Ahmadinejad's Camerman is reportedly seeking asylum in the United States

miiran bana nchi ina kila kitu yaani ni kukaa chini na kula matunda tu wao wanawaza ubabe tu ili wawe kama marekani yaani hadi wamewasahau wananchi wao kisa waidhibiti Israel... yaliyomkuta Saddam hadi leo Siamini Maisha ya Raha hadi kifo cha aibu.... si waache kutengeneza silaha za nyuklia na waendelee na maisha mazuri... kuna maoni nilishasikia wananchi hawataki kabisa hiyo nyuklia ila uongozi tu... Haya mafundisho yao ni Taabu sana
 
propaganda........... hata sisi tunatafuta asylum kila siku

Nini kuhangaika na huyo mpiga picha mmoja???

tena wengine tunaseek asylum kwa wanasiasa mafisadi kutwa kucha na kuwaramba miguu

wacha atafute maisha
 
Huyo naye choka-mbaya tu au wamepanga ajifanye mkimbizi ili apate habari zaidi toka marekani zitakazo kuja kuisaidia Iran baadaye.

hata mi nahisi hivyo...huyu katumwa ili awe anapeleka habari tehran kuhusu mipango ya marekani/israel dhidi ya iran
 
Hivi we mombasa raha una akili kweli... what do mean by nchi ya makafiri? mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!! anakimbia nchi ya mashetani!!

I mean what I said "Makafir". Jamaa yamemshida Tehran, sasa anakimbilia kule kwa makafir wala kiti moto.
 
Iko kitengo kina akili za ziada FBI CIA watakuja kugundua kitu kilichojificha chini ya kapeti,,,

Kumbukumbu
CIA mmoja aliejifanya kubadili dini na kuwa muislan akaenda kuusoma uislam nchini Iraq enzi za Saddam Bin Hussen kumbe alikuwa anachunguza wapi panaweza kuiangamiza Iraq kiuraisi.Aka gundua mengi sana mpaka waliomtuma walianza kuogopa haswa pale alipotaka kuweka sumu kwenye chanzo na hifadhi ya maji yanayotumia na raia wengi wa Iraq na laiti angei nyunyiza hiyo sumu idadi kubwa iya wa Iraq ingekwenda kuzimu.MUNGU siku zote anawapenda waja wake Mwisho awa siku alikosea kdg kwenye mawasiliano wakaja kumbamata kilichofuata wanakijua wenyewe,
Chanzo nilikipata toka kwa rafiki yangu mtanzania alikuwa akifanya kazi UN nchini Iraq
 
proganda za US mtaziweza nyinyi. Inawezekana wako kwenye propaganda kama kawa maana vita ni zaidi ya kupigana kwa siraha za maangamizi hata maneno na propaganda ni vita tosha.
Baada ya kusema hayo Iran iombe sana US isiingilie mzozo wa Iran na Israel kwa kuwa am sure Iran haina ubavu hata wa 45% wa kumshinda US. Najua wengi mtabisha lakini hata wakati USA wanavamia Iraq wengi tu walikuwa wanaamini kuwa Saddam angeweza simama akamshinda mmarekani lakini tuliona kilichotokea na kwa haraka kuliko ilivyo tarajiwa.
Na mbaya zaidi wa marekani wanageuza nchi yako ndiyo iwe battle ground. May be after many years to come lakini kwa sasa marekani ndo kiranja mkuu kubari kataa thou ngumu kumeza
 
proganda za US mtaziweza nyinyi. Inawezekana wako kwenye propaganda kama kawa maana vita ni zaidi ya kupigana kwa siraha za maangamizi hata maneno na propaganda ni vita tosha.
Baada ya kusema hayo Iran iombe sana US isiingilie mzozo wa Iran na Israel kwa kuwa am sure Iran haina ubavu hata wa 45% wa kumshinda US. Najua wengi mtabisha lakini hata wakati USA wanavamia Iraq wengi tu walikuwa wanaamini kuwa Saddam angeweza simama akamshinda mmarekani lakini tuliona kilichotokea na kwa haraka kuliko ilivyo tarajiwa.
Na mbaya zaidi wa marekani wanageuza nchi yako ndiyo iwe battle ground. May be after many years to come lakini kwa sasa marekani ndo kiranja mkuu kubari kataa thou ngumu kumeza
 
