Ah! I hate suprises!

Eee bhana hiyo suprise hapana kabisa,je kama mtu ana presha si atakufa?mshauri bhana hutaki suprise zake
 
Nyinyi kweli mmefulia aisee! Yaani watu wanapeana masapraiz ya Prado na Vitz nyinyi mnapeana sapraiz za vyura na reptailz. Khaa!
 
Bishanga ni mfugaji mzuri sana wa kenge,vyura,nyoka,konokono na mamba.
Kumbe kuna watu wana hobby kama ya kwangu!
 
Hahahahahaha haaaaaaaaaa, dah nimecheka mpaka ofisini wamebaki wananishangaa nacheka na kompyuta..ebana mwana pole sana hiyo suprise kweli kiboko....

Sasa wewe!! ofisini badala ya kufanya kazi!! unaingia JF!!
 
Habari zenu wanajamvi,

Leo mchumba wangu wangu amenifanyia suprise ambayo nimejuta kumfahamu!
Mchumba wangu (yuleyule tuliyekuwa na problem naye back then-sasa hivi mambo supa)
ni graduate wa herpetology from JcU Australia.Na mojawapo ya matatizo ya relationship yetu yalikuwa ni research zake!
Huwa anawapenda sana vyura na reptiles(na ndicho alichosoma), sasa ana collection ya hao wanyama at her parent's house
ya kutosha! Alhamisi alisafiri na rafiki zake(wametoka Australia) kwenda Arusha park moja inaitwa tarangire.

Akiwa safarini kila mara tukiwasiliana ananiambia ataleta something.Mimi namjua so nikawa namwambia usilete.
Leo asubuhi kanitembelea kunifanyia surprise(sikujua kwamba kesharudi dar), akakaribishwa, akasneak
mpaka chumbani(mimi nimelala sijielewi).Then akaniamsha akajificha. Naamka tu! kuna nyoka on my bed!
Nimepiga ukelele mpaka nyumba ya 3 wamesikia na isingekuwa mvua mtaa mzima ungesikia!

Yani hapa nina hasira! hata kazi nimeshindwa kufanya niko zangu Jf. I hate frogs, lakini nyoka!
Kweli I hate surprises ever!

Nnavyoenda naona kabisa kabisa huu uhusiano utanishinda, leo ningevunjika miguu kwa kupiga acrobatic jumps-kisha naambiwa kanyoka kenyewe kadogo!



Mshikaji sema ukweli banaaaaa. Ni nyoka kweli au alipokwenda kwao australia alirudi kabadirisha sex? Usiseme nyoka kumbe mwenzako karudi na bonge la pini anataka kukugeuzia kibao wewe, si unajua mambo ya wazungu kupenda kufurahisha wapenzi wao bila kipimo. Je, hizo kelele ulizokuwa unapiga ndo alikuwa anaanza kukuingia ama? Usione haibu hatujuani, we tuambie tu!
 
Mshikaji sema ukweli banaaaaa. Ni nyoka kweli au alipokwenda kwao australia alirudi kabadirisha sex? Usiseme nyoka kumbe mwenzako karudi na bonge la pini anataka kukugeuzia kibao wewe, si unajua mambo ya wazungu kupenda kufurahisha wapenzi wao bila kipimo. Je, hizo kelele ulizokuwa unapiga ndo alikuwa anaanza kukuingia ama? Usione haibu hatujuani, we tuambie tu!

Basi inaonesha wewe umeshafanyiwa hivyo ndo maana unadhani kila mtu kama wewe...Kwanza sio mzungu na alienda one tym kusoma tu..kwao hapahapa...
 
dah,hyo kali. n-way ndo mapenz hahahaaa. me csta angu alifanyiwa surprize ya zawad ya kichwa cha dagaa. cku hyo nlicheka mpk nkakaa chn! tena mpnz wake alimwekea kwny bahasha as if ni hela! csta kuja kuhamak kumbe kcha cha dagaa. surprize noma...
 
Back
Top Bottom