wakat wa bunge la bajeti waziri mwakyembe kwenye bajeti yake alitoa ahadi ya utekelezaji wa miradi ikiwemo malipo ya fidia kwawananchi kupisha ujenzi wa reli eneo la tangasisi Tanga pamoja na usafiri wa treni. kwa mdomo wake aliahid kulipa wananchi mwezi wa tisa na usafir kuanza mwezi wa kumi.cha kushangaza malipo hadi leo unaenda mwezi wa kumi hayajalipwa ni dana dana za uhakiki ambao ulishafanyika miaka miwil iliyopita. sina hakika kama hata usafiri wa treni ndo umeanza au magumashi kisa bunge linaanza kesho ili kutengeneza mazingira ya kujisifu pasipo na tija. hebu lipeni waananchi acheni kuwapotezea muda na ahadi na muda usio isha