Matango
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 535
- 118
Naomba Great Thinkers, mnisaidie na mjadili hasa Watanzania Agenda yetu kuu ni nini ?
Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu naona mijadala mingi ya kisiasa na kiuchumi inaelekezwa kwenye uchaguzi wa 2015.
Mwaka huu unamalizika, kipi tulichafanikiwa kama Watanzania ?
Mwaka 2012 Tutakuwa na lini ?
Mwaka 2013 Tutakuwa na lipi ?
Mwaka 2014 Tutakuwa na Lini ?
Watoto wanazaliwa.
Walioko shuleni na vyuoni wanahitimu.
Hivi wale maadui wa enzi na enzi tumewasahau ? Ujinga, Umaskini na Maradhi ?
Na sasa wamejitokeza maadui wengine UDINI, UKABILA, UBAGUZI na UMAJIMBO.
Agenda yetu kuu ni nini ?
Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu naona mijadala mingi ya kisiasa na kiuchumi inaelekezwa kwenye uchaguzi wa 2015.
Mwaka huu unamalizika, kipi tulichafanikiwa kama Watanzania ?
Mwaka 2012 Tutakuwa na lini ?
Mwaka 2013 Tutakuwa na lipi ?
Mwaka 2014 Tutakuwa na Lini ?
Watoto wanazaliwa.
Walioko shuleni na vyuoni wanahitimu.
Hivi wale maadui wa enzi na enzi tumewasahau ? Ujinga, Umaskini na Maradhi ?
Na sasa wamejitokeza maadui wengine UDINI, UKABILA, UBAGUZI na UMAJIMBO.
Agenda yetu kuu ni nini ?