Nasema hivyo kwa sababu Mbeya- hospital imefukuza madaktari zaidi ya 70 leo, papo hapo imeomba toka
manispaa madaktari 6! Hii inanipa picha kuwa madaktari Tz inao wengi kwa hiyo wanaogoma
huenda wasisikilizwe. Pia kwa kuwa tuna madokta wengi (ziada) huenda ndo maana hata mafao yao
hayatoshelezi.
Kwa kuwa tunao madaktari wengi mno, naishauri serikali ipunguze in-take ya madaktari na pesa
itokanayo iende kwenye shughuli zingine. Pia srk isilie lie tena kuwa Tz inaupungufu wa ma-Dkt.
Mwisho, iwapo watafanikiwa kusikilizwa basi hawa ma- dkt wa ziada wasipewe hizo nyongeza.
manispaa madaktari 6! Hii inanipa picha kuwa madaktari Tz inao wengi kwa hiyo wanaogoma
huenda wasisikilizwe. Pia kwa kuwa tuna madokta wengi (ziada) huenda ndo maana hata mafao yao
hayatoshelezi.
Kwa kuwa tunao madaktari wengi mno, naishauri serikali ipunguze in-take ya madaktari na pesa
itokanayo iende kwenye shughuli zingine. Pia srk isilie lie tena kuwa Tz inaupungufu wa ma-Dkt.
Mwisho, iwapo watafanikiwa kusikilizwa basi hawa ma- dkt wa ziada wasipewe hizo nyongeza.