Agenda 2015: CHADEMA and others must do the right thing now

Vyama vinaweza kuungana na vikabaki na Identity yao....Otherwise mabadiliko ya katiba yafanyike ili kuwa chama kimoja(Kitu ambacho siki support)

Ku maintain identity vyama vinaweza kusimamisha mgombea mmoja wa urais na vingine vikamunga mkono....Katika nafasi za ubunge na udiwani visisimamishe wagombea kwa kupingana..wawe na mgombea mmoja ...waaangalie chama gani kina nguvu katika eneo husika....Ni kweli baada ya 2015 vyama vya upinzani vitakuwa kwenye test kubwa sana.....Ni utaahira kufanya jambo hilo hilo kwa njia zilezile ka kurudia rudia ukitegemea majibu tofauti
 
Muungano wa vyama (chama kimoja) au Shirikisho la vyama (vyama kushirikiana)?
 
Wadau kama ni shule hata cc pia tumesoma na kingereza tunakifahamu ila kwa uzalendo tumeamua kutumia kiswahili hembu acheni basi kupost kidhungu tutumie kiswahili ili wengine nao wahabarike jamani. ushauri tu lakini
 
Kwamba the current legal framework prevent them from doing the right thing?

Kama waliungana in the name of UKAWA watashindwa kwenye general election?

Kama wanashindwa, then itakuwa inatupa picha ya hivi vyama vyama vya upinzani

Perhaps they are listening au ni upepo tuu?

Come on!! Don't try be a smarty!

You have waited for two years to respond to my questions!!
 
Are the legal frameworks supportive to such possibilities?!?
Can the so called 'opposition parties' unite under current legal circumstances?
Come on!! Don't try be a smarty!

You have waited for two years to respond to my questions!!

Worth waiting for two years than giving you a wrong answer.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Damian Lubuva amesema mpango wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wa kusimamisha mgombea mmoja katika Uchaguzi Mkuu mwakani ni halali kisheria. Vyama vinavyounda Ukawa ni NCCR-Mageuzi, CUF, Chadema na NLD.

Jaji Lubuva alisema hayo jana mjini Dodoma katika semina ya siku mbili ya Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania ya kuwahamasisha wadau wa siasa kudumisha amani na utulivu ambayo ilihudhuriwa na vyama vyote vyenye usajili wa kudumu nchini isipokuwa Chadema na CUF.

"Wanaposema katika wilaya fulani wanasimamisha mgombea wa chama fulani hawaundi chama, ni kwamba pale wanaachia chama fulani, wanakiunga mkono kwa hivyo hapo sheria inaruhusu kabisa," alisema Jaji Lubuva na kuongeza: "Nadhani huo ndiyo ukweli wao siyo lazima waende wakaandikishe chama. Wanasema chama X kule Iringa tunamsimamisha fulani na wengine wanamuunga mkono, hilo si tatizo."

Jaji Lubuva alisema hayo baada ya Mwenyekiti wa Baraza hilo, Peter Mziray kusema sheria hairuhusu Ukawa kuungana. "Hawa wanataka kuvunja sheria... wanawaambia uongo Watanzania kwamba watasimamisha mgombea mmoja katika uchaguzi," alisema Mziray ambaye pia ni Rais Mtendaji wa Chama cha APPT Maendeleo na kuwataka wanasiasa kufuata sheria za nchi ili kuepuka machafuko nchini.

Akichangia katika mkutano huo, Katibu Mkuu wa NCCR- Mageuzi, Mosena Nyambabe alisema kitabu cha maadili ya vyama katika uchaguzi kinaruhusu vyama kushirikiana na ndiyo sababu walipokuwa wanazunguka nchini, chama kimoja katika umoja huo ndicho kilikuwa kikiomba kibali cha kufanya mkutano.

Chanzo: Lubuva: Mgombea mmoja ukawa sawa - Katiba - mwananchi.co.tz
 
Back
Top Bottom