Wakuu, nimepiga mahesabu ya jumla ya thamani za ahadi alizotoa kikwete katika kampeni zinazoendelea, so far thamni yake ni tshs 90,0000,0000,0000 au 90trilioni, kwa kuwa bajeti yetu ni trilioni 7 anahitaji miaka 12 kutimiza hizi ahadi ikiwa najeti yote itakuwa tu kutimiza ahadi zake. Kwa maana nyingine endapo atatumia tu 30% ya bajeti kutimiza ahadi zake ni wazi atahitahi si chini ya miaka 45 kutimiza hizi ahadi. Katika mahesabu yangu sikutumia formula kama net present value or discounted cash flow ,or arr etc
mh!!!!
Naomba na wengine mfanye analysis
nimechukua ahadi zake kwenye magazeti kama anayotangaza mwenyewe.
mh!!!!
Naomba na wengine mfanye analysis
nimechukua ahadi zake kwenye magazeti kama anayotangaza mwenyewe.