Ni kutokana na kauli yake ya dharau kwa majaji wa mahakama kuu na kuwataja kwa majina wahusika katika sakata la Ulimboka!
Ni kutokana na kauli yake ya dharau kwa majaji wa mahakama kuu na kuwataja kwa majina wahusika katika sakata la Ulimboka!
Ashitaki aadhirike vizuri, na kilaza huyu atazomewa kweli, tunamtamani.
Lissu nadhani wakati mwingine huwa narukwa kidogo na fahamu, kwani kwa kauli yake ya leo juu ya kuwadharau majaji ni wazi kabisa amepotoka, na hakuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kumtetea Lissu labda awe na moyo wa chuma
Nilidhani wabunge wana Parliamentary privilege. Hawawezi kushitakiwa kwa mambo wanayoongea ndani ya bunge, no?
Lissu nadhani wakati mwingine huwa narukwa kidogo na fahamu, kwani kwa kauli yake ya leo juu ya kuwadharau majaji ni wazi kabisa amepotoka, na hakuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kumtetea Lissu labda awe na moyo wa chuma
ofcoz wana hiyo priviledge lakini pale anaposema jambo la uongo na akakataa kulifuta anaweza kupelekwa kwenye tume ya nidhamu!
asante, ngoja niitafute! asante muchpitia hotuba ya lissu aliyoiwasilisha leo bungeni ipo humu!
job ndungai au vyovyote wanvyokuita umevimbiwa unaibu spika unafikiri ur on top of the world,lakini kumbuka baba yako sita alishamtoa nje zito ndio umaarufu ukaongezeka sasa endeleza ubabe wenu wa ccm usiotumia hekima wala busara hata ile sara mnayoanza nayo asubuhi siyo ya kumuomba mungu sababu ccm hamumjui mungu 99%ya wabunge wenu ni washirikini wauwaji wa maalbino wazurumaji wa mli za maskini wezi wa mali ya umma na wanafiki hivyo sala inayokufaa wewe na wenzako wa ccm ni sara ya shetani tu na kumbuka unaibu spika unapita na very soon watakutosa kama sita