AG Kumshtaki Tundu Antipas Lissu

Nilidhani wabunge wana Parliamentary privilege. Hawawezi kushitakiwa kwa mambo wanayoongea ndani ya bunge, no?

Yalongwayo bungeni hayahojiwi wala kushtakiwa popote!!!!!!!!!
Werema ni zuzu.
 
majaji wameiheshimu sana kauli ya Lissu, maana kuna majaji makanjanja kibao huko nowadays, kilaza werema pekee ndo kavimbiwa!!!! Kwanza huyu jaji werema hata anaposoma kiingereza inamsumbua itakuwaje kwenye kuandika!!!

Lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira, na si mtaalam wa sheria za katiba, upo hapo ? kwa minajili hiyo basi utajua Lissu ni limbukeni wa sheria, na ni mpayukaji tu, kwa nyie mnaopenda hata mmeisha ingia upofu

 
But to be fair Tundu alichokidai ni kuwa baadhi na si majaji wote ambao recently Rais kawateua hawakuwa approved na judicial commission ambao ndio wanao-recomend kwa rais na kumshaur juu ya mtu yupi anafaa kuwa appointed as a judge! Kutokana na hilo anadai kuna some judges hawajui majukumu yao na hata kushindwa kuandika judgement ya decided cases!
 
Jaman nn kimetoke? ag amemwomba lisu kuondoa baadh ya maneno,mala mwongozo ukatolewa lisu kapiga meza kwa nguv,j.mwagama kamwita Lisu ,lsu akasema mwongozo umeombwa kwako mkiti,mkiti kasema lisu huna oja na sasa namwita mwkiti wa kmati ya sheli.SWALI KWA WALIOTAZAMA MBONA LISU HAKUPEWA NAFASI KUJIBU HOJA ZA AG?samahani kwa mtiririko mbaya
 
Lissu nadhani wakati mwingine huwa narukwa kidogo na fahamu, kwani kwa kauli yake ya leo juu ya kuwadharau majaji ni wazi kabisa amepotoka, na hakuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kumtetea Lissu labda awe na moyo wa chuma


.
Mimi nnao wa nyama na kwa huo nasimama upande wa kumtetea Lisu. Serikali kwa makusudi imeamua kabisa imeamua kutumia propaganda zake kuwachonganisha Chadema na dola lakini hata hivyo dola ni kundi dogo lililoajiriwa na umma kwa kodi zao. Chadema wana nguvu ya umma, sisiem wana nguvu ya dola hivyo tutaona kati ya dola na umma ni kipi chenye nguvu ya maamuzi.
TANZANIA YA LEO SII ILE YA JANA!!
.
 
Mbegu;4232761a52a2a]Lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira, na si mtaalam wa sheria za katiba, upo hapo ? kwa minajili hiyo basi utajua Lissu ni limbukeni wa sheria, na ni mpayukaji tu, kwa nyie mnaopenda hata mmeisha ingia upofu

[/COLOR][/QUOTE]

lakini uteuzi wa wakuu wa wilaya, mikoa ambao pia ni wabunge inahitaji uwe umesoma constitutional law?
 
Watamsikiliza Lisu hawatamwelewa, Wataamuangalia hawatamuona vizuri, Wasameheni maana hawajui watendalo.

But to be fair Tundu alichokidai ni kuwa baadhi na si majaji wote ambao recently Rais kawateua hawakuwa approved na judicial commission ambao ndio wanao-recomend kwa rais na kumshaur juu ya mtu yupi anafaa kuwa appointed as a judge! Kutokana na hilo anadai kuna some judges hawajui majukumu yao na hata kushindwa kuandika judgement ya decided cases!
 
Wakuu mwenye mtiririko mzuri wa alicho ongea Tundu Lissu naomba akitupie hapa ili tuweze kufanya critical analysis.
 
Lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira, na si mtaalam wa sheria za katiba, upo hapo ? kwa minajili hiyo basi utajua Lissu ni limbukeni wa sheria, na ni mpayukaji tu, kwa nyie mnaopenda hata mmeisha ingia upofu


Hawajajibu hoja za lisu hata moja, wanarukaruka tu. Sheria ni sheria tu hunikategoraiz mimi kwa stail hiyo.
 
kwani akipelekwa kwenye tume ya nidhamu ndiyo mahakamani..

mkuu hakuna sehemu niliposema mahakaman! Lakini ninachokijua ukiwa convicted kwenye kamati adhabu inaweza kuwa kutokuudhuria vikao vya bunge n.k
 
kwani akipelekwa kwenye tume ya nidhamu ndiyo mahakamani..
wana jf, tatizo la watanzania ni kutaka kutokusema ukweli na hivyo kuukwepa. Heri yake tundu lissu aliyeisema hiyo kweli maana kwa kuisema kwake hiyo kweli hakika nafsi yake itaendelea kuwa huru. Sisi tulioko kwenye tasnia hii ya sheria tunajua. Kuna majaji kwa kweli mpaka unashangaa,waliteuliwaje? Yaani mambo ya msingi kabisa unashindwa kujua ueledi wao. Wengine wamekuwa wakifanya tu maahirisho ya kesi wakingojea muda wapate uhamisho kutoka registry moja kwenda nyingine. Walikuwepo pale mahakama kuu upande wa ardhi hovyo kabisa,kuna mama mmoja alikuwa jaji pale yeye ni hasira muda wote akikwepa kusikiliza mashauri yaliyoko mbele yake. Go go go tundu,you have said and said it all,you have said the truth and the truth shall set you free. Huyu chikawe hayumo kwenye korido za mahakamani,anaongea kitu asichokijua na anatetea kitu asichokijua,ni mchumia tumbo tu huyo
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mkuu wa mkoa wa singida aliwahi kusema "ni bora dk.slaa awe rais kuliko tundu lissu kuwa mbunge"
 
hata kwa common sense tu mh. Lisu kajenga hoja ya nguvu! Hata layman kama mie nimepata picha na kuelewa yanayoendelea humu nchini
 
Hawajajibu hoja za lisu hata moja, wanarukaruka tu. Sheria ni sheria tu hunikategoraiz mimi kwa stail hiyo.

inawezekana basi zina ukwel kwa s'bu mpaka umeme unakatika naibu waziri mh. kairuki wakati anajibu hoja za wabunge hakugusa hata moja ya Lissu kadhalika AG sikuona hoja aliyoijibu zaidi ya bla bla labda kdgo ukali wa maneno ya lissu aliyopendekeza yaöndolewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom