Mhhh... Wakija Bongo tuende Uhuru... kwani National stadium...tutapigwa kama tumesimama...
Ningeomba wapenzi wa Yanga waliokaribu na uongozi wa akina Madenge wawashauri kukaa pamoja na watani wao wa jadi SIMBA ili wawape mbinu ambazo wanazitumia kuzifunga timu za MISRI, ilo si jambo baya maana Yanga wanawakilisha Taifa na hapo ndipo tutapofungua ukurasa mpya ata Manchester wakati Kean ameumia waliomba ushauri kutoka kwa Doctor wa Arsenal