Ahly Athletic Club vs Dar Yanga Africam

Mhhh... Wakija Bongo tuende Uhuru... kwani National stadium...tutapigwa kama tumesimama...

Ningeomba wapenzi wa Yanga waliokaribu na uongozi wa akina Madenge wawashauri kukaa pamoja na watani wao wa jadi SIMBA ili wawape mbinu ambazo wanazitumia kuzifunga timu za MISRI, ilo si jambo baya maana Yanga wanawakilisha Taifa na hapo ndipo tutapofungua ukurasa mpya ata Manchester wakati Kean ameumia waliomba ushauri kutoka kwa Doctor wa Arsenal
 
EEbanae bonge la translation!!! kumbe babelfish ndo wako hivi lol!

Popular way to start the African Cavaliers
Mon, 16 Mar 2009 by ahmed alzaher from WW.AHLY.COM



Civil defense campaign was the title of Princess of the dark and relatively comfortable victory 3-0 in a match from one party to run almost as popular players in the waste of opportunities, while only a strange group of Young Africans beaten and played in the last quarter of an hour in the game

Alahli meeting began looking for an early goal and before touching a player from the Tanzanian football team was able to Mohammed Barakat scored the first goal after a pass, Ahmed Hassan, was much in the 39-second play after the money for calm in the violence is not justified by the Young players Africkaz up to the register Alahli counterproductive after the second goal from Ahmed Fathi saved by goalkeeper Flavio to patient, laid-free header into the net .. Beyond money to play in the calm of the Portuguese lost opportunities, especially Ahmed Bilal

The beginning of the second half with a coach Manuel Jose to drive change and Bilal Ahmed Hossam Ashour landing place in order to acquire the middle of the pitch and get popular on many of the opportunities but they are all lost, especially to Ahmed Hassan, Mohamed Barakat is able to make his second goal and third-team counterproductive Ahmed Fathi Beyond a Jose Manuel alter benzene and Hussein Mohamed Aboutrika place Yasser Ahmed Hassan and Ahmed Fathi after this change was not popular any recalls the seriousness of Hussein's ill-Yasser, who are very much in doubt as a penalty but the sentence did not Ihzbha with the passage of time, especially where Mndhu 75 minutes gave the Tanzania, but a symbolic fine and not to the benefit of the experience of the players if the result of the reduction will come to an end the meeting minutes until the red to the second leg which will be held on April 5 next
 
Ningeomba wapenzi wa Yanga waliokaribu na uongozi wa akina Madenge wawashauri kukaa pamoja na watani wao wa jadi SIMBA ili wawape mbinu ambazo wanazitumia kuzifunga timu za MISRI, ilo si jambo baya maana Yanga wanawakilisha Taifa na hapo ndipo tutapofungua ukurasa mpya ata Manchester wakati Kean ameumia waliomba ushauri kutoka kwa Doctor wa Arsenal

Nani kakwambia SIMBA wana dawa ya Alhy Ahly
 
Jamaa mmisri hapa kazini ananambia Egypt watu wamekasirika sana kwa kuwa Al Ahly wameshinda goli tatu tu wanasema Yanga walideserve zaidi ya hizo.

SAHIBA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom