CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Njoo basi univue gamba!
Naomba wifiyo Michelle awepo
Njoo basi univue gamba!
Unataka kunipa ahadi?Dah!!! Sio vizuri ujue
Hahaha nimejaribu kuunganisha ........ sipati kitu!Jamaa hana sababu ya kudanganya bana!
Embu acha mbwembwe njoo ndani nikubembeleze!
Anaweza sana maana yeye sio sharobaro!
Orait..dah ila ni ajabu sana watu wanavyoanzaga kwa mbwembwe na kumaliza kwa fujo!Utadhani sio wale waliolishana keki kwa mdomo na kushikana nonstop...Goodluck na hizo recordings.
Wengine tayari (treasured mementos) wedding fotos kama hazijachomwa moto, zimesahaulika kwenye maboksi zimejaa vumbi kama sio kunyewa na mende/kuliwa na panya.
Maneno mengi tunaambiana ila huwa kuyatekeleza inakuwa shida.hasa hawa wenzetu wakiwa wanataka uhusiano watasema mpaka wanaweza hamisha milima
Uko tayari kupokea kwa mikono miwili??Unataka kunipa ahadi?
Mbona Kloro na uporoto wananiambia CPU brazameni sanaAnaweza sana maana yeye sio sharobaro!
Dearest haya achana nayo!Yetu tunamilizia chumbani....
Chumba hichi hichi nilipo mimi ?Embu acha mbwembwe njoo ndani nikubembeleze!
Lizzy hujasoma vizuri hapa nini,eti wewe sio 'kifaa cha viwango vya paradiso' ?Ngoja Mfalme anipime mwenyewe halafu uone kama atanipa au la!
Kesho akiwashukia wanafiki na mashambenga wote utajionea live ananipa kifaa cha viwango vya paradiso
Labda unitose wewe dearest.Nlidhani ndo umeshanitosa hivyo!
ankal wewe unachukua kadiploma ka mambo ya gardening hauwezi kuelewa mambo kama haya.PROMISE
REAL FACTS
FEELINGS
Kloro usinitanie banaaa
Ahaaaa ahaaaa mimi sijui kama zile ngoma uliisha acha kuchezaankal wewe unachukua kadiploma ka mambo ya gardening hauwezi kuelewa mambo kama haya.