuw ayupo karibu zaidi ya legacy master kuliko mwingine.Na wote wana spirit ya kutafuta wa kumlaumu kwa matatizo yanayosababisha mfumo wa maisha waliouchagua.
 
Masikitiko yangu ni kuwa suala hili linapamba moto katika kipindi ambacho Tanzania haikubarikiwa na kiongozi mwenye hekima na busara. Ingekuwa ni jambo la kutatuliwa tu kama matatizo mengine. Lakini ninavyojua uvivu wa kufikiria wa mkullu wetu, atakuwa tayari anafikiria zaidi utatuzi wa kiusalama na kijeshi. Hii itapelekea hali ya Sudan mbili hivi sasa. Ni vizuri, hata kama Zanzibar watajitenga, tujitenge kwa kistaarabu na kimaelewano. After all, hata katika kujitenga kwao, still watakuwa jirani zetu.
Napenda kumsaidia mkuu kwa haya:
1Anzisha haraka sana maandalizi ya kura ya maoni kwa Zanzibar na Tanganyika ( Hii si aibu wala kutiwa doa ukuu wako. Ni jambo la kiistaarabu kuwataka maoni watu ambao nchi zao zinaungana au kutengana. Hili halikufanyika huko nyuma kwa hiyo hakuna jambo la aibu, bali utasifiwa kwa kulifanya hivi sasa)
2^Lakini si kura ya maoni tu. Watanganyika na Wazanzibar wapewe choice nyingine kwa kuelezwa naamna ya Muungano utakavyokuwa na utakavyowafaidia (kama watachagua kuendelea nao). Muungano, kama ulivyo hivi sasa si kitu cha kujivunia na umepitwa na wakati.
Mimi nahofia wakuu wa CCM hawatakuwa na hekima na kusoma saini za wakati. Katika hali hiyo basi, nawakumbusha kuwa huwezi kuizuia fikra ambayo wakati wake umefika. Pia nawakumbusha kuwa katika nchi zilizotengana baada ya kuwa nchi moja zaidi ya asilimia 90% zimeingia vitani baada ya kutengana/Eritrea, Timor-Leste/Indonesia, Sudan/South Sudan etc, Kwa hiyo, ni kwa maslahi ya wote kufanya utengano wa kistaarabu na kiutu kadri inavyowezekana. Ni maoni yangu, kama mkuu atasikia hili na kufuata njia hizi kuna matumaini makubwa Wazanzibar wengi watapiga kura kuchagua muungano mpya. Kwa kweli Wazanziba wa kawaida ambao wengi wana asili zao bara, wanawatazama kwa wasi wasi haawa wanaopigia debe kujitenga. Hawawaamini. Lakini kwa jinsi hali muungano ulivyo mbaya wanaona aheri wasapoti hiyo kwa matarajio kuwa hali zao zitaboresheka. Pindi wanapokuwa na uhakika kuwa wanaweza kuwa katika muungano na wakati huo huo wakajiamulia wenyewe mambo yao muhimu....watawatema. Dawa nzuri ya kuwapinga ni kuwaambia 'haya bwana, acha tuone kama Wazanzibar wengi kweli hawaupenddi muungano, au tu hawapenddi muungano namna ulivyo sasa'- ni vitu viwili tofauti.
 
Joka kuu.

Ahali yangu nakuomba unisome vizuri sana. na mimi naamini wazi kabisa kuwa Msomi yoyote anasoma mada mstari kwa mstari kwa NIA ya KUELEWA na kama anapata mush'kira basi anatoa duku duku lake kwa hoja na sio daharau wala kebehi.

Mimi nakuomba niambie au hata nitolee mfano wa Mznz aliyepata madaraka katika Muungano akiwa mbumbumbu hana qualifications. Mimi ninaowajua ikiwemo mimi mwenyewe kati ya waliotoka Znz kufanya kazi katika muungano tulikuwa vichwa sana na tulikuwa tumesheheni taaluma na uadilifu mkubwa sana (hatukuwa wanafiki na mafisadi) na ndio maana tulifikia mpaka kuwa RDD (Regional Development Director).

Unajuwa ukitaka kujua watu vichwa siku zote wanawekwa katika kitengo cha mipango au Bajeti. Mimi nilikuwa mkuu wa kitengo cha bajeti ambacho leo hii kinaongozwa na mama Mwa...

Lakin nilikuwekea wazi Jicho la Mtei kuona waislam wengi katika Tume yenu a kukusanya maoni ya katiba ya muungano limeanza toka dahal na dahal na ni kovu lenu mliloachiwa na madhwara ya ukoloni ambalo Nyerere alilitumia kujificha humo kwa kulazimisha muungano.

Jambo hilo nje ya Muungano litakuwa jambo kubwa sana huko Tanganyika. Kwani nao sasa waislam wa Tanganyika wamesheheni ilmu na wanajua haki zao na lazima litaleta mtafaruku mkubwa sana kama wanavyoliangalia wa upande wmingine kiimani.


Mimi ninavyofahamu kwa wale tulikuwa tokea wakti ule tukifanya kazi Bara ukiondoa wanasiasa, wataalamu wote tuliondoka sababu ya mazingira a kazi Bara ni duni sana na yana ghilba na ufisadi mkubwa sana na kukosa maadili. Kwa kushindwa haya wengi tuliondoka. Hivyo hakuna mznz mtaalam mwenye uadilifu atakayeweza kufanya kazi Tanganyika na kulazimisha kukaa huko kama sio mwanasiasa au ana shida.

Kwani simba akikosa nyama basi atakula majani. nao wanaishi kwa shida au dhiki ili muradi mambo yake yaende.



Barubaru,

..wewe ndiye uliye-confess kwamba Wazanzibari mlikuwa mkipewa madaraka ktk serikali ya muungano wakati mmezidiwa kwa qualification[vyeti na uzoefu] kulinganisha na Waislamu wa Tanganyika. Mimi naamini hali hiyo inaendelea mpaka leo, imekuwepo kwa muda mrefu sasa.

..Pia it doesnt make sense to me kwamba ati ili kuwadhibiti Waislamu, basi Mwalimu aliamua Tanganyika iungane na Zanzibar ambayo 99% ya wananchi wake ni Waislamu. Muungano wenye nia ya kuwadhibiti Waislamu ungekuwa na nchi kama Zambia au Malawi ambazo inajulikana zimeegemea ktk Ukristo. Ushauri wangu ni kwamba msijaribu kuingiza Udini hata pale ambapo hapastahili.

..Nje ya muungano matatizo ya Waislamu yatashughulikiwa KINDUGU kama ambavyo wa-Tanganyika tumeshughulikia matatizo yetu mengine. Uzuri na advantage tuliyonayo wa-Tanganyika ni kwamba tumechanganyika mno baina ya Waislamu na Wakristo. Sidhani kama kuna familia au ukoo ktk nchi hii ambao haujachanganya dini hizo mbili.

NB:

..nakubaliana na wewe kwamba kuna MIZENGWE[ufisadi,malipo madogo,etc etc] ktk ajira za serikali ya muungano na vyombo vyake. mizengwe hiyo imewakatisha tamaa wataalamu[watanganyika na wazanzibari] wetu wengi na kupelekea watafute ajira nje ya nchi.
 
Mzee mwenzangu Ahmed Rajab jaribu kupitia tena vitabu vya Mwl Nyerere na hotuba zake vizuri utagundua mzushi ni nani kati yako na Nyerere. Pia utagundua fika mfitini ni nani. Nisingependa nikuite mfitini na mzushi ingawa huo ndiyo ukweli, ni wachache hasa wanaopendelea kujitenga watakaoamini na kukubaliana na hoja zako. Kimsingi, unalosema si jipya bali wimbo ule ule-wa jogoo, ambao umeishachusha. Nyerere sasa hayupo kuleta fitina. Kwanini wazanzibari mnashindwa kuja na hoja ya kuvunja muungano yenye mashiko? Ubaguzi baina ya wapemba na wazanzibari upo wazi. Rejea wakati wa utawala wa Salmin Amour alipowafurusha hadi wakawa wakimbizi nchini Kenya. Hata leo hii ukiamua kuzama utakuta uhizbu na uTAA bado upo Zanzibar. Hata ukichunguza historia ya serikali ya baraza la mapinduzi utakuwa karibu marais wote isipokuwa wa sasa walitokea kisiwani Zanzibar. Kwanini kama si ubaguzi wa wazi? Ningekuwa na muda wa kutoa somo ningefanya hivyo. Lakini ni bahati mbaya kuwa sina muda wa kutosha kutokana na majukumu mengine muhimu.
 
Barubaru,

..wewe ndiye uliye-confess kwamba Wazanzibari mlikuwa mkipewa madaraka ktk serikali ya muungano wakati mmezidiwa kwa qualification[vyeti na uzoefu] kulinganisha na Waislamu wa Tanganyika. Mimi naamini hali hiyo inaendelea mpaka leo, imekuwepo kwa muda mrefu sasa.

..Pia it doesnt make sense to me kwamba ati ili kuwadhibiti Waislamu, basi Mwalimu aliamua Tanganyika iungane na Zanzibar ambayo 99% ya wananchi wake ni Waislamu. Muungano wenye nia ya kuwadhibiti Waislamu ungekuwa na nchi kama Zambia au Malawi ambazo inajulikana zimeegemea ktk Ukristo. Ushauri wangu ni kwamba msijaribu kuingiza Udini hata pale ambapo hapastahili.

..Nje ya muungano matatizo ya Waislamu yatashughulikiwa KINDUGU kama ambavyo wa-Tanganyika tumeshughulikia matatizo yetu mengine. Uzuri na advantage tuliyonayo wa-Tanganyika ni kwamba tumechanganyika mno baina ya Waislamu na Wakristo. Sidhani kama kuna familia au ukoo ktk nchi hii ambao haujachanganya dini hizo mbili.

NB:

..nakubaliana na wewe kwamba kuna MIZENGWE[ufisadi,malipo madogo,etc etc] ktk ajira za serikali ya muungano na vyombo vyake. mizengwe hiyo imewakatisha tamaa wataalamu[watanganyika na wazanzibari] wetu wengi na kupelekea watafute ajira nje ya nchi.

Joka Kuu.

Nafikiri kwa upande wangu nimeshamaliza kila kitu kukufanulia na hata masuala unayotaka ufafanuzi ytayari nimeshayafafanua naogpa sana kurejea tena.

Ila nitakupa reference hizi uzisome kwa faida yako.(kwani siku zote wasomi huwa wanatumia reference kudurusu mambo)
1.Jan P van Bergen katika kitabu chake, Development and Religion in Tanzania,

2. Dr John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985

 
Angalia bunge mhe Mnyaa anamuliza Shamsi Vuai kuwa ajira zenji zimetolewa kwa misingi ya kisiasa na upande mmoja wa Zenji.Shamsi naye anasema kuna kipindi naye huesabu idadi ya wapemba na kuona haipo sawa ila anazuga kuwa ni dhana.Kudo, hii ni ishsar tosha kuwa Nyerere kaona kitu hawa jamaa watakabana makoo haswa ktk kugawana rasilimali za nchi.
 
Back
Top Bottom