Elections 2010 Ahadi bila kuonyesha source the hela maana yake NINI?

mti_mkavu

Senior Member
Dec 23, 2008
116
15
Wakubwa naomba kueleimishwa na aina ya siasa ya bongo! Hivi kwa mtaji huu kila mtu si atakuwa mwanasiasa kama kazi ni kutoa ahadi pasipo kuwatajia source ya hizo hela zitatoka wapi? Mimi ninaamini kwa sasa hamna hela serikalini basi tunapopewa ahadi pia tuambie kitafanyika nini ili kuongeza kwa ajili ya kutimiza hizo ahadi. Mimi naona watu tunafanywa kama watoto au wajinga fulani. Basi wagombea wote wanaotoa ahadi waainishe hela zitapatikanaje kwa maana hizo ahadi hazipo kwenye bajeti! Tuelezwe vizuri kama kutakuwa source mpya za mapato. Nimechoka kusikiliza wagombea wetu. Nchi tunahijua kwa kipato chake.
 
Wakubwa naomba kueleimishwa na aina ya siasa ya bongo! Hivi kwa mtaji huu kila mtu si atakuwa mwanasiasa kama kazi ni kutoa ahadi pasipo kuwatajia source ya hizo hela zitatoka wapi? Mimi ninaamini kwa sasa hamna hela serikalini basi tunapopewa ahadi pia tuambie kitafanyika nini ili kuongeza kwa ajili ya kutimiza hizo ahadi. Mimi naona watu tunafanywa kama watoto au wajinga fulani. Basi wagombea wote wanaotoa ahadi waainishe hela zitapatikanaje kwa maana hizo ahadi hazipo kwenye bajeti! Tuelezwe vizuri kama kutakuwa source mpya za mapato. Nimechoka kusikiliza wagombea wetu. Nchi tunahijua kwa kipato chake.

Mkwere kishasema anategemea misaada hata alipokuwa Iringa alipokea simu kutoka NY kwa balozi kuhuhakikishia kuwa TZ misaada ni bwerere kutoka US. Kwa hiyo Kigoma kuwa Dubai, Viwanja vya ndege 3, Meli 3, Madalaja, laptop kwa kila mwanafunzi, barabara ya lami kuunganisha mikoa na...........................!!! Obama na hao wafadhiri anaowazungukiaga washatuhakikishia.

Kuhusu Slaa, yeye kasema ataongeza ufanisi katika ukusanyaji kodi na kuanzisha vyanzo vipya vya mapato, atapunguza gharama za matumizi, no more mashangingi, pesa zinazonufaisha wachache kama za EPA, kujenja mahekaru ya BOT zitawafaidisha wananchi wote, mishahara na marupurupu ya wabunge vitalipwa kutokana na mapato ya taifa, mapato kutoka kwa wawekezaji kwenye migodi yetu ataongezeka kutoka 3% ya sasa mpaka 30+ %, Safari za matanuzi nje ya nchi na kubembea ughaibuni kama ilivyokuwa awamu ya nne hazitakuwepo, Ndege ya Rais haitatumiwa na mkewe, Urais hautakuwa wa familia na marafiki, Party ikulu kwa marafiki, Miss Wilaya, Miss Mkoa, Miss TZ, waburudishaji........................marufuku ikulu. Waimba kwaya na mashiri ni uwanjani siku ya sherehe za kitaifa. Kukutana na akina Drogba, kwenda Real Madrid, England kuangalia mpira hiyo haitakuwa sehemu ya kazi za rais wenu..................................!!!! Nafikiri mpaka hapo ushajua pesa za elimu na afya bure zitapatikanaje.
 
Wakubwa naomba kueleimishwa na aina ya siasa ya bongo! Hivi kwa mtaji huu kila mtu si atakuwa mwanasiasa kama kazi ni kutoa ahadi pasipo kuwatajia source ya hizo hela zitatoka wapi? Mimi ninaamini kwa sasa hamna hela serikalini basi tunapopewa ahadi pia tuambie kitafanyika nini ili kuongeza kwa ajili ya kutimiza hizo ahadi. Mimi naona watu tunafanywa kama watoto au wajinga fulani. Basi wagombea wote wanaotoa ahadi waainishe hela zitapatikanaje kwa maana hizo ahadi hazipo kwenye bajeti! Tuelezwe vizuri kama kutakuwa source mpya za mapato. Nimechoka kusikiliza wagombea wetu. Nchi tunahijua kwa kipato chake.
Kweli wewe ni Mti mkavu, yaani na karne hii ya 21 ujui source ya hela? ushauri wa bure mtafute Profesa Lipumba akueleze.
 
