Ah........Mi ctaki

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
CHUO CHA MAFUNZO YA UCHAGA HALISI!! !!


NAFASI ZA MASOMO

Chuo maalum kwa ajili ya kutoa ajira za chapchap kimefunguliwa hapa Kiboroloni,
Chuo Kimesajiliwa na VETA na kina waalimu waliobobea katika nyanja zote

Chuo kinapokea maombi kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba kwa ajili ya kozi zifuatazo:*
*1.** **Ulevi Mwezi mmoja;*

*2.** **Ujambazi Miezi sita;*

*3.** **Kuchoma mtu kisu Wiki moja;*

*4.** **Kuchoma nyama kwenye baa Miezi miwili;*

*5. Kungarisha viatu Wiki tatu (maalum kwa vijana wa Rombo);*

*6.** **Kuuza duka Miezi mitatu;*

*7.** Kurekebisha mipaka ya kiwanja cha jirani Miezi minne;*

*8.** Kupata mume msomi na mwenye wadhifa mkubwa Miaka miwili;*

*9.** Kufuga ng’ombe Mwaka mmoja;*

*10.** Kuendesha pick-up Miezi minne;*

*11.** **Kugombea udiwani Miaka miwili;*

*12.** **Kuendesha pikipiki za bodaboda na bajaji Wiki sita;*

*13.** **Kuchakachua mafuta Mwaka mmoja;*

*14.** **Kupata kazi TRA Miezi mitatu;*

*15.** **Kukwepa kodi Wiki nane; na

*16.** jinsi ya kuishi eneo la
KIMARA Dar es salaam.. Wiki Sita

*17.** Kukatisha tiketi kwenye magari ya Moshi, Dar na Arusha ni bure;*

Mwanafunzi lazima awe mchaga wa kuzaliwa pia baba na mama yake wawe wachaga, mwenye elimu ya msingi na asizidi miaka 18
mwisho wa kupikea maombi ni kabla ya krismasi ya mwaka huu
Nafasi za malazi zipo

*Watakaojiandikisha mapema watafundishwa bila malipo,

Barua kwa anuani hii

chuo
box 13334
Kiboroloni

Elisaria
Mkuu wa chuo


 
Natumai wachaga wote wamekwishachelewa maombi ya kujiunga na chuo hicho
 
Sasa kiboroloni wote si wana vyeti tayari! Kingefunguliwa somewhere else... heheh:smile-big:
 
mh! Kama ingekuwa hvyo bas kaz ingekuwepo kwa polisi na mahakama
 
Back
Top Bottom