Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Nadhani kimewauma kuuliza swali very simple na mnaanza kutoa shutuma zisizokuwepo, poeni moto, JF si ya kwa watu fulani tuu, usinibabaishe kwa kuwa sijui nimeingia juzi, kuingia JF si lazima uchangie. Hakuna kutishana hapa. Toa hoja ujibiwe kwa hoja majungu na chuki zenu ndizo zinazowarudisha nyuma mpaka kauchaguzi ka kiteto mmekakosa. Wapi nilipo pick a fight with mwanakijiji? show me please.
Kama JF inategemewa ni kuwa ya watu aina fulani tu, si liwekwe wazi hilo, sisi tunajua hapa kuna watu wa itikadi tofauti na kila mmoja na mtazamo wake, jee kinacho wauma ni nini?
Of course JF ni ya watu flani: WAZALENDO wanaosababisha MAFISADI wakose usingizi.Unadhani ingekuwa mouthpiece ya Mafisadi ingekumbana na matatizo yaliyotokea majuzi?
Halafu kama unafahamu kuwa kuingia JF sio lazima uchangie then hakuna dhambi kukaa kimya tunapowakoma nyani giladi mafisadi unaoelekea kuwatetea.Anyway,walijaribu wenzio wakashindwa...haya maji ya kina kirefu,sio swimming pool hii.Remember,still water runs deep.