Kweli wewe ni Mti mkavu, yaani na karne hii ya 21 ujui source ya hela? ushauri wa bure mtafute Profesa Lipumba akueleze.

Nadhani hujanielewa! Yaani nchi tunajua source za hela na ni kwa kiasi kipo. Je? hizo ahadi zinazotolewa na wagombea mbalimbali ni mpya na tulitegemea pia kuwena namna mpya ya kuongeza hiyo hela. Je tutaongezaje? Shule bure! sawa lakini kivipi? meli, nk kivipi? Mmarekani amehadi meli? mi sijasikia.
 
Nadhani hujanielewa! Yaani nchi tunajua source za hela na ni kwa kiasi kipo. Je? hizo ahadi zinazotolewa na wagombea mbalimbali ni mpya na tulitegemea pia kuwena namna mpya ya kuongeza hiyo hela. Je tutaongezaje? Shule bure! sawa lakini kivipi? meli, nk kivipi? Mmarekani amehadi meli? mi sijasikia.

Source ya fedha inaeleweka ila utashi wa viongozi wetu na utekelezaji wa ahadi zao ndiyo problem and not source of money. Upo hapo?
 
heeeeeeee source ni misaada toka nje ndo maana mkuu hakosi kwenda nje mara kwa mara
 
Mkwere kishasema anategemea misaada hata alipokuwa Iringa alipokea simu kutoka NY kwa balozi kuhuhakikishia kuwa TZ misaada ni bwerere kutoka US. Kwa hiyo Kigoma kuwa Dubai, Viwanja vya ndege 3, Meli 3, Madalaja, laptop kwa kila mwanafunzi, barabara ya lami kuunganisha mikoa na...........................!!! Obama na hao wafadhiri anaowazungukiaga washatuhakikishia.

Kuhusu Slaa, yeye kasema ataongeza ufanisi katika ukusanyaji kodi na kuanzisha vyanzo vipya vya mapato, atapunguza gharama za matumizi, no more mashangingi, pesa zinazonufaisha wachache kama za EPA, kujenja mahekaru ya BOT zitawafaidisha wananchi wote, mishahara na marupurupu ya wabunge vitalipwa kutokana na mapato ya taifa, mapato kutoka kwa wawekezaji kwenye migodi yetu ataongezeka kutoka 3% ya sasa mpaka 30+ %, Safari za matanuzi nje ya nchi na kubembea ughaibuni kama ilivyokuwa awamu ya nne hazitakuwepo, Ndege ya Rais haitatumiwa na mkewe, Urais hautakuwa wa familia na marafiki, Party ikulu kwa marafiki, Miss Wilaya, Miss Mkoa, Miss TZ, waburudishaji........................marufuku ikulu. Waimba kwaya na mashiri ni uwanjani siku ya sherehe za kitaifa. Kukutana na akina Drogba, kwenda Real Madrid, England kuangalia mpira hiyo haitakuwa sehemu ya kazi za rais wenu..................................!!!! Nafikiri mpaka hapo ushajua pesa za elimu na afya bure zitapatikanaje.

nimekuelewa saana mkuuu!
 
Swali la msingi hili. Ila sidhani kama kuna mwanasiasa anaweza kulijibu hili. Wote wanaogelea kwenye dimbwi lilelile.
 
Swali la msingi hili. Ila sidhani kama kuna mwanasiasa anaweza kulijibu hili. Wote wanaogelea kwenye dimbwi lilelile.

Nashukuru kwa kuwa mmoja wapo wa kuelewa. Watanzania tusiwe tuelezwa vitu hewani bila kujiuliza mara mbili. Lini tutakuwa na watanzania wa kuweza kuuliza maswali ya msingi na siyo maneno matamu yasiyotekelezeka. Ndiyo ndiyo mzee mpaka lini? Ni wakati wa kutijoa mhanga kuwa na wanasiasa wenye mikakati yakufikia malengo. Hamna mkakati wa kutimiza hayo malengo utayafiaje? Kila chama kina dira je tutafikiaje hizo dira tupe mikakati!

NIMECHOSHWA
 
Back
Top Bottom