Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ushabiki wa siasa usikuzidi hadi kumkufuru Mungu,Mungu halinganishwi na chochote kilichoko hapa duniani wala mbinguni. Usije ukawa unamuombea pigo mbunge wako kwa ushabiki wako ulojaa kiburi mbele za Mungu
Mkuu sasa haponMungu ni CCM au wananchi Wa Moshi mie sijakuelewa kabisa fafanua