miiran bana nchi ina kila kitu yaani ni kukaa chini na kula matunda tu wao wanawaza ubabe tu ili wawe kama marekani yaani hadi wamewasahau wananchi wao kisa waidhibiti Israel... yaliyomkuta Saddam hadi leo Siamini Maisha ya Raha hadi kifo cha aibu.... si waache kutengeneza silaha za nyuklia na waendelee na maisha mazuri... kuna maoni nilishasikia wananchi hawataki kabisa hiyo nyuklia ila uongozi tu... Haya mafundisho yao ni Taabu sana

ugomvi wa us na iran siyo sababu ya nuclear tangu us atimuliwe toka iran kwa mapinduzi ya kiislam na kibaraka wao kuondolewa madarakani,na iran wanavikwazo vya miaka kibao hila ww nadhani umeckia hv vikwazo vya
 
ugomvi wa us na iran siyo sababu ya nuclear tangu us atimuliwe toka iran kwa mapinduzi ya kiislam na kibaraka wao kuondolewa madarakani,na iran wanavikwazo vya miaka kibao hila ww nadhani umeckia hv vikwazo vya
Nadhani wewe hiyo habari ya vikwazo tokea utawala wa khomein uanze wewe ndio utakuwa umeusikia juzi juzi tu inaelekea hata ubalozi wake hujui ulipo hapa Tanzania jadili hoja na sio kutaka kuleta ujuaji usiohitajika kwenye hoja maalum.... anzisha thread ya vikwazo tuje kuijadili.....
 
Habari za hivi punde ni kuwa huyu jamaa, Hassan Golkhanban, alikuwa amepandikizwa na CIA. Amekwenda Marekani na masanduku mawili yaliyojaa rolls za picha. Tovuti ya kijasusi ya Israel, DEBKA FILES, inasema picha hizo ni pamoja na zile za sehemu za siri kabisa za kutengeneza (sic) silaha za nuklia, ambazo hakuna yeyote aliyewahi kuziona ([h=1]Defecting Iranian cameraman brings CIA priceless film of secret nuclear sites DEBKAfile Exclusive Report October 5, 2012, 1:01 AM Defecting Iranian cameraman brings CIA priceless film of secret nuclear sites-[/h]Onyo: habari za Debka mara nyingi you have to take it with a pinch of salt!

 
Badala ya kuangalia maisha ya raia wake anakimbilia kutengeneza nuklia! Korea ya Kaskazini nayo raia wake wana hali mbaya lakini ndio hao wamekimbilia kujimilkisha misilaha mikali. Pamoja na mafuta ya nchi ya Iran lakini watu wake ni choka mbaya, utajiri huo unaenda wapi? Raia wangekuwa na maisha ya angalau mazuri yaani wanapata mahitaji yao basi ziada hiyo iende kwenye kutengeneza nuklia.
 
Ingawaje baadhi ya unayoyaandika ni kweli, ila yaelekea huijui vizuri Iran. Usidanganywe na hizi picha za thread hii: hao si kwa sababu ya umaskini ndiyo wanaishi hivyo, ni kwa sababu ya mila zao na elimu. Inabidi taratibu waelimishwe waache mila hizo. Hii inachukua wakati. Kwa mfano mzungu akija Tanzania akiona wanavyoishi wamasai kwenye vibanda vya mabuu ataona pengine ni kwa sababu ya umaskini. Ingawaje mtu huyo huyo anamiliki ng'ombe elfu sita. Pia kule Sudan ya Kusini nimekuta mtu ana ng'ombe elfu ishirini lakini hana viatu! Jambo zuri ni kuwa serikali ya Iran imefanya juhudi kubwa kuwaondoa hawa mabedui katika hali ya maisha hayo. Zaidi ya watu milioni 1 waliokuwa wanaishi hivyo nyakati zilizopita sasa wanaishi maisha ya kawaida.
Pili: suala la nishati ya nuklia linakuzwa tu na Wamarekani wenye uadui na Iran; kwamba hawataki nchi hiyo ijitegemee yenyewe katika taaluma za nuklia. Nuklia si lazima iwe silaha tu. Hata kuamua kujitengenezea wenyewe, Iran iliwaomba Wajerumani, Wafaransa, Wakanada wawasaidie, lakini kwa presha ya Marekani nchi hizo zilikataa. Jee, unajua Iran ina investment ya 15% katika sekta ya nuklia ya Ufaransa na kwamba Ufaransa inakataa kuwalipa faida zao.
Iran pia inaidai mabilioni ya fedha Marekani, Canada, Italy na Greece.
 
Back
Top Bottom