AG Kumshtaki Tundu Antipas Lissu

Lissu nadhani wakati mwingine huwa narukwa kidogo na fahamu, kwani kwa kauli yake ya leo juu ya kuwadharau majaji ni wazi kabisa amepotoka, na hakuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kumtetea Lissu labda awe na moyo wa chuma


Kwa bahati mbaya hujui ulisemalo. Lissu amesema ukweli leo kuna majaji wasioweza kufanya kazi zao vizuri na kwa weledi unaotakiwa. Wapo majaji wapya wasioweza 'kurecord' mwenendo wa kesi 'court proceedings', wasioweza kuchambua maelezo ya kesi na sheria vizuri, na hukumu zao zinautata sana. Ukieleza sheria zipoje wanakasirika. Tunayaona kila siku mahakamani. Ungekuwa upo kwenye taaluma ya sheria ungeyaona. Kiujumla twahitaji kuwa na utaratibu mpya na wawazi wa uteuzi majaji wa mahakama kuu na mahakama ya rufaa.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Wakati mwingine napata shida kujua haya mazagazaga JK anayatoa wapi, maana hakuna la maana wanafanya kuisadia nchi isonge mbele zaidi ya kulumbana na CDM kila kukicha.
 
Huyo Werema mwenyewe ni mfano tosha wa aina ya majaji aliyokuwa anazungumzia Lissu.
 
Lissu amekuwa mdogo kama pilton, amepewa hata mike kuongea amekataa, ameshikwa pabaya na ameingia choo cha kike leo, hana pa kutokea


Acha uongo wewe na kama hukuwepo sema tukusimulie.Mwenyekiti ndo kakwepa muongozo aliotakiwa kuutoa juu ya kuharibika kwa semehu anayokaa Tundu lisu ndo maana lisu alisema siyo yeye aliyeombwa muongozo bali yeye alikuwa anajiandaa kujibu tuhuma za AG
 
Lissu nadhani wakati mwingine huwa narukwa kidogo na fahamu, kwani kwa kauli yake ya leo juu ya kuwadharau majaji ni wazi kabisa amepotoka, na hakuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kumtetea Lissu labda awe na moyo wa chuma

Je, unaweza kuthitibitisha kama Tundu Lissu amewadharau majaji au alisema kinachatendeka? Kusema amewadharau majaji ni tafsiri yenu. Ni kama Mnyika aliposema "Rais Kikwete ni dhaifu" mlitafsiri kuwa alimtukana Rais lakini mbunge wa CCM alipodai wabunge wa Chadema wanaongea "no-sense" tafsiri haikuwa tusi.
 
Lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira, na si mtaalam wa sheria za katiba, upo hapo ? kwa minajili hiyo basi utajua Lissu ni limbukeni wa sheria, na ni mpayukaji tu, kwa nyie mnaopenda hata mmeisha ingia upofu


nina wasi wasi na upeo wako kama kweli unazijua hizo elimu unazoziongelea! kasome vizuri halafu ndo urudi sio unadakia bila ya kujua tofauti halisi ya hizo degree za sheria!
 
Na uhakika ww si mtanzania, njoo Tanzania tukufunze kiswahili, uwe na uwezo wakujenga hoja na ndipo uanze kuchangia.


Wewe una uwezo wa kiasi gani wa kujenga hoja, labda tuanzie hapo kwanza, kuliko kumwambia sio mtanzania au hana uwezo wa kujenga hoja
 
majaji wa tanzania na viloba bora viloba ukinywa unalewa, hata wakichapwa ni sawa, unaweza kuwatetea kwa sababu hujapata shida mahakamani.
Lissu nadhani wakati mwingine huwa narukwa kidogo na fahamu, kwani kwa kauli yake ya leo juu ya kuwadharau majaji ni wazi kabisa amepotoka, na hakuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kumtetea Lissu labda awe na moyo wa chuma

 
But to be fair Tundu alichokidai ni kuwa baadhi na si majaji wote ambao recently Rais kawateua hawakuwa approved na judicial commission ambao ndio wanao-recomend kwa rais na kumshaur juu ya mtu yupi anafaa kuwa appointed as a judge! Kutokana na hilo anadai kuna some judges hawajui majukumu yao na hata kushindwa kuandika judgement ya decided cases!


So mkuu hapo kipi alichoongea vibaya?? kuna jamaaa hapo juu anaongea as Lissu kuna kitu kikubwa amefanya
 
nina wasi wasi na upeo wako kama kweli unazijua hizo elimu unazoziongelea! kasome vizuri halafu ndo urudi sio unadakia bila ya kujua tofauti halisi ya hizo degree za sheria!

Nimemshtukia huyu jamaa, ndio maana ukiangalia comment ya 51 nimemuuliza swali hapo juu maana anaongea kama anajuwa vizuri sheria, kumbe sheria za mtaani na kwenye magenge
 
wana jf, tatizo la watanzania ni kutaka kutokusema ukweli na hivyo kuukwepa. Heri yake tundu lissu aliyeisema hiyo kweli maana kwa kuisema kwake hiyo kweli hakika nafsi yake itaendelea kuwa huru. Sisi tulioko kwenye tasnia hii ya sheria tunajua. Kuna majaji kwa kweli mpaka unashangaa,waliteuliwaje? Yaani mambo ya msingi kabisa unashindwa kujua ueledi wao. Wengine wamekuwa wakifanya tu maahirisho ya kesi wakingojea muda wapate uhamisho kutoka registry moja kwenda nyingine. Walikuwepo pale mahakama kuu upande wa ardhi hovyo kabisa,kuna mama mmoja alikuwa jaji pale yeye ni hasira muda wote akikwepa kusikiliza mashauri yaliyoko mbele yake. Go go go tundu,you have said and said it all,you have said the truth and the truth shall set you free. Huyu chikawe hayumo kwenye korido za mahakamani,anaongea kitu asichokijua na anatetea kitu asichokijua,ni mchumia tumbo tu huyo

mkuu, nasikia chikawe muhuri wa uwakili kapata juzi tu kumbe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom