Blue_Face
Member
- Jan 26, 2011
- 94
- 6
mimi na mke wangu (3 yrs mrrge), age gap yetu ni 17 yrs.
tumejaaliwa kupata watoto wawili wazuri, tunapendana na
hasa yeye ananipenda sana2.
kwa muda nimekuwa nikikerekwetwa kuhusu future yetu,
huwa nafikiria nikifiaka 50 yeye atakuwa ndio kwanzaa 30's
unajuwa mke na mume sio kula na kuvaa tu, kuna mambo
ya uke na uume, na age kubwa itaanza kuta tatizo hahaha.
nimemweleza (for her future), ni bora atafute mume age
kama yeye mapemaa kabla ya kufika mbali, lakini imekuwa
vigumu kukubali, anasema hataki kusikia age difference yetu,
atanipenda mpaka kufa.
wasi2 wangu uko pale pale, mola akinifikisha umri mkubwa
labda fikra zangu mbaya - nini advise yenu, continue with
our life or else...
tumejaaliwa kupata watoto wawili wazuri, tunapendana na
hasa yeye ananipenda sana2.
kwa muda nimekuwa nikikerekwetwa kuhusu future yetu,
huwa nafikiria nikifiaka 50 yeye atakuwa ndio kwanzaa 30's
unajuwa mke na mume sio kula na kuvaa tu, kuna mambo
ya uke na uume, na age kubwa itaanza kuta tatizo hahaha.
nimemweleza (for her future), ni bora atafute mume age
kama yeye mapemaa kabla ya kufika mbali, lakini imekuwa
vigumu kukubali, anasema hataki kusikia age difference yetu,
atanipenda mpaka kufa.
wasi2 wangu uko pale pale, mola akinifikisha umri mkubwa
labda fikra zangu mbaya - nini advise yenu, continue with
our life or else...