DONDOO MUHIMU: E.L anadaiwa kusaini MOU akiwa PM katika mpango wa kusaidia Kanisa na pia kuwasomesha wakristo nafasi ambayo waislamu pia wanataka wapewe fursa kama hiyo kuweza kusaini Memorandum of Understanding ili kuwapa fursa sawa za kumiliki Miradi na pia kuendelezwa kielimu
Alisaini akiwa waziri mwaka 1992 na sio PM