PayGod
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 1,259
- 57
- Chadema ni tumaini jipya, na Rais 2010-2015, ni Dr SLAA
- CCM ni adui wa Demokrasia na haki, na sitakubali kuichagua wa kuongozwa nayo
- Nitaipigia kampeni Chadema kadri ya uwezo wangu na kuwachagua akina SLAA, wengi ili bunge letu liwakomeshe mafisadi
- Akili ni mali, sitatumia akili yangu wala mali yangu, kukampenia CORRUPTION CONTINUATION MOVEMENT(CCM)
- Nitasambaza ujumbe huu kadri ya uwezo wangu, ili tukomboe taifa letu