GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
- Thread starter
- #201
hii hotuba ni ya mwezi na kwa taifa? au anajibu hoja za bakwata?....GR nisaidie
Mkuu Eddy hapa lengo lilikuwa kuuwa ndege wawili kwa jiwe moja, lakini Hotuba ilikuwa ya Baraza la Maulidi kitaifa kutoka Masjid Gadaffi DODOMA. Kimsingi kajibu hoja nyingi kifundi na kwa ujasiri, sasa sijui huwa anakuwa wapi Mkuu kushughulikia matatizo mengine kama alivyovaa uso wa mbuzi leo kwa kutegua mitego ile ambayo kama angekosea alikuwa anazua balaa jipya.
Ila kama alivyotahadharisha MEDIA kesho zitamnukuu vibaya tu hili sina shaka, sitoshangaa kukutana na headline kama:
KIKWETE AWAKOROMEA BAKWATA....
JK AWARUKA VIONGOZI WA DINI...Sakata la Udini Nchni
JK AGEUKA MBOGO Sakata la Udini
JK ALIA NA VIONGOZI WA DINI KUHUSU MADAWA YA KULEVYA
na vingine vingi vya kuchefua roho.